Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,219
- 4,085
We hujalala tu? Si umeniaga??Hatimaye Barnaba kapata.
We hujalala tu? Si umeniaga??Hatimaye Barnaba kapata.
Hahah...hujui vitu vya Congo vilivyo durable halafu ni vya reasonable price...naona shemeji Gadner anajidai anampendaaa Jide wakati jide kila siku anampiga madongo kwenye nyimbo zake!!
Hahahaaaa angesema kabisa nampenda sana MKE wangu kwa msisitizo naona ingenoga zaidi
mnyama yamemshda amtafute Millard,clouds kesho ampe #,akishushuliwa na jf achange id
Alimeza speech alipofika mbele akasahau hata kutaja title ya "mke wangu"!
We hujalala tu? Si umeniaga??
Mweeee!!Sasambu tena? Mweh
A weird boy is doing something with the mic..
Hv ITV c inaonekana ht kwa antena ya kawaida au!!???
Ndio maana nashangaa sizioni like!!Niko na mchina angu kitandani, sijafumba macho.