mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,066
- 6,760
Mbona hamna tangazo lolote Mingoi ?Wewe ulichokiona katika hilo tangazo ni Ushoga na Usagaji tu?
Au unamaanisha hiyo habari ya hao waliberali na CUF ?
Mbona hamna tangazo lolote Mingoi ?Wewe ulichokiona katika hilo tangazo ni Ushoga na Usagaji tu?
Habari za Maalim tushazichoka hana jipya,namkubali Tundu Lissu tu kwa harakati zake zinazoendana na maisha ya mtanzania halisi.
Mtu toka 1995 anagombea yeye tu alafu mnataka kutuaminisha yupo smart.
Ni afadhali ya chadema kila uchaguzi wamesimamisha vichwa tofauti,tuache unafiki jamani tuwe tunachanganya na zetu.
Soma vizuri nilichokiandikaWakati unasema hivyo. Rais kikwete(mstaafu) amekimbia waandishi wa Habari kwenye ofisi moja huko U.S.A Marekani baada ya kuulizwa mustakbali wa Zanzibar baada ya suala hilo kupelekwa UN.
Nilishasema suala la Zanzibar lishughulikiwe kwa busara hali ndio hio sasa.
sema GHIBUU. povu lakutoka ndio nini. kambi ya uliberali sio njema.Povu lakutoka
Kumbe kuwekewa vikwazo ni kuzaa matunda? Kaazi kwelikweli, halafu ile nishani ya Jecha anakabidhiwa lini? Na nani??ZIARA ya kimataifa aliyoifanya Maalim Seif Shariff Hamad, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Marekani, Ulaya, Canada na Umoja wa Mataifa kulalamikia uvurugaji wa uchaguzi mkuu wa 25 Oktoba mwaka jana, imeanza kuzaa matunda, anaandika Jabir Idrissa.............................
Hatua ya Maalim Seif na CUF imekuja baada ya CCM kumuamuru Jecha Salim Jecha, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kufuta uchaguzi mkuu wa Zanzibar, 28 Oktoba, baada ya kubaini kuwa chama hicho kimepoteza madaraka kupitia sanduku la kura.
Chanzo: Mwanahalisi
Huoni kuwekewa vikwazo ni raha mnaishi kibishiKumbe kuwekewa vikwazo ni kuzaa matunda? Kaazi kwelikweli, halafu ile nishani ya Jecha anakabidhiwa lini? Na nani??
Naanza kuiona zimbabwe ndani ya Tanzania , Mungu tunusuru maana wewe ndie ulisema ole wao wanaoshupaza shingo zao, na mtawala mwema aliomba hekima kwako, mweee, tutaumia sie maskini ambao tunatamkwa kutwa midomoni ila kiuhalisia hatuko mioyoni mwao. Janga la kukataliwa ni kubwa mno.
Halafu wakishamaliza kuwavuruga, wanaanza kujuta, eti ooh, tulifanya makosa, hawa watu ni wanafiki sana. Reffer to Tony Blair na kampani yake.Hao ndo walizivuruga libya, Iraq, Congo, Syria na nk. Ndo mna waomba watuvuruge?
Maalim anakaribia 80 ila Bado anataka tu kwenda ikulu.Habari za Maalim tushazichoka hana jipya,namkubali Tundu Lissu tu kwa harakati zake zinazoendana na maisha ya mtanzania halisi.
Mtu toka 1995 anagombea yeye tu alafu mnataka kutuaminisha yupo smart.
Ni afadhali ya chadema kila uchaguzi wamesimamisha vichwa tofauti,tuache unafiki jamani tuwe tunachanganya na zetu.
Hiyo LI ni NGO tuu
P
Jamani ndoto hawaoti MCHANA. Mtu kashindwa Urais Mara 5 bado anawaza kwenda Ikulu. Rais ni Dr Shein mpaka 2020. MTU akiamua kwenda kuzurura Ulaya na kurudi na fix za kuwafanya waliomlipa posho wasiumie sawa tu!!Na hivi "Mimi" sina stadi za Diplomasia. Na UN "sijaenda" wala kwenye tetemeko "sijafika". "Naweza" kujikuta kwenye hali tete sana, ndani na nje ya nchi "yangu".
Sijui niwashushe au niwapandishie mizuka yangu??
Grrrrgrrrrrrrr,
Ila sinaga B52, Bahati yao.
Wenye upeo wamenielewa.
Sio tuu haina impact bali pia ni empty words. Nilipitia kidogo some international law instruments, zinahitaji kwanza ku exhaust local remedies. CUF did nothing at home about hizo claimed gross human rights violation. Tuna Tume ya Haki za binaadamu CUF walipaswa kuanzia huku. Kwenda kumshitaki nchi kwenye NGO ni just attention seeking, but is is just wastage of time and resources!.Kwa hiyo haina impact?
Sio tuu haina impact bali pia ni empty words. Nilipitia kidogo some international law instruments, zinahitaji kwanza ku exhaust local remedies. CUF did nothing at home about hizo claimed gross human rights violation. Tuna Tume ya Haki za binaadamu CUF walipaswa kuanzia huku. Kwenda kumshitaki nchi kwenye NGO ni just attention seeking, but is is just wastage of time and resources!.
Pasco