Kilichonipata leo, nimekoma!!

Kilichonipata leo, nimekoma!!

Mkuu huyu dada watoto wake aliwaacha Mkoani,na kwa namna alivyo huwezi kudhani kama ameshazaa!!
Hata kama angekuwa amewaacha mbinguni, huwezi kutofautisha huyu amezaa, tena sio kuzaa tu tena watoto wawili???

Jitathimini upya kama unadanganywa kirahisi hivyo!
 
Pole Mzee mwenzangu mtafute mama wamtoto ongea nae kistarabu ww uhudumie mtt wako nayy afanye yake mbna ww hikumfanyia fujo ulivyo waleta hao watt wake kaambali nae nahuyo wakalatu pigs chini yy ndie atakutafuta by
 
Mara ya kwanza "mgeni" wa hivyo hakaribishwi nyumbani. Next time ukitaka kufanya hivyo, take note.

Anakaribishwa home ukishajiridhisha kuwa anafaa hata kumtambulisha kwa jirani zako. After a few "hits" ndio waweza kufanya hivyo.
 
Kwahyo sasa hivi unalea mtoto...hakalii!!! Utafanyaje kazi sasa mkuu...kwa hatua hii hauna budi kujishusha...
 
Mkuu, mpeleke huyo mtoto kwa mama yako mzazi huko nna imani atalelewa vema hutokuwa na wasiwasi, na kuhusu hao wanawake neither of the two is an ideal woman for u. Ukishampata mwanamke utakaeona waweza kuishi nae muweke wazi juu ya huyo mtoto uliyenaye mwanzoni mwa mahusiano yenu na mkifanikiwa kuoana kamchukue mtoto kwa mama yako.. Kama ningekuwa mm ningeenda na option hiyo
 
Safi sana, huyo mwanamke ameanzisha kampeni inayoitwa
"mama rudisha mtoto kwa baba, akitaka umlee, akuoe"
Wanawake muungeni mkono mwenzenu.
Hakika mnaweza.
Wanawake oyeeeeeeeeeee!!!
 
3b9949d8a7d963c39a23e45fb30838eb.jpg
pole kaka. Siku ingine shika adabu yako na ukome kudharau dada zako
Sidhani kama umesoma post yake ukaielewa vizuri. Dhalau iko wapi hapo?
 
Ndugu zangu wanaume wenzangu,kuna wakati tunafanya mambo na kuona ya kawaida sana,lakini ni hatari kuliko tunavyoweza kudhani.

Hapa nilipo siamini kilichonitokea,na sijui kesho yangu itakuwaje kwani vitisho nilivyopata vinaogopesha,wenzangu hapa mwaweza kunishauri.nisiwachoshe sana,iko hivi;

Nimekuwa kwenye mahusiano na msichana mmoja wa kiiraq mwenyeji wa huko Manyara,tulikuwa tunawasiliana vizuri kabisa kabla hatujaonana,kama miezi miwili hivi tukaonana Singida,it was very nice kwa kweli,tukapanga appointment nyingine msimu huu wa mapumziko,tukakubaliana aje Morogoro,(ndipo ninapoishi).

Pasipo hiana mtoto wa watu kafunga safari kutoka kwao katua Morogoro jana majira ya saa kumi hivi,nikamkaribisha nyumbani kwangu,tumefarijiana usiku kucha,pasipo na bugudha yoyote.

Kilichiharibia siku ni kwamba kuna mdada nilikuwa naye katika mahusiano,anakaa karibu na maeneo ninayoishi,nilikuwa naye katika mahusiano baada ya yeye kunishawishi sana,(tunafanya kazi ofisi moja) wakati tunaendelea na mahusiano aliniambia anataka mtoto wangu nikajua ananitania,lakini baadaye nikashangaa kweli ame-conceive,(bila makubaliano) kilichoniudhi zaidi nikagundua huyu dada ana watoto wengine wawili alikuwa amewaacha huko mkoani kwao,miezi kadhaa akawabeba watoto wake wote akakaa nao.

Sasa leo nikiwa na mgeni wangu,ambaye kiukweli ndo nimepanga kumuoa,mlango umegongwa,kufungua ni yule dada mwenye watoto wengi,hakuwa amewahi kuja karibia miezi 7 sasa,amekuja na mtoto ambaye kiukweli nimekuwa nikichangia malezi yake vema kabisa,amekuja akiwa amejaa hasira na kutaka kufanya fujo ndani kwangu,mwanaume nikalazimika kuwa mpole sana,ili kusolve mambo kimya kimya bila kujaza watu wengi,nimejitahidi sana kubembeleza mpaka kupiga magoti ili tu kulinda heshima yangu mtaani.

Akaamua kuondoka na kuniachia mtoto hapo ndani,na huyu mgeni wangu kageuka mbogo,mkali vibaya mno,akanambia anataka kuondoka,nimembembelez asiondoke kagoma,akanitaka nimpe nauli,nikampatia kama laki moja hivi akadai nimuongeze laki moja nyingine,otherwise anamnyonga mtoto,kwa muda huo alikuwa amembeba yeye,nikamuongeza laki moja akamtupa mtoto kitandani,akaondoka zake,lakini akaniambia "NAKWAMBIA UTANITAFUTA,LAZIMA NIKUTIE ADABU,LIKIKUPATA LA KUKUPATA KWETU KATESH,UTANIFUATA BILA KULAZIMISHWA" Maneno haya yameniogopesha sana japo sikuyajali sana.
Hapa nipo na mtoto wa miezi mitatu hivi,sielewi hata nifanye nini kwani mama yake hajarudi tena tamgu ameondoka.
Kwanza shukuru kwa imani yako kuwa umeifahamu rangi halisi ya huyo muiraqw wako. Ilikuwa ukatwe kende siku moja au mwanao auawe ukiwa tayari umeshamuoa huyo bibie. Yajenge tu na mzazi mwenzio.
 
hahahahah nmecheka na kukumbuka ule usemi wa single mother sasa Leo semeni single father Lea tuu mkuu
 
hahahahah nmecheka na kukumbuka ule usemi wa single mother sasa Leo semeni single father Lea tuu mkuu
 
Kuna kipindi namkumbuka sana swahiba General Galadudu ndio mtaalamu wa mambo kama haya hapo atakuambia tafuata mguu wa kuku(bastola) ulipe kisasi haaaaa haaaaa
 
Soma vizuri post yangu kwa utulivu kabisa,utaelewa,kumbuka hakuniambia kuwa ana watoto wengine watatu,nilipogundua hilo nikajisepesha tu,na kuamua kuanza upya,ndo yamenifika hayo,kosa langu mimi ni nini mkuu
Hukumfahamisha yeye wala hiyo mu iraq ho ndiyo kosa lako
 
ucwaze sana mkuu. mama mtoto atarudi tu hawezi achaniza mtoto wake hasira zikishuka.
 
hivi nyinyi wanaume mbona mnatudhalau sana? Kila post apa mmu ni kutugegeda, nk!
we ni kuchomeka tu mkuki wako kila sehemu? Kuna siku utagegeda jini wallahi...
Note! Umejiung great thinkers tareh 20Dec 2016?
Kwani mkigegedwa ndo kudharauliwa?
 
Aiseee Mungu niepushie hiyo roho ngumu yani kumuacha mwanangu mdogo kwa mwanaume kisa sijui vitu gani tu
 
Kwani mkigegedwa ndo kudharauliwa?
Ukionjeshwa kaa kimya! Siyo kupiga domo kitaa...ohooo bin fulan mbona wangu, ata nikiweka laud spika nimwite analeta k. fasta....pumbavuuhhh
 
Back
Top Bottom