Kile kipindi ambacho nilipotea

Nani kakulazimisha umsome?
 
Namuunga mkono Faizafox, hili jamaa liongo sana, nashangaa nyie vichwa Maji mnamsikiliza ujinga na upuuzi wake. Nyamisati Mimi naijua vizuri na huko ni kwetu, anayoeleza hapa ni uongo mtupu, ongo sana hili lijamaa
Kichwa maji mam-mako
 
Toa majini yako hapa
 
Nilitoka Dar kwa dharura kuelekea sehemu ambako nitapata kile kinachonipeleka huko, safari yangu ikanipeleka mpaka Nyamisati, nikalala pale.


Hahaaaa ! Mkuu unamiliki hiyo Co.

2184 - MjengwaBlog

mjengwablog.com/chambuzi/itemlist/.../640-mjengwablog.html?... - Translate this page
Mkuu wa Zahanati ya Nyamisati, iliyopo wilaya Rufiji Mkoa wa Pwani Bw.Haruna ... Bodi ya Utalii Tanzania TTB Kampuni ya Witch & Wizard Creative (PYT) Ltd ...
 
Mshana hapa kaamua wale ndugu wafivu kwa kuvuatilia unzi hapa lazima wasome unzi kila page manake story himo katika mpangilio mvya.hehee.
Hii ni lugha gani ulichoandika nadhani sio kiswahili hiki
 
Funguka zaidi mkuu.
 
Popoma Genta mshana kakukosea nni?,mbona unamuandama sana?
 
ID kibao Na ile nyingine ya labigirita sijui labingirika?
Kwavile wewe una ID kibao za kuwapata hao misukule wako ndio unafikiri wote tuna tabia hizo? Mimi ni mwiba kwako weka kichwani hilo, wewe endelea kutafuta Likes na kujaza mada za Kijinga JF coz huo ndio ulioamua kua ni urithi utakao waachia wanao..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…