Wadau habari za mjengoni naomba niulize wataalamu wa vitunguu saumu.. kwa kanda ya pwani vinakubali kulimwa mm nipo zanzibar naomba ushauri au maelekezo kwa anaejua anisaidie tafadhali.
Ahsante
 
Habari wanaJF naitwa Pierre ni mkulima wa kitunguu swaumu pia ni suplier kwa mikoa ya dar morogoro pia na zanzbar kama kuna mtu anauhitaji wa kitunguu swaumu na anauhakika na soko kwenye maeneo yake kwa kiasi chakuanzia gunia moja na kuendelea tuwasiliane kupitia namba 0785092386,0758176570,0620630514,kitunguu kinalipa ulioko mkoa wowote kinafikika ukishakua na uhakika wa soko ntafute tufanye biasharaView attachment 1251709
 

Attachments

  • FB_IMG_1571760278470~2.jpeg
    64.2 KB · Views: 27
  • FB_IMG_1571760278470~2.jpeg
    64.2 KB · Views: 27
  • FB_IMG_1571760278470~2.jpeg
    64.2 KB · Views: 25
  • FB_IMG_1571760278470~2.jpeg
    64.2 KB · Views: 18
  • FB_IMG_1571760278470~2.jpeg
    64.2 KB · Views: 19
  • FB_IMG_1571760278470~2_1572680738095.jpeg
    51 KB · Views: 20
Nawasalimu kwa pamoja ndugu zangu
Mm nimejiunga huku kwa nia ya kujifunza kwa namna ya kipekee sana mmenipokea na kunionyesha ushirikiano hasa pale nilipohitaji msaada wa mawazo .
Asanteni sana kwa hilo
Pili
Nilisema awali ndoto yangu ni kilimo japo wachache walinidhihaki ila hazima yangu ipo palepale,
Kwa jasho na kujinyima nimefanikiwa kupata shamba Hekari 15 maeneo ya chalinze barabara ya kwa mwarabu
Nb
Nilinunua kupitia utaratibu ambao ni muongozo niliupata hapa jf.
Ombi langu tena,
Nnielekeze naweza kulima zao gani maeneo hayo?
WAZO LANGU
Kulima maharage ya soya
Kulima mahindi
Kulima nanasi
au zao lingine mtakalolipendekeza.
Ukweli nina nia na hili swala



Natanguliza shukran
Ni mategemeo yangu mtanishauri vema
 
Upo mkoa gan kaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakushauri ukiipata fanya majaribio kwenye small scale maana hakuna utapeli kama ulioko kwenye mbegu hapa Tanzania
Asante sana ndugu hata mm natamani kuanza kilimo cha kitunguu maji.. Pls naomba muongozo wako
 
Wadau nahitaji kufahamu kuhusu kilimo cha vitunguu kuanzia mbegu, mbolea madawa umwagiliaji nk. nitashukuru kwa anaefahamu akanisaidia kunipa maarifa ya kilimo hiki.
 
Habari wana JF,

Kama mada ilivyo hapo juu, Mwaka huu 2020 nimejipanga nijikite katika kilimo cha umwagiliaji wa kilimo cha vitunguu mwezi wa sita mwishoni naanza kazi, MUNGU ajalie uhai tu, nimejipanga kulima heka moja.

Naombeni wataalam mje na uzoefu mliona hapa.

KARIBUNI SANA.
 
Nakutia moyo mkuu lakini kilimo si rahisi km wengi wanavyozani. Lazma ugangamale kweli kweli kitunguu kinahitaji close up management and care. La sivyo kinaweza kukata hadi mtaji. Kila raheri lakni
 
Kwa mtuu yoyote ambaye yuko dar anafanya biashara ya vitunguu swaumu au ambaye ni dalali naomba anicheki kwa namba 0627477368 Nina mzgo wangu wa vituunguu swaumu nautoaa shambani tufanye kaz pamoja
 
Mkuu unahitaji Nini sasa, bado hujafafanua. Mi Niko na project hii kwa sasa, ukiamua unaweza kikubwa kuwa makini hasa Mbegu inapokuwa kitaluni hasahasa inapoanza kuota kabla haijapata jani la pili mana hapo inaweza kufa ovyoovyo so usipokuwa makini utaipoteza.

Ila baada ya kuanzia wiki mbili hadi tatu kitaluni Mbegu uanza kusurvive fresh. Vitu vya msingi ni kumwagilia na kupiga dawa ya ukungu na sumu kwa ajili ya wadudu waharibifu mara tu Mbegu itakapoota
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…