Amyner
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 2,396
- 882
Uyu dogo wa sasambu,ucshangae mwakan ana tuzo
Unacheki swaga zake? Anajiachia huyoo..
Uyu dogo wa sasambu,ucshangae mwakan ana tuzo
Sasambu tena? Mweh
diamond na kundi lake wamependeza na akina barnaba na vikoti vyao.
Ila baada ya kumuona ali kiba na G habash, vile vikoti oyee nimeviona kama vya sh. 721.
Hehehee wanajishebedu hao...What a way to close the show.....hahahaahhaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ndio maana nashangaa sizioni like!!
Nikafikiri siku hiz umeanza kuziuza likes zako!!
...kwaheri jamani. Baadae Mungu akipenda.
Huyu Vanessa Mdee anafanya shughuli gani?
Unauliza makofi polisi!Nikuuzie unapesa weye?
Angekuwa bepari B labda.
very very awkward! Mwakan ana tuzo
Ha..ha..ha this is Tz bwana.Mtu kama Fid Q kila siku anatajwa tu kwenye categories wakati yeye ndiye true definition ya HipHop/Rap in Tz.
True dat.Ha..ha..ha this is Tz bwana.Mtu kama Fid Q kila siku anatajwa tu kwenye categories wakati yeye ndiye true definition ya HipHop/Rap in Tz.
Unauliza makofi polisi!
Rejao tena..mzee wa Vogue, VW na ma bima ya kutosha!!