Kilichojiri Tanga hiki hapa

Kilichojiri Tanga hiki hapa

labda alikuwa anataka kuwahi toilet!

Wewe huwa huendi toilet maana mnakuuza jambo utafikiri wewe hunyi.? Funga kwenda choo siku mbili tu uone. Cha ajabu ni kipi mtu kwenda choo.
 
Mgombea wa UKAWA aliingia Tanga mjini kutokea Lushoto ambapo alihutubia kwa dakika zisizozidi tano na kushuka chini ya jukwaa kutokana na muendelezo wa kudorora kwa afya yake. Baada ya mkutano kuisha viongozi wa msafara walikubaliana kwamba kutokana na hali ya afya ya Lowassa kulikuwa hakuna namna anaweza kuendelea na mkutano Tanga. Hii ni mara ya tatu kadhia hii inawakumba, mikutano ya Geita na Tunduru ilihairishwa kutokana na hali kuwa mbaya, haswa matumizi ya mara kwa mara ya choo anayofanya.



Kutokana na gharama kubwa zilizotumika kusafirisha watu kutoka Arusha, Kilimanjaro na wilaya zote za Tanga hivyo iliwalazimu kutunga uongo ili kuficha madhaifu ya mgombea wao.Hata hivyo wananchi waliowengi walipohojiwa walisema Mgombea waliyeletwa kumsikiliza anaoneka amedhoofika na sauti yake haisikiki vizuri licha ya muda mdogo sana aliohutubia.


Red Cross walikuwepo na hawakuelemewa na shughuli hiyo, kulikuwa hakuna mkanganyiko wowote, watu wanaodaiwa kuzimia wote walipata huduma ya kwanza kama inavyotokea kwenye matukio makubwa kama mechi za Simba na Yanga. Huu ni muendelezo wa sinema, ambazo tumeshazizoea kuanzia wachungaji wa kukodi mpaka wazimiaji feki. Ukweli halisi ni sindano ya AMORPHINE anayotumia mgombea wao kumpa nguvu iliisha muda.

Tafakari Mtanzania usidanganyike. Tumuombee Afya Njema ila Ikulu hapana.



#KutokaTanga

1. Sasa Dr. na specialist wa ugonjwa lowassa unataka kutuambia anaweza kufa kabla ya uchaguzi?
2. Je huyo mpiga push up akiugua ghafla atakuwa ameshakosa kura yako?
3. Unadhani ukidhihaki afya ya mwanadamu mwenzio utakuwa umepata thawabu?
Mola umhurumie mtu huyu,
 
LiverpoolFC amesha maliza, alafu duuhhh...JF karibia wooooote wana mpinga huyu jamaa. Uongo huu ni kama giza kwenye nuru.
 
Last edited by a moderator:
Te teh teh teh..........mwenye macho haambiwi tazama, ulichoandika hapa umetumia nguvu nyingi kuliko akili, ika hali halisi kila mtu anaiona.....asante kwa upuuzi ulioweka ila safari inaendelea, hata asipohutubia sisi kwetu ni poa tu.
Jana kila mtu aliona, Lowasa alisimama kwa dakika takribani 10 akishindwa kuongea kutokana na makelele na vifijo kutoka kwa Raia wake, wewe leo unakuja na hadithi za LUMUMBA, nendeni mkajipange upya.

Kila mtu aliona hali halisi. Lkn hawa lumumba roho zinawauma kuona gharika ile pale Tanga. Au walitaka watu wafe kampeni ya Lowassa iingie dosari? Ila yule ni mpakwa mafuta ni mstaarabu akaahirisha mkutano sasa cha ajabu ccm ndio wanalalamika eti kwa nn mkutano uahirishwe utadhani ni wa ccm. kweli mmeishiwa full.
 
walioanza kumkashifu afya mbaya, mara ooh ikulu hakuna makaburi, wameshasepa, hakuna wacheza uchi kwenye mikutano ya lowassa na nyomi la kutosha linakuwepo, nyie waleteni wapaka poda na wacheza uchi wakimalizia na mgombea wenu kupiga push-up watu wanasepa coz kura kwa ukawa, mabadilikooooooo..!!

l o w a s s a
 
Mkuu unaeleza uongo tu El amekuja korogwe leo hakuns basi wala roli liliongia vijijini kwenda kuleta wananchi hakuna ugawaji wa nguo wala nini ila umati uliofurika kwa mji wangu haijawahi tokea magufuli yeye katuma mabasi vijijini yalete raia..Lowasa kiukweli anakubalika ..Magufuli ni mzuri zaidi ila watu wamechoka ni siasa za ccm that y they need changes... El afya si poa sana hilo liko wazi

Tumeshasema hata kama yuko icu akafie Ikulu
 
mgombea wa ukawa aliingia tanga mjini kutokea lushoto ambapo alihutubia kwa dakika zisizozidi tano na kushuka chini ya jukwaa kutokana na muendelezo wa kudorora kwa afya yake. Baada ya mkutano kuisha viongozi wa msafara walikubaliana kwamba kutokana na hali ya afya ya lowassa kulikuwa hakuna namna anaweza kuendelea na mkutano tanga. Hii ni mara ya tatu kadhia hii inawakumba, mikutano ya geita na tunduru ilihairishwa kutokana na hali kuwa mbaya, haswa matumizi ya mara kwa mara ya choo anayofanya.



Kutokana na gharama kubwa zilizotumika kusafirisha watu kutoka arusha, kilimanjaro na wilaya zote za tanga hivyo iliwalazimu kutunga uongo ili kuficha madhaifu ya mgombea wao.hata hivyo wananchi waliowengi walipohojiwa walisema mgombea waliyeletwa kumsikiliza anaoneka amedhoofika na sauti yake haisikiki vizuri licha ya muda mdogo sana aliohutubia.


Red cross walikuwepo na hawakuelemewa na shughuli hiyo, kulikuwa hakuna mkanganyiko wowote, watu wanaodaiwa kuzimia wote walipata huduma ya kwanza kama inavyotokea kwenye matukio makubwa kama mechi za simba na yanga. Huu ni muendelezo wa sinema, ambazo tumeshazizoea kuanzia wachungaji wa kukodi mpaka wazimiaji feki. Ukweli halisi ni sindano ya amorphine anayotumia mgombea wao kumpa nguvu iliisha muda.

Tafakari mtanzania usidanganyike. Tumuombee afya njema ila ikulu hapana.



#kutokatanga

amorphine ni sindano gani,?
 
Watu mngejua jinsi hii santuri ya ''afya mbovu'' ilivyochuja huku site, wala hata msingehangaika nayo. Washaurini watu wamkatae Lowassa kwa jambo jingine na si hili la afya.

Waache waendelee na santuri yao.Hilo wala halimnyimi Lowassa usingizi.najua wanatamani hata wasikie amelala akafia usingizini lkn wao sio mungu. Zaidi sana mungu ndie mwenye kisasi atawalipa kulingana na matendo yao. Nyota ya Lowassa inazidi kung'aa zaidi siku hadi siku hadi wakose cha kusema.
 
Umemaliza?

Tunamchagua huyo asiye na maneno mengi maana wenye maneno mengi kama chiriku ccm ndiyo waliotufikisha hapa.

Mwenye afya duni anajua kuumwa na hivyo ataboresha huduma za afya ambazo zimekuwa kero namba moja chini ya ccm.

Liwalo na Liwe, kura za Watanzania ni kwa UKaWA!.

Unalingine???????

Ugonjwa wa lowasa si wa kumuua Leo au kesho, ila kutokana na hali yake, nchi itaongozwa na babu duni, muamusho wa Pemba. Tulifikiri tunachagua cdm kumbe tunachagua uamsho. Tafakari chukua hatua.
 
Sisi tunachotaka ni mabadiliko. Na wakuyaleta ni Lowassa. Sasa ww kama unasema hafi leo wala kesho kwa sababu mnajua atakufa lini basi tunampa kura zetu na hiyo adhabu ya urais akafie Ikulu.
 
Mgombea wa UKAWA aliingia Tanga mjini kutokea Lushoto ambapo alihutubia kwa dakika zisizozidi tano na kushuka chini ya jukwaa kutokana na muendelezo wa kudorora kwa afya yake. Baada ya mkutano kuisha viongozi wa msafara walikubaliana kwamba kutokana na hali ya afya ya Lowassa kulikuwa hakuna namna anaweza kuendelea na mkutano Tanga. Hii ni mara ya tatu kadhia hii inawakumba, mikutano ya Geita na Tunduru ilihairishwa kutokana na hali kuwa mbaya, haswa matumizi ya mara kwa mara ya choo anayofanya.



Kutokana na gharama kubwa zilizotumika kusafirisha watu kutoka Arusha, Kilimanjaro na wilaya zote za Tanga hivyo iliwalazimu kutunga uongo ili kuficha madhaifu ya mgombea wao.Hata hivyo wananchi waliowengi walipohojiwa walisema Mgombea waliyeletwa kumsikiliza anaoneka amedhoofika na sauti yake haisikiki vizuri licha ya muda mdogo sana aliohutubia.


Red Cross walikuwepo na hawakuelemewa na shughuli hiyo, kulikuwa hakuna mkanganyiko wowote, watu wanaodaiwa kuzimia wote walipata huduma ya kwanza kama inavyotokea kwenye matukio makubwa kama mechi za Simba na Yanga. Huu ni muendelezo wa sinema, ambazo tumeshazizoea kuanzia wachungaji wa kukodi mpaka wazimiaji feki. Ukweli halisi ni sindano ya AMORPHINE anayotumia mgombea wao kumpa nguvu iliisha muda.

Tafakari Mtanzania usidanganyike. Tumuombee Afya Njema ila Ikulu hapana.



#KutokaTanga


Wee inaonesha sio mtanga wee utakuwa ni msengerema tu bila shaka.
 
Mgombea wa UKAWA aliingia Tanga mjini kutokea Lushoto ambapo alihutubia kwa dakika zisizozidi tano na kushuka chini ya jukwaa kutokana na muendelezo wa kudorora kwa afya yake. Baada ya mkutano kuisha viongozi wa msafara walikubaliana kwamba kutokana na hali ya afya ya Lowassa kulikuwa hakuna namna anaweza kuendelea na mkutano Tanga. Hii ni mara ya tatu kadhia hii inawakumba, mikutano ya Geita na Tunduru ilihairishwa kutokana na hali kuwa mbaya, haswa matumizi ya mara kwa mara ya choo anayofanya.



Kutokana na gharama kubwa zilizotumika kusafirisha watu kutoka Arusha, Kilimanjaro na wilaya zote za Tanga hivyo iliwalazimu kutunga uongo ili kuficha madhaifu ya mgombea wao.Hata hivyo wananchi waliowengi walipohojiwa walisema Mgombea waliyeletwa kumsikiliza anaoneka amedhoofika na sauti yake haisikiki vizuri licha ya muda mdogo sana aliohutubia.


Red Cross walikuwepo na hawakuelemewa na shughuli hiyo, kulikuwa hakuna mkanganyiko wowote, watu wanaodaiwa kuzimia wote walipata huduma ya kwanza kama inavyotokea kwenye matukio makubwa kama mechi za Simba na Yanga. Huu ni muendelezo wa sinema, ambazo tumeshazizoea kuanzia wachungaji wa kukodi mpaka wazimiaji feki. Ukweli halisi ni sindano ya AMORPHINE anayotumia mgombea wao kumpa nguvu iliisha muda.

Tafakari Mtanzania usidanganyike. Tumuombee Afya Njema ila Ikulu hapana.



#KutokaTanga

Final 30 days speed ya kupost upuuzi wenu inaongezeka.Tunachagua raisi wa nchi na si technician wa barabara....
 
Uwaja wa Tangamano ni uwaja wa wazi,hauna ukuta wala milango,na unatumika kwa shughuli nyingi za mikutano ya kidini,siasa,sherehe mvalimbali,na pia ndio soko kuu la bdhaa mbalimbali,siku za sikukuu za Eid,kunakuwa na watu wengi kutoka wilaya zote za Tanga kuja kununua mahitaji yao,na hakujatokea watu kuzimia,labda awe huyo mtu ni
Mgonjwa au ana njaa ya mda mrefu kwa kuishiwa na maji au nguvu mwilini.

poa mtu kuishana na wewe inahitaji moyo
 
Huna lolote mtoa maada kwanza hujaeleweka hata kdogo jipange sawa sawa penye ukwel uongo hujitenga
 
Mgombea wa UKAWA aliingia Tanga mjini kutokea Lushoto ambapo alihutubia kwa dakika zisizozidi tano na kushuka chini ya jukwaa kutokana na muendelezo wa kudorora kwa afya yake. Baada ya mkutano kuisha viongozi wa msafara walikubaliana kwamba kutokana na hali ya afya ya Lowassa kulikuwa hakuna namna anaweza kuendelea na mkutano Tanga. Hii ni mara ya tatu kadhia hii inawakumba, mikutano ya Geita na Tunduru ilihairishwa kutokana na hali kuwa mbaya, haswa matumizi ya mara kwa mara ya choo anayofanya.



Kutokana na gharama kubwa zilizotumika kusafirisha watu kutoka Arusha, Kilimanjaro na wilaya zote za Tanga hivyo iliwalazimu kutunga uongo ili kuficha madhaifu ya mgombea wao.Hata hivyo wananchi waliowengi walipohojiwa walisema Mgombea waliyeletwa kumsikiliza anaoneka amedhoofika na sauti yake haisikiki vizuri licha ya muda mdogo sana aliohutubia.


Red Cross walikuwepo na hawakuelemewa na shughuli hiyo, kulikuwa hakuna mkanganyiko wowote, watu wanaodaiwa kuzimia wote walipata huduma ya kwanza kama inavyotokea kwenye matukio makubwa kama mechi za Simba na Yanga. Huu ni muendelezo wa sinema, ambazo tumeshazizoea kuanzia wachungaji wa kukodi mpaka wazimiaji feki. Ukweli halisi ni sindano ya AMORPHINE anayotumia mgombea wao kumpa nguvu iliisha muda.

Tafakari Mtanzania usidanganyike. Tumuombee Afya Njema ila Ikulu hapana.



#KutokaTanga

Leta ushahidi ya walivo safirishwa otherwise huu ni udaku tuu then afya imedorora mbona aliendelea na kampen jana tunaona misafara yake inazuiliwa njian propaganda zote zimeshindwa tukutane 25 oct
 
CCM iko kwenye survival mode. Wana tapatapa tu kila kukicha. CCM ni janga kwa Watanzania.
 
Back
Top Bottom