Kilimanjaro: Waendesha bodaboda wamwaga chakula msibani, wadai marehemu alikuwa ananyimwa msosi

Safi sana!
 
Wao bodaboda walimpa au walimsaidia Nini huyo marehemu mpaka wajione wana haki zote za kufanya hivyo
 
Wachagga wanapita Kimiaaaaaa kama hili la aibu kubwa haliwahusu, naona UTV wamerusha hili tukio ni aibu sana Wachagga kumbe mu wachoyo.
 
Sio mbaya walifanya la maana sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...Kwa hiyo Waombolezaji woote wakashindwa kuthibiti vijana wasiozidi 20 na kukubali kumwagiwa chakula cha Msiba?
 
Pia na mambo ya ulevi kwenye misiba ni ya kawaida.
Yaani siyo kawaida tu, bali kama msibani watu hawajalewa lazima mtasemwa sana, misiba ya huko usione kila mtu kavaa koti, jamaa wanaonunua konyagi ndogo ndogo na kuzificha humo.

Chooni kila dakika kumbe mtu anaenda kupiga fundo 😁!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…