Kilichojiri Tanga hiki hapa

Kilichojiri Tanga hiki hapa

Moringe Sokoine 1 ingekuwa televisheni hazikuonyesha au RPC wa tanga hakuzungumza tungekuamini lakini kwa sasa urongo wako huo wapelekee ma-ccm wenzako. Sisi hatutoi watu kafara kwa hiyo tulivyoona hali uwanjani imekuwa sio rafiki kwa mkutano wetu tuliamua kwa dhati kabisa kuwa mgombea asiongee ili wananchi waondoke kwa amani. televisheni tuliziona na hata polisi waliongea na mgombea yuko imara japo mnamzushia urongo. leo amehutubia maeneo mengi tu na anaendelea na kampeni kunadi sera na kuomba kura wakati ninyi wafamaji mkijikita kwenye matusi na kejeli. lakini zina mwisho na mwisho wake ni oktoba 25 ndio hukumu yenu wazandiki wote ma-ccm
Mgombea wa UKAWA aliingia Tanga mjini kutokea Lushoto ambapo alihutubia kwa dakika zisizozidi tano na kushuka chini ya jukwaa kutokana na muendelezo wa kudorora kwa afya yake. Baada ya mkutano kuisha viongozi wa msafara walikubaliana kwamba kutokana na hali ya afya ya Lowassa kulikuwa hakuna namna anaweza kuendelea na mkutano Tanga. Hii ni mara ya tatu kadhia hii inawakumba, mikutano ya Geita na Tunduru ilihairishwa kutokana na hali kuwa mbaya, haswa matumizi ya mara kwa mara ya choo anayofanya.



Kutokana na gharama kubwa zilizotumika kusafirisha watu kutoka Arusha, Kilimanjaro na wilaya zote za Tanga hivyo iliwalazimu kutunga uongo ili kuficha madhaifu ya mgombea wao.Hata hivyo wananchi waliowengi walipohojiwa walisema Mgombea waliyeletwa kumsikiliza anaoneka amedhoofika na sauti yake haisikiki vizuri licha ya muda mdogo sana aliohutubia.


Red Cross walikuwepo na hawakuelemewa na shughuli hiyo, kulikuwa hakuna mkanganyiko wowote, watu wanaodaiwa kuzimia wote walipata huduma ya kwanza kama inavyotokea kwenye matukio makubwa kama mechi za Simba na Yanga. Huu ni muendelezo wa sinema, ambazo tumeshazizoea kuanzia wachungaji wa kukodi mpaka wazimiaji feki. Ukweli halisi ni sindano ya AMORPHINE anayotumia mgombea wao kumpa nguvu iliisha muda.

Tafakari Mtanzania usidanganyike. Tumuombee Afya Njema ila Ikulu hapana.



#KutokaTanga
 
mgombea wa ukawa aliingia tanga mjini kutokea lushoto ambapo alihutubia kwa dakika zisizozidi tano na kushuka chini ya jukwaa kutokana na muendelezo wa kudorora kwa afya yake. Baada ya mkutano kuisha viongozi wa msafara walikubaliana kwamba kutokana na hali ya afya ya lowassa kulikuwa hakuna namna anaweza kuendelea na mkutano tanga. Hii ni mara ya tatu kadhia hii inawakumba, mikutano ya geita na tunduru ilihairishwa kutokana na hali kuwa mbaya, haswa matumizi ya mara kwa mara ya choo anayofanya.



Kutokana na gharama kubwa zilizotumika kusafirisha watu kutoka arusha, kilimanjaro na wilaya zote za tanga hivyo iliwalazimu kutunga uongo ili kuficha madhaifu ya mgombea wao.hata hivyo wananchi waliowengi walipohojiwa walisema mgombea waliyeletwa kumsikiliza anaoneka amedhoofika na sauti yake haisikiki vizuri licha ya muda mdogo sana aliohutubia.


Red cross walikuwepo na hawakuelemewa na shughuli hiyo, kulikuwa hakuna mkanganyiko wowote, watu wanaodaiwa kuzimia wote walipata huduma ya kwanza kama inavyotokea kwenye matukio makubwa kama mechi za simba na yanga. Huu ni muendelezo wa sinema, ambazo tumeshazizoea kuanzia wachungaji wa kukodi mpaka wazimiaji feki. Ukweli halisi ni sindano ya amorphine anayotumia mgombea wao kumpa nguvu iliisha muda.

Tafakari mtanzania usidanganyike. Tumuombee afya njema ila ikulu hapana.



#kutokatanga




hakika ikulu ni ya dr magufuli mchapa kazi bila hiyana, na ni mtu mpenda watu na mzalendo kwa nchi yake. Lowassa na washirika wake wakae pembeni maana hawana nia njema na taifa hili, pia uwezo wao ni mdogo sana kuendesha taifa.
 
Yule mchungaji anayefufua misukule yuko na EL. Usanii mtupu. Eti wote waliozimia walipona,hakuna hata moja aliyepelekwa hospitali kwa uangalizi.

Wakati mwingine ushabiki usizidi akili. Pale walikuwepo Red Cross na walitoa huduma ya kwanza kwa waliozimia. Na mtu akipoteza fahamu na baadaye fahamu zikamrudia na akawa hana tatizo huwa hakuna haja ya kumpeleka hospitali. Kama ulikuwa unasikiliza na hukusimuliwa ungeona mwenyewe jinsi Red Cross walivyokuwa wanatoa huduma.
 
Pumba tupu ngoja niendelee na kampeni nyumba hadi nyumba watu 211 tayari wameelewa ccm haifai
 
Hivi idadi ya watu ktk huo mkutano wa tanga inamaana inazidi ile ya jangwani,mbona jangani hakuna watu hawakuzimia kama tanga,duuuuu kweli nyumbu wanajua kupagwa na kupangika.

Kwa nini unashindwa kuelewa jambo dogo kama hili? Issue hapa ni eneo la lililofanyiwa huo mkutano kushindwa ku- accomodate idadi ya watu waliohudhuria. Jangwani ni eneo kubwa sana na lina uwezo wa kubeba watu kuliko maeneo mengi hapa nchini. Umesahau kilichotokea Morogoro kwenye mkutano wa CCM? Ushabiki sawa, lakini usitutoe ufahamu!!!
 
Kweli hii nayo kazi, hadi kampeni ziishe watu watakuwa wamechuma dhambi za kutosha.
 
Mgombea wa UKAWA aliingia Tanga mjini kutokea Lushoto ambapo alihutubia kwa dakika zisizozidi tano na kushuka chini ya jukwaa kutokana na muendelezo wa kudorora kwa afya yake. Baada ya mkutano kuisha viongozi wa msafara walikubaliana kwamba kutokana na hali ya afya ya Lowassa kulikuwa hakuna namna anaweza kuendelea na mkutano Tanga. Hii ni mara ya tatu kadhia hii inawakumba, mikutano ya Geita na Tunduru ilihairishwa kutokana na hali kuwa mbaya, haswa matumizi ya mara kwa mara ya choo anayofanya.



Kutokana na gharama kubwa zilizotumika kusafirisha watu kutoka Arusha, Kilimanjaro na wilaya zote za Tanga hivyo iliwalazimu kutunga uongo ili kuficha madhaifu ya mgombea wao.Hata hivyo wananchi waliowengi walipohojiwa walisema Mgombea waliyeletwa kumsikiliza anaoneka amedhoofika na sauti yake haisikiki vizuri licha ya muda mdogo sana aliohutubia.


Red Cross walikuwepo na hawakuelemewa na shughuli hiyo, kulikuwa hakuna mkanganyiko wowote, watu wanaodaiwa kuzimia wote walipata huduma ya kwanza kama inavyotokea kwenye matukio makubwa kama mechi za Simba na Yanga. Huu ni muendelezo wa sinema, ambazo tumeshazizoea kuanzia wachungaji wa kukodi mpaka wazimiaji feki. Ukweli halisi ni sindano ya AMORPHINE anayotumia mgombea wao kumpa nguvu iliisha muda.

Tafakari Mtanzania usidanganyike. Tumuombee Afya Njema ila Ikulu hapana.



#KutokaTanga

Pumbavu na lofa mkubwa sana, una akili nyingi sana za masabrini
 
Umemaliza?

Tunamchagua huyo asiye na maneno mengi maana wenye maneno mengi kama chiriku ccm ndiyo waliotufikisha hapa.

Mwenye afya duni anajua kuumwa na hivyo ataboresha huduma za afya ambazo zimekuwa kero namba moja chini ya ccm.

Liwalo na Liwe, kura za Watanzania ni kwa UKaWA!.

Unalingine???????
Wewe na shangazi yako labda. Ndio kura kwa UKAWA
 
Wewe uliyotoa hii taarifa ni mpumbavu kama taarifa yako .ngoja tar 25 Oct ndio utajua wananchi wanachotaka kalale unaumwa wewe.
 
Mgombea wa UKAWA aliingia Tanga mjini kutokea Lushoto ambapo alihutubia kwa dakika zisizozidi tano na kushuka chini ya jukwaa kutokana na muendelezo wa kudorora kwa afya yake. Baada ya mkutano kuisha viongozi wa msafara walikubaliana kwamba kutokana na hali ya afya ya Lowassa kulikuwa hakuna namna anaweza kuendelea na mkutano Tanga. Hii ni mara ya tatu kadhia hii inawakumba, mikutano ya Geita na Tunduru ilihairishwa kutokana na hali kuwa mbaya, haswa matumizi ya mara kwa mara ya choo anayofanya.



Kutokana na gharama kubwa zilizotumika kusafirisha watu kutoka Arusha, Kilimanjaro na wilaya zote za Tanga hivyo iliwalazimu kutunga uongo ili kuficha madhaifu ya mgombea wao.Hata hivyo wananchi waliowengi walipohojiwa walisema Mgombea waliyeletwa kumsikiliza anaoneka amedhoofika na sauti yake haisikiki vizuri licha ya muda mdogo sana aliohutubia.


Red Cross walikuwepo na hawakuelemewa na shughuli hiyo, kulikuwa hakuna mkanganyiko wowote, watu wanaodaiwa kuzimia wote walipata huduma ya kwanza kama inavyotokea kwenye matukio makubwa kama mechi za Simba na Yanga. Huu ni muendelezo wa sinema, ambazo tumeshazizoea kuanzia wachungaji wa kukodi mpaka wazimiaji feki. Ukweli halisi ni sindano ya AMORPHINE anayotumia mgombea wao kumpa nguvu iliisha muda.

Tafakari Mtanzania usidanganyike. Tumuombee Afya Njema ila Ikulu hapana.



#KutokaTanga

Ni kweli kiongozi tulisafirishwa kwa mabasi jutoka Arusha mpaka Tanga, hata mamako nikikuwa naye! Hivi leo amefika saa ngapi hapo kwa babako?
 
Nimeicopy sehemu 😄😄😄😄😄😄CCM ,CHEKI HIII👇🏼👇🏼👇🏼

🏼 [2:22PM, 9/29/2015] Yusuph Jamatini: Dodoma ccm inatafuta wa2 wakuzimia kesho kwenye mkutano wa magufuri viwanja vya barafu na wanawalipa.


[2:26PM, 9/29/2015]
Yusuph Jamatini: Wanaandikisha majina watakao zimia me menyewe nimeandika wanalipa
😄😄😄😄😄😄😄😄
 
kwa mara ya kwanz nackia mkutano unaghairshw kwa sabab ya wing wa wat tna wapnz wa ukawa wakfka mbal wakidai wat zaid ya 100 wamfkshw hosptal,wakat aliefkshw hosptal ni mt m1 tna hospital ya ngamiani.hapa kazi tu....
 
Back
Top Bottom