NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,525
- 17,434
Mnajua fika nyie ni kampuni pendwa lakini mmekalia ukoloni na unyonyaji kwa Watanzania. Hivi kinachowafanya msiweke local chanels zote za Tanzania ni nini? Kama ITV, CLOUDS, STAR TV n.k mbona hazipo? Nimejaribu kuweka na redio za tanzania tena Nikiwa nimelipia dstv compact Hakuna Redio station hata moja ya kiswahili inayosikilizika kwa nini?
Vifurushi vyenu bei ghali na hakuna pay per view kwanini? Nasikia kwa mataifa kama NIGERIA na mengine ya kusini vifurushi viko chini kuliko tz sasa kwanini mtatunyonya Watanzania?
Nimejipanga kuwatosa hivi karibuni: Nimechoshwa na ukoloni wa kinyonyaji. CARD NUMBER 10133688852
MJIREKEBISHE AU LA SIVYO NGOJA NIULIZIE BEI YA AZAM TV DECORDER!
Vifurushi vyenu bei ghali na hakuna pay per view kwanini? Nasikia kwa mataifa kama NIGERIA na mengine ya kusini vifurushi viko chini kuliko tz sasa kwanini mtatunyonya Watanzania?
Nimejipanga kuwatosa hivi karibuni: Nimechoshwa na ukoloni wa kinyonyaji. CARD NUMBER 10133688852
MJIREKEBISHE AU LA SIVYO NGOJA NIULIZIE BEI YA AZAM TV DECORDER!