Kilichonipata leo, nimekoma!!

Mkiambiwa msiikaribie zinaa mnajifanya wajuaji sasa hyo ni rasharasha tuuu mvua yenyewe bado kabsaaa
Sijakuelewa mkuu kuiakaribia zinaa kivipi,kumbuka nilipoanza naye mahusiano huyu mama wa mtoto nilikusudia kumuoa kabisaaa,lakini baada ya kugundua kuwa ana watoto watatu ilinikatisha tamaa nikaamua kuanza mahusiano mapya,
 
Usicheze na mtoto wa Kaatesh, labda kama kumeokoka sawa. Tafuta mtu akubembelezee ili mwenye mtoto arudi muyajenge, hatari sana!.... Pole aisee! Wazazi hawaachanagi...huwa wanapumzishana tu
Kiukweli nimejikuta katika wakati mgumu sana,na katika maisha yangu sijawa mtu wa kucheat kabisaa
 
Hivi wanaume ni kwa nn mnapiga kavu na wanawake ambao hmjapanga kuzaa nao?k
una madem wapo ki mitego, yaan anaomba mungu apate hata mwanaume wa kumpa hela ya kula kwa siku,so anabeba mimba maksudi akijua ndo gia ya kuolewa.

BTW humtaki huyo mwenye watt wengi lakin jua hata huyo mu iraq si mwanamke sahihi kwako, ni wazuri kwa sura tu lakin tabia hakun kitu.
 
Maisha lazima yaendelee, kuwa na msimamo kama mwanaume just be straight mwambie huyo mzazi mwenzio kuwa kuolewa afute akilini (kama unavyodai huna mpango wa kumuoa), tafuta mwanamke wa kujenga nae maisha oa huyo wa kateshi hakufai hata kidogo, kama katishia kumnyonga mtoto expect unexpected ukimuoa yeye. Ova
 
Jamani hapo nina kosa kweli???kama ndiyo kosa langu ni nini?:eek::(:(:(
Kama mama yako yupo mpeleke mtoto kwa bibi yake au kwa dada zako ambao wanawatoto watamlea mtoto akua,kabla ya kumpeleka huko pitia vyombo vya usalama utoe taarifa juu ya kuterekezewa mtoto maana muda si mrefu utaitwa mwizi wa mtoto,usithubutu kumfuata huyo aliyekuja kukuterekezea mtoto na wala huyo wa katesh hawama sifa ya kuitwa mke,ila jiandae kisaikorojia kupelekwa ustawi wa jamii na mzazi mwenzio akidai mtoto wake
 
Ndugu zangu wanaume wenzangu,kuna wakati tunafanya mambo na kuona ya kawaida sana,lakini ni hatari kuliko tunavyoweza kudhani.

Hapa nilipo siamini kilichonitokea,na sijui kesho yangu itakuwaje kwani vitisho nilivyopata vinaogopesha,wenzangu hapa mwaweza kunishauri.nisiwachoshe sana,iko hivi;

Nimekuwa kwenye mahusiano na msichana mmoja wa kiiraq mwenyeji wa huko Manyara,tulikuwa tunawasiliana vizuri kabisa kabla hatujaonana,kama miezi miwili hivi tukaonana Singida,it was very nice kwa kweli,tukapanga appointment nyingine msimu huu wa mapumziko,tukakubaliana aje Morogoro,(ndipo ninapoishi).

Pasipo hiana mtoto wa watu kafunga safari kutoka kwao katua Morogoro jana majira ya saa kumi hivi,nikamkaribisha nyumbani kwangu,tumefarijiana usiku kucha,pasipo na bugudha yoyote.

Kilichiharibia siku ni kwamba kuna mdada nilikuwa naye katika mahusiano,anakaa karibu na maeneo ninayoishi,nilikuwa naye katika mahusiano baada ya yeye kunishawishi sana,(tunafanya kazi ofisi moja) wakati tunaendelea na mahusiano aliniambia anataka mtoto wangu nikajua ananitania,lakini baadaye nikashangaa kweli ame-conceive,(bila makubaliano) kilichoniudhi zaidi nikagundua huyu dada ana watoto wengine wawili alikuwa amewaacha huko mkoani kwao,miezi kadhaa akawabeba watoto wake wote akakaa nao.

Sasa leo nikiwa na mgeni wangu,ambaye kiukweli ndo nimepanga kumuoa,mlango umegongwa,kufungua ni yule dada mwenye watoto wengi,hakuwa amewahi kuja karibia miezi 7 sasa,amekuja na mtoto ambaye kiukweli nimekuwa nikichangia malezi yake vema kabisa,amekuja akiwa amejaa hasira na kutaka kufanya fujo ndani kwangu,mwanaume nikalazimika kuwa mpole sana,ili kusolve mambo kimya kimya bila kujaza watu wengi,nimejitahidi sana kubembeleza mpaka kupiga magoti ili tu kulinda heshima yangu mtaani.

Akaamua kuondoka na kuniachia mtoto hapo ndani,na huyu mgeni wangu kageuka mbogo,mkali vibaya mno,akanambia anataka kuondoka,nimembembelez asiondoke kagoma,akanitaka nimpe nauli,nikampatia kama laki moja hivi akadai nimuongeze laki moja nyingine,otherwise anamnyonga mtoto,kwa muda huo alikuwa amembeba yeye,nikamuongeza laki moja akamtupa mtoto kitandani,akaondoka zake,lakini akaniambia "NAKWAMBIA UTANITAFUTA,LAZIMA NIKUTIE ADABU,LIKIKUPATA LA KUKUPATA KWETU KATESH,UTANIFUATA BILA KULAZIMISHWA" Maneno haya yameniogopesha sana japo sikuyajali sana.
Hapa nipo na mtoto wa miezi mitatu hivi,sielewi hata nifanye nini kwani mama yake hajarudi tena tamgu ameondoka.
Acha kuruka ruka kuwa na msimamo, wanawake ni walewale
 
hivi nyinyi wanaume mbona mnatudhalau sana? Kila post apa mmu ni kutugegeda, nk!
we ni kuchomeka tu mkuki wako kila sehemu? Kuna siku utagegeda jini wallahi...
Note! Umejiung great thinkers tareh 20Dec 2016?
 
Ndugu zangu wanaume wenzangu,kuna wakati tunafanya mambo na kuona ya kawaida sana,lakini ni hatari kuliko tunavyoweza kudhani.

Hapa nilipo siamini kilichonitokea,na sijui kesho yangu itakuwaje kwani vitisho nilivyopata vinaogopesha,wenzangu hapa mwaweza kunishauri.nisiwachoshe sana,iko hivi;

Nimekuwa kwenye mahusiano na msichana mmoja wa kiiraq mwenyeji wa huko Manyara,tulikuwa tunawasiliana vizuri kabisa kabla hatujaonana,kama miezi miwili hivi tukaonana Singida,it was very nice kwa kweli,tukapanga appointment nyingine msimu huu wa mapumziko,tukakubaliana aje Morogoro,(ndipo ninapoishi).

Pasipo hiana mtoto wa watu kafunga safari kutoka kwao katua Morogoro jana majira ya saa kumi hivi,nikamkaribisha nyumbani kwangu,tumefarijiana usiku kucha,pasipo na bugudha yoyote.

Kilichiharibia siku ni kwamba kuna mdada nilikuwa naye katika mahusiano,anakaa karibu na maeneo ninayoishi,nilikuwa naye katika mahusiano baada ya yeye kunishawishi sana,(tunafanya kazi ofisi moja) wakati tunaendelea na mahusiano aliniambia anataka mtoto wangu nikajua ananitania,lakini baadaye nikashangaa kweli ame-conceive,(bila makubaliano) kilichoniudhi zaidi nikagundua huyu dada ana watoto wengine wawili alikuwa amewaacha huko mkoani kwao,miezi kadhaa akawabeba watoto wake wote akakaa nao.

Sasa leo nikiwa na mgeni wangu,ambaye kiukweli ndo nimepanga kumuoa,mlango umegongwa,kufungua ni yule dada mwenye watoto wengi,hakuwa amewahi kuja karibia miezi 7 sasa,amekuja na mtoto ambaye kiukweli nimekuwa nikichangia malezi yake vema kabisa,amekuja akiwa amejaa hasira na kutaka kufanya fujo ndani kwangu,mwanaume nikalazimika kuwa mpole sana,ili kusolve mambo kimya kimya bila kujaza watu wengi,nimejitahidi sana kubembeleza mpaka kupiga magoti ili tu kulinda heshima yangu mtaani.

Akaamua kuondoka na kuniachia mtoto hapo ndani,na huyu mgeni wangu kageuka mbogo,mkali vibaya mno,akanambia anataka kuondoka,nimembembelez asiondoke kagoma,akanitaka nimpe nauli,nikampatia kama laki moja hivi akadai nimuongeze laki moja nyingine,otherwise anamnyonga mtoto,kwa muda huo alikuwa amembeba yeye,nikamuongeza laki moja akamtupa mtoto kitandani,akaondoka zake,lakini akaniambia "NAKWAMBIA UTANITAFUTA,LAZIMA NIKUTIE ADABU,LIKIKUPATA LA KUKUPATA KWETU KATESH,UTANIFUATA BILA KULAZIMISHWA" Maneno haya yameniogopesha sana japo sikuyajali sana.
Hapa nipo na mtoto wa miezi mitatu hivi,sielewi hata nifanye nini kwani mama yake hajarudi tena tamgu ameondoka.
3b9949d8a7d963c39a23e45fb30838eb.jpg
pole kaka. Siku ingine shika adabu yako na ukome kudharau dada zako
 
Back
Top Bottom