Thanks alot ndugu yangu,nimekuelewa sanaaaa!!!Maisha lazima yaendelee, kuwa na msimamo kama mwanaume just be straight mwambie huyo mzazi mwenzio kuwa kuolewa afute akilini (kama unavyodai huna mpango wa kumuoa), tafuta mwanamke wa kujenga nae maisha oa huyo wa kateshi hakufai hata kidogo, kama katishia kumnyonga mtoto expect unexpected ukimuoa yeye. Ova
Upuuzi upi??Umesaau upuuzi wako uloufanya Mbeya Day?
Ahsante kwa mchango wako,lakini umesahau kitu kimoja kuwa haya ni mapenzi,na wakati fulani mapenzi ni upofuMtoa post umesema amepata mimba bila makubaliano! Unazungumzia makubaliano ya aina gani wakati hamkuwa mnatumia kinga? je ukipata ukimwi utasema amekupa bila makubaliano? Stupid.
a sijakuelewa mkuu naruka rukaje hapo,hebu niweke sawa tafadhaliAcha kuruka ruka kuwa na msimamo, wanawake ni walewale
Sasa usiseme amepata ujauzito bila makubaliano wakati unajua hamkutumia kinga. Au ulimaanisha makubaliano kwa mwanasheria?Ahsante kwa mchango wako,lakini umesahau kitu kimoja kuwa haya ni mapenzi,na wakati fulani mapenzi ni upofu
Niliingia kwenye mahusiano naye baada ya kupima,na swala la kuzaa kwa watu wanaojielewa ni issue yakujadili, kukubaliana na kuamua,lakini maamuzi ya upande mmoja pekee bila kushirikishana si sawa,that is why mwanamke akiamua kuzaa anazaa tu,lakini asipoamua mwanaume wawezafanya vyovyote ufanyavyo na bado asizae,so,issue si kutumia au kutotumia kondom!!!Sasa usiseme amepata ujauzito bila makubaliano wakati unajua hamkutumia kinga. Au ulimaanisha makubaliano kwa mwanasheria?
Punguza hasira dada,halafu sipo hivyo ufikiriavyo,ukisoma maelezo yangu kwa kutulia sana utaelewa,na katu hautanituhumuhivi nyinyi wanaume mbona mnatudhalau sana? Kila post apa mmu ni kutugegeda, nk!
we ni kuchomeka tu mkuki wako kila sehemu? Kuna siku utagegeda jini wallahi...
Note! Umejiung great thinkers tareh 20Dec 2016?
Bora
Bora hata wewe lakini sio TEACHER MSIGWA,SIJUI NI TEACHER KWELI AU KAJIPACHIKA TU
hata post hajasoma akaielewa,ameishia ku commentUnajuwa walimu walivyo mbogo najuu ya Hilo mshahara hawajapata.Msamehe tu
Sasa mwanaamke anaamuaje kuzaa au kutokuzaa wakati mbegu zinaingia? Maamuzi ya kutokuzaa au kuzaa lazima yaendane na kinga za asili au za kisasa.Niliingia kwenye mahusiano naye baada ya kupima,na swala la kuzaa kwa watu wanaojielewa ni issue yakujadili, kukubaliana na kuamua,lakini maamuzi ya upande mmoja pekee bila kushirikishana si sawa,that is why mwanamke akiamua kuzaa anazaa tu,lakini asipoamua mwanaume wawezafanya vyovyote ufanyavyo na bado asizae,so,issue si kutumia au kutotumia kondom!!!
Kwa usalama wa mtoto wangu asiye na hatia hata ingekuwa laki tano ningempa tuHuyo wa kateshi n muuuza papa kama walivo wengne...umekula mzigo kwa laki mbili? Ww nae bogus kwel