Kilichonipata leo, nimekoma!!

Tatizo liko wapi wakati amekueleza kuwa kwao ni Katesh?¿
 
Ah huo mkwara tu hana lakukufanya mu iraq kama hajakuachia gonjwa we tuliza moyo tu au kama unaona anadaliki zakuwa mshirikina vuta bangi kila siku jioni kwa mda wa miezi miwili uchawi hautakushika
 
Pole sana, adhabu yoyote utakayopatiwa ni HALALI yao. Jitahidi kuwa mpole
 
Bro una mtoto mmoja tayar kumbuka huyo Dada mnafanya nae kaz ofc moja nzur zaid anawatoto wengi ikiwa ni pamoja na mwanao tambua hao watoto wana baba zao IPO ck watawachukua pia huyo Dada anatafuta mwanaume wa kuishi nae sio mzinguaji kiivyo cha kufanya kuishi na mwanamke ambae ameshazaa sio tatizo tatizo ni kujua heshima anayo au hana kama heshima IPO bro weka ndan fumba macho Lea mwanao wanaume kulea watoto wa mwanamke tunaweza sana ila mwanamke wa kulea watoto wa Mme ni nadra kumpata nakushaur tu kaa nae meza moja cku zote baba wa kufikia ikiwa kakupa malezi bora huwa na thaman kubwa sana Siku za badae
 
aisee mi naona hpo achana nao wote hyo muiraq na hyo mama wa mtoto .fikiria jinc ya kumlea mtoto kama ww jpo mtot atakosa malez ya mama ila ndo hvo.. hyo mama ukimuachia mtot ikitokea kam hvo tna atakua anakusumbua miaka yote hta mtoto akikua..
 
Ww tulia tu, huyo atakupigia simu mwenyewe. Usimtafute!! Hamna kitisho hapo. Hizo ni trela tu. Mm nshakutana nazo kibao na hakuna lolote.
Hawa Single mothers kwa sasa hiki kizazi chetu hakiwapendi kuwaoa. Ni kuwa kung'uta tu na kuwa acha. Hapo anataka akufunge kamba mguuni ki nguvu. Wao wakiwa bado wabichi na warembo hujidai sn kuwa wanakula ujana na salary yao kwanza. Wakizeeka ndio wanasituka kumekucha. Komaa ruka vibaya mno!!
 
Mkuu Pole kwa maswahiba hayo!

Huyo Muiraq kwanza achana nae na kaa nae mbali saana kwasababu si muelewa, Alitakiwa akuvumilie japo kwa siku ile akae ajue nini kimekusibu mpaka ukaachiwa mtoto.. japo ni ngumu saana kwa mazingira ya mahusiano yenu yeye kuelewa.
Kingine ni kwanini akudai nauli tena kwa vitisho vikali, kwa hakika huyo hakufai kabsaa.

Tukirudi kwa baby mama wako yeye anakutaka toka kitamboo na ndio maana kakubebea mimba akijua uhusiano wenu utakua mkubwaa na imekua tofauti na matarajio yako. Mtafute mueleze ukweli nina imani atakuelewa kwa kuwa umekua ukishirikiana nae kwa karibu kwenye malezi. Alafu kaa nae mbali kwani huyo ataendelea kuwa kikwazo kwenye mahusiano yako yoyote yale.

Mwisho mkuu tuisendekeze tamaa za nyege kwa kukatisha ndoto za maisha yetu, Kwani wanaume wengi tunangonoka na wanawake ambao sio machaguo yetu kwakuwa tuu tumevutiwa labda na nyama nyama zao plus manyege yetu!!
 
Mpeleke ustawi wa jamii, hilo no kosa kubwa kukuachia mtoto mdogo kiasi hicho.
 
Wewe amka usingizini umeliwa laki2 yako Nauli gani ya Morogoro manyara hiyo huo ulikuwa mkwara tu ili usisikie maumivu ya Pesa yako....!!
 
Mtoa post umesema amepata mimba bila makubaliano! Unazungumzia makubaliano ya aina gani wakati hamkuwa mnatumia kinga? je ukipata ukimwi utasema amekupa bila makubaliano? Stupid.
Naaammm....na akome kabisa kufunua akina mama hovyox2!
 
Yaan hapo in short huna mwanamke anayekufaa hata mmoja wote hao nimashetan, kwanza huyo mzazi mwenzako hana roho yahuruma hata kidogo iweje akuachie mtoto mdogo kiac hicho hali yakuwa anajua kabisa mtoto hana hatia? Nahuyo muiraq iweje akupunue pesa yote hiyo sikukukomoa huko? Natena anatishia kumuua mtoto mpaka umpatie hela, me nakushaur piga chini wote hao uanze upya
 
hama lolote mkwala tu huo....yeye ulishamtafuna na malipo umempa lak2.....angekaa kwao katesh asingeipata hiyo lak2.....kaa nae chini huyo aliekuachia mtoto mweleze ukwel kilichokuchefua wewe.....nikwamba alikuficha.kuwa tayar alishazaa watoto.....so mpange mengine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom