Killi Music Awards

Killi Music Awards

Ha ha ha ha ha! Sasa hizo tuzo zinaitwaje? Haki vile nimecheka sana.Fuatilia bwana upate japo na kapicha nizidi kuvunjika mbavu!

Hapo sasa.Huyo Kiba tu na umahiri/umashuhuri wake wote hadi leo hii ana tuzo chache tofauti na stahiki yake lakini mbona hasemi chochote?
Huyu bwana mdogo kanikera sana nimeshamtoa kwenye list ya ninaowakubali.

Teh Teh nitafatilia ili nilete details kamili na picha ....ana ziita tunzo za familia!hawa n!dio wasanii wasukuma wa ajabu sana..huyu H baba bila shaka ndio kampa ushauri More music ...huyu kijana nina hakika ndio kapotea kwenye soko la music..hivi anafikiri ni lazima yeye apate tunzo au awe nominated...? Sijuti kutompendekeza hata kipengele kimoja...
 
Teh Teh nitafatilia ili nilete details kamili na picha ....ana ziita tunzo za familia!hawa n!dio wasanii wasukuma wa ajabu sana..huyu H baba bila shaka ndio kampa ushauri More music ...huyu kijana nina hakika ndio kapotea kwenye soko la music..hivi anafikiri ni lazima yeye apate tunzo au awe nominated...? Sijuti kutompendekeza hata kipengele kimoja...

Hahahahaaa achana nao wajinga hao.Hakuna mafanikio yanayokuja kama upepo bila jitihada na uvumilivu pia.

Mimi wala sikuhangaika kupendekeza maana nilijua Kiba atapendekezwa tu.
 
Beka title sio chipukizi ndo walipochemka hapo sidhani kama umemjua beka title mwaka jana

Beka Tittle ni wa sikunyingi ila alikuwa hajatoka wengi hawakuwa wanamfaham, mwakajana ndo atleast ametoka so kumuweka kwenye upcoming ni sio mbaya
 
Teh Teh H Baba alipanic kabisa akaponda sana na kujitoa kabisa akaanzisha tunzo za familia yake..nilisikia kampa tunzo mtoto wake na mkewe na akajipa na yeye nilicheka sana..ngoja nifatilie zaidi!
Huyo Mo music kichwa kibovu sijui msukuma wa wapi huyu..yani anashindwa kuvumilia yeye ni nani kwenye muziki ?

Huyo H-BABA stress za mziki zishamchanganya bado kujiunga na mamboyetu yale, nilisikiaga akihojiwa na Millard Ayo kuhusu hizo tuzo za familia doh. Halafu kuna kipindi alikuwa anajitapa kuanzisha biashara ya peremende zitazokuwa na jina lake sijui aliishia wapi
 
Huyo mtoto ni mjinga anashindwa kujua kuwa wananchi ndio wamependekeza majina na wao ndio walio mpigia kura chache ndio maana hayupo....
Na yeye aka anzishe za kwakwe kama H baba! Mimi mwenyewe si kumpendekeza na sikuweza kumpendekeza kwa ule wimbo mmoja!

Ni kwel mkuu inaonekana dogo amepata kiburi na kijiweka nafasi flani ya juu kua ameshamaliza kazi.

Narudia tena mshkaji anasubiri kwa Baraka Da Prince ata hyo tuzo ingewezekana asingeichukua kama wenzie wanavyomwaminisha huko aliko.
 
Ila by frankly speaking! Huyu dogo mo-music kazingua sana japo nilikuwa namtetea lakini siwez kupingana na ukweli, suala hili litamcost sana hapo badaye alitakiwa awe mvumilivu kwani tuzo kitu gani bwana, yeye angetulia kimya tu kama kaka yake Mavoko.
 
Ni kwel mkuu inaonekana dogo amepata kiburi na kijiweka nafasi flani ya juu kua ameshamaliza kazi.

Narudia tena mshkaji anasubiri kwa Baraka Da Prince ata hyo tuzo ingewezekana asingeichukua kama wenzie wanavyomwaminisha huko aliko.

Huyu hawezi mfikia baraka Da prince kabisa! Baraka ana hit songs zaidi ya moja...yeye wimbo mmoja ana leta kiburi na pale alipo wekwa hawezi kushinda kamwe....
 
Oyoooooo.Na hizi tuzo za mwaka huu ndio most awaited awards!
Njooni sasa tuanze kujiandaa kupiga kura wakati utakapofika. Mdakuzi Matola Avemaria atoto geniveros cute b Abou Saydou Athen Diva Beyonce lukelo sakafu mnyepe na Kiba fans wote.

So bad Yamoto band wamepata nominations mbili tu japo wametamba sana mwaka huu.
Too bad kwa Rich Mavoko pamoja na kujitahidi sana ila sijaona akipata nominations hata 1! Wimbo wa pacha wangu na video yake vilistahili hata kupata tuzo moja!

#nifah yamoto band nawapenda but nasikitika hata wangepata kwingi sidhani kama wangeshinda as kwenye maadil ingeweza kuwa ishu sana.

Kwa sasa inabidi wawe makin sn na content ya nyimbo zao
 
Tupunguze kulalamika. Anza kumpigia kura unaemkumbali ili ashinde, ili usije kulalama kwa nini kakosa. Hayo majina yanatokana na maoni ya wananchi.
 
#nifah yamoto band nawapenda but nasikitika hata wangepata kwingi sidhani kama wangeshinda as kwenye maadil ingeweza kuwa ishu sana.

Kwa sasa inabidi wawe makin sn na content ya nyimbo zao

Ni kweli my dear, na naona hiki ndicho kilichowafanya wakose nominations nyingi sababu ya nyimbo zao za matusi.
Kuna kipindi tumewahi kulalamika hapa jamvini tukaonekana wabaya, nikaambiwa nina figisu figisu...
Haya sasa, yako wapi?
cc: el nino
 
Last edited by a moderator:
Oyoooooo.Na hizi tuzo za mwaka huu ndio most awaited awards!
Njooni sasa tuanze kujiandaa kupiga kura wakati utakapofika. Mdakuzi Matola Avemaria atoto geniveros cute b Abou Saydou Athen Diva Beyonce lukelo sakafu mnyepe na Kiba fans wote.

So bad Yamoto band wamepata nominations mbili tu japo wametamba sana mwaka huu.
Too bad kwa Rich Mavoko pamoja na kujitahidi sana ila sijaona akipata nominations hata 1! Wimbo wa pacha wangu na video yake vilistahili hata kupata tuzo moja!

Woyoooooooo.....
Nitapiga kura mpaka nichanganyikiwe mamie kwa hilo halina ubishiiiiiii
 
Ni kweli my dear, na naona hiki ndicho kilichowafanya wakose nominations nyingi sababu ya nyimbo zao za matusi.
Kuna kipindi tumewahi kulalamika hapa jamvini tukaonekana wabaya, nikaambiwa nina figisu figisu...
Haya sasa, yako wapi?
cc: el nino

Hahaaa polee

Yani hata mashabik wangewachagua, kwenye majaji wangetolewa. Hii ilimpataga snura.
 
Last edited by a moderator:
Poa poa,nakuaminia.Ila sasa hivi uwe unapiga na kule kwa tuzo za watu mamy.

Ooooooowwwww now i gt you mamiee
Uthijali kabisa yani iyo tarehe ata kazini siendi yaaniiiiiiii nacheza na kupiga kura tuuu.....
Sasa nina wadau wengi ambao hawana smart phone hawajui ata kinachoendelea acha nikawape taarifaaa.....iyo tarehe ikifikaa mambo yawe pouwaaaa
 
Yaani hakuna kitu kinanikera km ule ulazima wa kupigia kategoria zote, agggrrrr

Aaanhaaaa basi hapa ndo nimemuelewa nifah alichokuwa anamaanisha siku ile kuhusu vipengele.

Kwakweli kuna vipengele vingine havinihusu ila ndo vile tunatereza tu!
 
Last edited by a moderator:
Aaanhaaaa basi hapa ndo nimemuelewa nifah alichokuwa anamaanisha siku ile kuhusu vipengele.

Kwakweli kuna vipengele vingine havinihusu ila ndo vile tunatereza tu!

Ile siku nilijua tu hukunielewa nilikua namaanisha nini.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom