Mkuu tupe Update za minada Huko Ruvuma .. naasikia kg moja matajiri wananunua 1900.
duh hivi tatizo la kushuka hizi bei ni nini wazeeBei zaporomoka ghafla...hadi 1900.
Sababu kubwa Ni covid-19(Corona)... Pia shambani Mwaka huu Ufuta mwingi saana,,duh hivi tatizo la kushuka hizi bei ni nini wazee
Mkuu vipi mnada wa Leo mambo yakoje.??Sababu kubwa Ni covid-19(Corona)... Pia shambani Mwaka huu Ufuta mwingi saana,,
Sijapata update bado labda jion hivi...Mkuu vipi mnada wa Leo mambo yakoje.??
Msaada utaupata nakuambia kuwa kuna makala humu ya kilimo cha ufuta tafuta utasoma kuna kila kitu umoSijakusoma mkuu inaman siwez pata msaada humu?
Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri toka kwa wadauSijakusoma mkuu inaman siwez pata msaada humu?
Nimekutumia link iyo ifungue uendelee kujifunza mwanzo mwisho. 🙏🙏🙏🙏Aaaah shukurani mkuu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mwaka huu kwani ni sh. Ngapi kilo 1?Bei ya ufuta mwaka huu, inawakatisha tamaa wakulima kabisa
1900 kilo ushirika, mtaani 1800 kgMwaka huu kwani ni sh. Ngapi kilo 1?
Mkuu kwa bei izo ni zakawiada kwenye ufuta huwa inaanzia 1,500 to 3,000,bei itacheza kwenye izo namba kwaiyo wakulima wamezoea na bado inawalipa kwa sababu wengi wanalima eneo kubwa.1900 kilo ushirika, mtaani 1800 kg
Mkuu hailipi kwa bei hiyo, coz ekari moja ya ufuta huwa inatoa gunia 3 kiwango cha juu, kwahiyo 1900×3= 570000. Ambapo mahindi ekari moja inaweza kutoa hadi gunia 10×60000= 600000 kiwango cha juu.Mkuu kwa bei izo ni zakawiada kwenye ufuta huwa inaanzia 1,500 to 3,000,bei itacheza kwenye izo namba kwaiyo wakulima wamezoea na bado inawalipa kwa sababu wengi wanalima eneo kubwa.,
Pia COVID19 imechangia kushuka kwa bei nadhani msimu wa mwakani itapanda sana na ninampango wa kwenda kuwekeza uko.