Yummy
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,796
- 1,337
Ikoje kwani?
Mnyama Hatari kama wewe umepitwaje kuwaona watoto wa Khadija wajamenii......naomba watoe picha kwenye magazeti kesho ndio ujioneee....naona lazma ukapose mmoja.
Ikoje kwani?
AM Record we are the Best
Amyner, wema kaachwa,na yule wa kwenye tsht kamuacha,so he is very single..cmon di'beb
Mwangaliaji bora wa KTMA..lolwema kapata pedeshee la kampun ya ulinzi,ka2lia na adab zote.. We una tuzo gan?lol
Mnyama Hatari kama wewe umepitwaje kuwaona watoto wa Khadija wajamenii......naomba watoe picha kwenye magazeti kesho ndio ujioneee....naona lazma ukapose mmoja.
Mnyama Hatari kama wewe umepitwaje kuwaona watoto wa Khadija wajamenii......naomba watoe picha kwenye magazeti kesho ndio ujioneee....naona lazma ukapose mmoja.
Yummy Yummy...hahahhhaaaMnyama Hatari kama wewe umepitwaje kuwaona watoto wa Khadija wajamenii......naomba watoe picha kwenye magazeti kesho ndio ujioneee....naona lazma ukapose mmoja.
Yummy Yummy...hahahhhaaa
Utaacha akaanze ku google mwenzio...
Ila Yummy kawasifia nadhani...si ndo maana anasema ukiwaona lazima ukapose mmoja kesho...Wala sikuona ubaya wowote. Ila kama ni kutoa dosari tu for the sake of kutoa dosari basi hakuna ambaye yuko salama hapo.
Mwangaliaji bora wa KTMA..lol
Mwenzangu bora hajatoka kapa! Maana imagine umejipigilia pamba unaishia kupiga makofi tu afu umetokea kwenye categories kibao!
Afu kili ya mwaka huu naona full kupigia promo ndugu kwenye steji. Kama mtu hajaleta dadake basi mwanae..
Hee..nashangaa marehem anapewa tuzo!! Haalafu we naona una utani wa ngumi!lol huna hata tai ya kipepeo,au sut ya mkia wa kondoo aagh tafuta ucngz uko!
Dr remmy r.i.p kapewa!
Try ur luck mwaya, ila angalia asije kukuumbua on stage. Lol. Hatabiriki yule jamaa!
Wala sikuona ubaya wowote. Ila kama ni kutoa dosari tu for the sake of kutoa dosari basi hakuna ambaye yuko salama hapo.
Wala sita google kwani niliwaona na sikuona ubaya wowote.
wana minyama ao na vile vidress! Duuh kama una miuchu lazima roho idundie chini ya kiuno kwa mbele
Hee..nashangaa marehem anapewa tuzo!! Haalafu we naona una utani wa ngumi!
Hahahaaaaa uwiiiii Amyner, mwenzangu si umemsikia Khadija ametia wengine wanapanda na marafiki zao na nyie wanangu njooni.....vikatoka vifaa vya nguvuuuuuuuuuu,ulividekshia?