Nenda kwenye masoko ya hapo mjini au miji jirani kuna wanunuzi wa Jumla, itakuwa vizuri zaidi.Jamani natafuta mteja wa tikiti nimelima hekari moja zitafikisha siku 90 katikati ya huu mwezi (sept). Nimelima runzewe,geita
0759950491 tushafungua group la Wasap la wakulima WA matktSiyo hapa, sema tukutumie pm au weka namba yako tukutumie huko.
25 daysNashukuru sana kwa mwaliko Jenseny... Bila shaka nitatafuta wasaa nije kukutembelea... Hayo matikiti yapo vizuri.. Hongera sana.. Yana muda gani?
Uwe unakuja kutupa mrejesho NDG yangu mie naweka samad tareh 15 napand25 days
Umelimia wappoa hakuna shida
Okkimanzichana
Naomba weka link ya whatsapp group tujiungeWazo zur Mimi naanzisha na wewe sawa watakao penda pia watufuate
Siyo hapa, sema tukutumie pm au weka namba yako tukutumie huko.
Nimeshajiunga, asante
Jumla mpakka tank andaa 2.7milionNaombeni kujua bajeti ya kuanzisha umwagiliaji kwa njia ya matone kwa shamba la matikiti la ekari 1
06525775810759950491 tushafungua group la Wasap la wakulima WA matkt