Mbona unacheka? Kwani ni ajabu Bi. Khadija kuwaambia wanae wapande jukwaani? Mbona ni mambo ya kawaida sana hayo kwenye haya mambo ya tuzo....
jide afungue kiwanda cha tuzo za kili. Ikipita mwaka hajashinda basi sio kili awards!
Hivi umesoma Yummy alivoandika? Eti Khadija kasema wengine wanapanda na rafiki zao wanangu na nyie njooni...yaani nime imagine vile alivyoiweka ...Mbona unacheka? Kwani ni ajabu Bi. Khadija kuwaambia wanae wapande jukwaani? Mbona ni mambo ya kawaida sana hayo kwenye haya mambo ya tuzo....
teh teh uyu ukute ata bimkubwa kammind! Gadna anajithd kuwa Romantic
Tuzo ya mwisho,mwimbaj bora wa kiume
Don't take it personal jamani mbona sie tunaongelea kawaida tuu,sasa mtu haruhusiwi kucheka???kama una kaka ukimpeleka akatoe posa itakua vizuri zaidi maana vifaa vinalipa kwakweli.
kwa sababu niipo kwa ajili yake enheee...
Nimependa Gadna alivyojitahidi kumpamba mkewe, japo anaonekana sio romantic kwa asili kabisa.
diamonds..
Hahah...hujui vitu vya Congo vilivyo durable halafu ni vya reasonable price...naona shemeji Gadner anajidai anampendaaa Jide wakati jide kila siku anampiga madongo kwenye nyimbo zake!!kumbe mtaa wa kongo,akha ctak,nkajua kongo kbsa,motema na ngai!
Huyu jd kajfcha,mumewe ndo kaja na bukta lake..duh
Huyu Vanessa Mdee anafanya shughuli gani?
Nimependa Gadna alivyojitahidi kumpamba mkewe, japo anaonekana sio romantic kwa asili kabisa.
Hivi umesoma Yummy alivoandika? Eti Khadija kasema wengine wanapanda na rafiki zao wanangu na nyie njooni...yaani nime imagine vile alivyoiweka ...