Kilichonikuta

Kilichonikuta

ha haaa, lol!
ngoja ntaongea naye, usikute teja hampi hata sekunde, lol!

yani dada kubwa bana!nakupendaje sasa unaponitetea namna hii!
huyu shem wako nae,si ulishamwambia utatuita kama familia tuyamalize!?
sasa analalamika nini!
 
yani dada kubwa bana!nakupendaje sasa unaponitetea namna hii!
huyu shem wako nae,si ulishamwambia utatuita kama familia tuyamalize!?
sasa analalamika nini!
eti anasema wewe ndo huna nafasi ya kukutanishwa......
najua mdogo wangu tulivyoambiwa kuleeeeeeeeee wakati uleeeeeeeeeeee kuwa teja first
lakini pia hawa mashem unajua tusipowaweka sawa mambo yanaweza kuwa magumu sana.
jitahidi kutafuta nafasi hata masaa machache tuyasuluhishe, maana naona shem Nicas Mtei hapa anataka kuanzisha ya kuanzishwa.... tusimpe nafasi mdogo wangu, sawa?
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
eti anasema wewe ndo huna nafasi ya kukutanishwa......
najua mdogo wangu tulivyoambiwa kuleeeeeeeeee wakati uleeeeeeeeeeee kuwa teja first
lakini pia hawa mashem unajua tusipowaweka sawa mambo yanaweza kuwa magumu sana.
jitahidi kutafuta nafasi hata masaa machache tuyasuluhishe, maana naona shem Nicas Mtei hapa anataka kuanzisha ya kuanzishwa.... tusimpe nafasi mdogo wangu, sawa?

Mwambie akuelewe
 
Last edited by a moderator:
Mama za hao watoto pia waliwahi kukaa hapo na Mama mkwe kama ambavyo ww leo upo ukiwalea hao ulio wakuta;Ipo siku na ww utaondoka na atadanganywa mwingine kama ulivyo danganywa ww ili kuja walea hao watoto akiwemo na mtoto wako utakaye muachia!

Haiitaji hata uwe na certificate ya sociology kugundua kuwa mmeo akikuchoka atakutimua kama alivyowatimua wazazi wenzie wa hao watoto na ataleta mdada mwingine aishi na MAMA MKWE kama ambavyo unaishi nae sasa AHAHAHAHAHA!
 
Habari za mida hii ndugu jamaa na marafiki wa jamii forum:
Naomba ushauri wenu wa kufanya baada ya kuguswa na haya yaliyonikumba,

Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 27 nilitokea kupendana na kijana mmoja wakati niko nasoma chuo,alinieleza ana mtoto mmoja yuko vijijini kwa wazazi wake na ndiko anakolelewa huko,nilimuuliza kuhusu mwanamke aliyezaa naye akanieleza kuwa hawana mahusiano yaani walishatengana muda mrefu sasa,kwa sababu nilimpenda sana sikuona mbaya niliona yule mtoto hana sababu ya kunifanya nisiendelee kumpenda huyo kijana kwa bahati nzuri nikabahatika kupata mtoto naye mmoja,baada ya kumaliza chuo akaniambia twende tukaishi kwao,sikuwa na namna ya kukataa ukizingatia nishamfahamisha kwetu na tuna mtoto.
huwezi amini niliyoyakuta huko,hapo nyumbani kama ilivyo kawaida ya jamii za kiafrika huwezi ishi wewe na mume wako tu lazima mtakuwa familiya kubwa basi nilikuta watoto kama wawili na mama mkwe. siku moja mtoto mkubwa katika kupiga story alijikuta akiniambia kwamba yeye ndiye mtoto wa kwanza wa huyu mwanaume niliyenaye na yuko chuo,wa pili yuko form 2,wa tatu yuko la 5 na wa nne yuko nasari.mh! kweli sikuamini niliumia sana mpaka yule mtoto alijuta kwa nini aliniambia, alifahamu kuwa nafahamu.Mume wangu alivyorudi nilimuuliza alikiri lakini alistuka nimejuaje nilimtuhumu kwa nini alinidanganya,aliomba msamaha sana sana.
Sasa naomba ushauri kutoka kwenu NIFANYEJE?

Hii hadithi inafundisha vizuri sana. Wadada mmeielewa.???
 
Sasa bi dada unachoshangaa ni kipi, maana hata wewe ndani ya maelezo naona umebebwa kama ubwabwa wa shughuli.
Sioni mahali kuwa ulifunga ndoa, bali umesema ulizaa tu na huyu kifanyio dind.a.
Hivyo kaa hapo hapo bi dada lea wana wa wanawake wenzako.
hahahahahahahahahahahhahaha maneno kuntu aisee nimecheka mpaka bosi wangu kanifuata hapa
 
rafiki ni aje banaaa? hahahaha lol!



umeona mdogo wangu?
mi naona anakwepakwepa tuuuuuuuu.....
bembeleza hawa mabinti wanahitaji kubembelezwa, lol!
 
Last edited by a moderator:
Pole dia..hawa wanaume hawa waone hivi hivi,wengi ni waongo kama kitu gani sijui
Sikulaumu bse ndo mzazi mwenzio ulitakiwa uchunguze nje ndani ndo mfikie mwafaka wa kuishi wote, mapenz ya kukutana masomoni mengi hayazai matunda mazuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom