CHIEFMANGU
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 499
- 736
- Thread starter
- #21
Sijakuelewa mkuu kuiakaribia zinaa kivipi,kumbuka nilipoanza naye mahusiano huyu mama wa mtoto nilikusudia kumuoa kabisaaa,lakini baada ya kugundua kuwa ana watoto watatu ilinikatisha tamaa nikaamua kuanza mahusiano mapya,Mkiambiwa msiikaribie zinaa mnajifanya wajuaji sasa hyo ni rasharasha tuuu mvua yenyewe bado kabsaaa