Kilimanjaro Music Awards 2012

Kilimanjaro Music Awards 2012

Hivi hiyo HAKUNAGA mbona mimi nimegomaaaa....nisaidieni jamani uwiiiiii
 
Nimefurahi Manek anamkubali R.I.P Producer Roy Bukuku the guy was extremely good. Namkubali hasa kwenye wimbo wa Suma Lee wa Chungwa

waoh dats gud sana,amefurah teh
 
wats up with mmmh me diamond nshamtx,napenda lips zake,akajib you too!
Inamaana hunion mpaka uende kwa diamond? Diamond mwenyewe kwanza keshabebwa na wema!!
 
Inamaana hunion mpaka uende kwa diamond? Diamond mwenyewe kwanza keshabebwa na wema!!

wema kapata pedeshee la kampun ya ulinzi,ka2lia na adab zote.. We una tuzo gan?lol
 
Nimegoma kuamini Ali Kiba kapata moja tu???angalau angepata na wimbo bora wa mwaka jamani au Afro pop!!!!mi umia sana

Mwenzangu bora hajatoka kapa! Maana imagine umejipigilia pamba unaishia kupiga makofi tu afu umetokea kwenye categories kibao!
Afu kili ya mwaka huu naona full kupigia promo ndugu kwenye steji. Kama mtu hajaleta dadake basi mwanae..
 
Back
Top Bottom