Kilichonikuta

Kilichonikuta

Ondoka hapo dadangu maana naamini umepotea barabara ya kati kama siyo reli ya Tazara.
 
Sasa bi dada unachoshangaa ni kipi, maana hata wewe ndani ya maelezo naona umebebwa kama ubwabwa wa shughuli.
Sioni mahali kuwa ulifunga ndoa, bali umesema ulizaa tu na huyu kifanyio dind.a.
Hivyo kaa hapo hapo bi dada lea wana wa wanawake wenzako.

Ubwabwa wa shughuli.. Mie naja na sahani nijisavie.. Hujambo wewe??

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mnapishana miaka ISHIRINI na ngapi?

Bora umesema wewe dada angu Kaunga.. Manake yeye ana 27, mwanaume ana mtoto yuko chuo..

I'm speech less

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
lol! Wapiii!! BAK huwa hakimbii majukumu rafiki. Weye ugonjwa wako naujua ugali, mlenda na samaki wa kukaanga kisha muziki wa kwaito kwisha kazi 🙂🙂 machozi yatakauka yenyewe...mdogo wako Fanta sambusa 🙂 na Careless Whispers kwisha kazi badala ya kulia anaanza kutabasamu lol! Chezeya BAK weye!!!



ha haaa, mdogo wangu, naona mtu hapa anaogopa kubembeleza........
 
Last edited by a moderator:
lol! Wapiii!! BAK huwa hakimbii majukumu rafiki. Weye ugonjwa wako naujua ugali, mlenda na samaki wa kukaanga kisha muziki wa kwaito kwisha kazi 🙂🙂 machozi yatakauka yenyewe...mdogo wako Fanta sambusa 🙂 na Careless Whispers kwisha kazi badala ya kulia anaanza kutabasamu lol! Chezeya BAK weye!!!


ha haaaaa, lol!

cc. snowhite
 
Last edited by a moderator:
mkenge ndo ameshauvaa hivyo........
ngoja nisiseme sana.... ila najiuliza tu hivi nitabebaje mimba ya mtu ambaye simjui?
kwa maana nyingine huyu mpaka anahamia kwa huyo kaka ni hamjui kabisaaaaaaa

ule msemo wa Mwalimu wenu kipofu ndo unadhihirika ktk mambo kama hayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom