Kilichojiri Tanga hiki hapa

Kilichojiri Tanga hiki hapa

Kwa iyo na audio zinazonguka whatsap na watu wa red cross wameojiwa ni za uongo? Acha izo!!
 
Mgh ila watu wa lumumba sio watu nahisi.
maana vitu wanavyoandikaga wanavijua wao na waliowatuma. sasa hapa unatakacoment kama coment haya tushacoment sasa rizika sijui siku hz mnapewa pusho kubwa. acheni ziaka na nyie mtakufa tuu hamtabishi milele. inauma sana kuona mtu unaandika vitu kama hv sijui ikusaidie nn.
 
Unajua mtoto anayelala na mama yake chumba kimoja na akashuhudia kinachofanyika na mgeni wa mama yake hawezi daima kuwa na maadili naona mleta mada yupo dizaini haangalii ya kuandika bali ni kukurupuka bila kuangalia anayemjadidili yupo mbele hatua gani dhidi yake upuuzi alioandika sisi ndiyotunayemtaka kama mpiga push ni mali msubiri kwenye majumba ya mazoezi
 
Mgombea wa UKAWA aliingia Tanga mjini kutokea Lushoto ambapo alihutubia kwa dakika zisizozidi tano na kushuka chini ya jukwaa kutokana na muendelezo wa kudorora kwa afya yake. Baada ya mkutano kuisha viongozi wa msafara walikubaliana kwamba kutokana na hali ya afya ya Lowassa kulikuwa hakuna namna anaweza kuendelea na mkutano Tanga. Hii ni mara ya tatu kadhia hii inawakumba, mikutano ya Geita na Tunduru ilihairishwa kutokana na hali kuwa mbaya, haswa matumizi ya mara kwa mara ya choo anayofanya.



Kutokana na gharama kubwa zilizotumika kusafirisha watu kutoka Arusha, Kilimanjaro na wilaya zote za Tanga hivyo iliwalazimu kutunga uongo ili kuficha madhaifu ya mgombea wao.Hata hivyo wananchi waliowengi walipohojiwa walisema Mgombea waliyeletwa kumsikiliza anaoneka amedhoofika na sauti yake haisikiki vizuri licha ya muda mdogo sana aliohutubia.


Red Cross walikuwepo na hawakuelemewa na shughuli hiyo, kulikuwa hakuna mkanganyiko wowote, watu wanaodaiwa kuzimia wote walipata huduma ya kwanza kama inavyotokea kwenye matukio makubwa kama mechi za Simba na Yanga. Huu ni muendelezo wa sinema, ambazo tumeshazizoea kuanzia wachungaji wa kukodi mpaka wazimiaji feki. Ukweli halisi ni sindano ya AMORPHINE anayotumia mgombea wao kumpa nguvu iliisha muda.

Tafakari Mtanzania usidanganyike. Tumuombee Afya Njema ila Ikulu hapana.



#KutokaTanga


Baba wasamehe kwa kuwa hawajui wasemalo. Ubinadamu wako uko wapi, watu wanapata shida halafu unasema wanaigiza. Igiza kifo tukuamini
 
Watu mngejua jinsi hii santuri ya ''afya mbovu'' ilivyochuja huku site, wala hata msingehangaika nayo. Washaurini watu wamkatae Lowassa kwa jambo jingine na si hili la afya.
 
Nasema upuuzwe tu kama wapuuzi wengine.
Usilete ulofa wa walioua mitaala mizuri ya elimu na kutuletea kanjanja hapa.

Hata wakisema mgonjwa, hajui kuongoza na mengneyo, lkn kuraaaaa UKAWA
 
Mgombea wa UKAWA aliingia Tanga mjini kutokea Lushoto ambapo alihutubia kwa dakika zisizozidi tano na kushuka chini ya jukwaa kutokana na muendelezo wa kudorora kwa afya yake. Baada ya mkutano kuisha viongozi wa msafara walikubaliana kwamba kutokana na hali ya afya ya Lowassa kulikuwa hakuna namna anaweza kuendelea na mkutano Tanga. Hii ni mara ya tatu kadhia hii inawakumba, mikutano ya Geita na Tunduru ilihairishwa kutokana na hali kuwa mbaya, haswa matumizi ya mara kwa mara ya choo anayofanya.



Kutokana na gharama kubwa zilizotumika kusafirisha watu kutoka Arusha, Kilimanjaro na wilaya zote za Tanga hivyo iliwalazimu kutunga uongo ili kuficha madhaifu ya mgombea wao.Hata hivyo wananchi waliowengi walipohojiwa walisema Mgombea waliyeletwa kumsikiliza anaoneka amedhoofika na sauti yake haisikiki vizuri licha ya muda mdogo sana aliohutubia.


Red Cross walikuwepo na hawakuelemewa na shughuli hiyo, kulikuwa hakuna mkanganyiko wowote, watu wanaodaiwa kuzimia wote walipata huduma ya kwanza kama inavyotokea kwenye matukio makubwa kama mechi za Simba na Yanga. Huu ni muendelezo wa sinema, ambazo tumeshazizoea kuanzia wachungaji wa kukodi mpaka wazimiaji feki. Ukweli halisi ni sindano ya AMORPHINE anayotumia mgombea wao kumpa nguvu iliisha muda.

Tafakari Mtanzania usidanganyike. Tumuombee Afya Njema ila Ikulu hapana.



#KutokaTanga

Hata akiwa maiti tunamchagua tu, tafuta wimbo mwingine
 
Kura kwa lowasa..

Hivi kuna nini huku dodoma mbona mmeanza kuleta watu kwa malori..kwa hiyo watalala viwanja vya barafu na baridi yote hii

hahahahaha mkuu emb rudia tena kwa sauti
 
CCM wote wamesharun out of mind..
sasahivi licha ya uongo mwingi hata ukiwaita usishangae kukuporomoshea matusi..
kila anapopita MHESHIMIWA RAIS MTARAJIWA ni full mahaba..
mgonjwa alikua KOMBANI..
 
Hivi idadi ya watu ktk huo mkutano wa tanga inamaana inazidi ile ya jangwani,mbona jangani hakuna watu hawakuzimia kama tanga,duuuuu kweli nyumbu wanajua kupagwa na kupangika.
 
Mgombea wa UKAWA aliingia Tanga mjini kutokea Lushoto ambapo alihutubia kwa dakika zisizozidi tano na kushuka chini ya jukwaa kutokana na muendelezo wa kudorora kwa afya yake. Baada ya mkutano kuisha viongozi wa msafara walikubaliana kwamba kutokana na hali ya afya ya Lowassa kulikuwa hakuna namna anaweza kuendelea na mkutano Tanga. Hii ni mara ya tatu kadhia hii inawakumba, mikutano ya Geita na Tunduru ilihairishwa kutokana na hali kuwa mbaya, haswa matumizi ya mara kwa mara ya choo anayofanya.



Kutokana na gharama kubwa zilizotumika kusafirisha watu kutoka Arusha, Kilimanjaro na wilaya zote za Tanga hivyo iliwalazimu kutunga uongo ili kuficha madhaifu ya mgombea wao.Hata hivyo wananchi waliowengi walipohojiwa walisema Mgombea waliyeletwa kumsikiliza anaoneka amedhoofika na sauti yake haisikiki vizuri licha ya muda mdogo sana aliohutubia.


Red Cross walikuwepo na hawakuelemewa na shughuli hiyo, kulikuwa hakuna mkanganyiko wowote, watu wanaodaiwa kuzimia wote walipata huduma ya kwanza kama inavyotokea kwenye matukio makubwa kama mechi za Simba na Yanga. Huu ni muendelezo wa sinema, ambazo tumeshazizoea kuanzia wachungaji wa kukodi mpaka wazimiaji feki. Ukweli halisi ni sindano ya AMORPHINE anayotumia mgombea wao kumpa nguvu iliisha muda.

Tafakari Mtanzania usidanganyike. Tumuombee Afya Njema ila Ikulu hapana.



#KutokaTanga

Wewe moyo wako una ngozi yd mamba. Hata hivyo utaelewa tu.

Soma uzi wa kilichotokea leo Muheza. Hadi Police wamepigwa butwaa!

ACHA POROJO NA HADAA!
 
Uwaja wa Tangamano ni uwaja wa wazi,hauna ukuta wala milango,na unatumika kwa shughuli nyingi za mikutano ya kidini,siasa,sherehe mvalimbali,na pia ndio soko kuu la bdhaa mbalimbali,siku za sikukuu za Eid,kunakuwa na watu wengi kutoka wilaya zote za Tanga kuja kununua mahitaji yao,na hakujatokea watu kuzimia,labda awe huyo mtu ni
Mgonjwa au ana njaa ya mda mrefu kwa kuishiwa na maji au nguvu mwilini.

Naifahamu Tangamano vizuri sana. Huwa hapashonani kwa namna wanavyoielezea hiyo ya jana.
 
Mkuu unaeleza uongo tu El amekuja korogwe leo hakuns basi wala roli liliongia vijijini kwenda kuleta wananchi hakuna ugawaji wa nguo wala nini ila umati uliofurika kwa mji wangu haijawahi tokea magufuli yeye katuma mabasi vijijini yalete raia..Lowasa kiukweli anakubalika ..Magufuli ni mzuri zaidi ila watu wamechoka ni siasa za ccm that y they need changes... El afya si poa sana hilo liko wazi
 
bondia huyo akipiga pushap loliondo
 

Attachments

  • 1443540926879.jpg
    1443540926879.jpg
    6 KB · Views: 315
bondia EL si saizi yako..yupo juu sana..
mnavyomtukana ndio anazidi kupendwa..
 
Back
Top Bottom