The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,381
- 1,760
Unapoishi kuna migomba?
Huenda. Aweke na ya kung'aaa balaaaItakuwa anabadili rangi kwa kila uzao.
Hahahaa, hatari sana mpaka mama yao kawakimbia!nimecheka sana hapo kwa kuku kupambana na kifaranga hahahahaha
Rangi zile za ukilini rangi gani hiyo ya nyumba au
shukranRangi zile za ukili
Kama una bib yako anaesuka mikeka utakuwa wajua zile rangi anazo pambia mikeka ndo hizoWabongo mnapenda mteremko, hiyo ni rangi ya nyumba au?
Bibi yangu au bibi yakoKama una bib yako anaesuka mikeka utakuwa wajua zile rangi anazo pambia mikeka ndo hizo
Utajua wewBibi yangu au bibi yako