Kile kipindi ambacho nilipotea

Hizi njaa zako naona zinazidi kukupeleka pabaya sasa, unakaa unakiaminisha hiki kizazi kipya kinachotegemewa kuliendesha hili taifa siku za mbele mambo ya kufikirika na kishirikina bila kua na ithbati yeyote?

Hivi ni nchi gani iliyoendelea kiuchumi kwa kufuata imani za kishirikina na kusadikika? Nini lengo lako la kuwaaminisha hasa vijana mambo ya kutunga? Nini lengo lako hasa?

Najua njaa ndio inayokusumbua na hakuna kingine,unawabrainwash vijana ili wakuone ni kama "mtaalam" fulani wa kichawi,ili wajenge tamaa kwamba wewe ndio kimbilio lao la kuwasaidia kufikia malengo yao!
Tena una kiteam chako humu ulichokitengeneza kwa lengo maalum la kukusapoti ili kuwahadaa na kuwavutia na wengine!

Wapo wanaojifanya wana promise ya kuonana na wewe au kujifanya eti wanakutumia msg private ili kuwahadaa wengine,

Mchezo unaoufanya ni sawa na wale wacheza karata 3 kekundu na keusi,kuna watu hua wanajifanya ni "wateja" wanakua wanakula pesa nyingi ili kuwahadaa na wengine watumbukiemo! Hiyo ndio kazi ya kigroup ulichokitengeneza ili kifuatane nawe kila thread kukusafishia njia ya kuwahadaa na wengine!

Acha hizo, unahadaa vijana ambao ni tegemeo kubwa kwa taifa na familia zao, tafuta shughuli ya kufanya kuliko kushinda JF mchana kutwa na usiku kucha ukiandika thread za kupotosha vijana kila baada ya dakika kadhaa!


Hizo hadithi unazoziandika zilikua zikisimuliwa zamani sana kupitia Radio tanzania RTD kipindi cha watoto cha MAMA NA MWANA.
 
Unajuwa=Unajua
Kuwacha-Kuacha
Kutowa-Kutoa

Usijifanye mjuaji wakati kumbe kichwani kumejaa kamasi badala ya ubongo.Kuchamba kwingi mwisho ni kutoka na mavi.


Kiswahili ni lugha mama kwangu - kumbuka hilo.

Hapo unaandika Kiswahili cha kufundishwa si halisia.
 


Huyu kijana kuna kila dalili kishaanza kupata "wateja" na anawa tapeli, maana manyumbu wengi humu.
 
hao ni wachawi,sa wanaogopa siri zao kuwekwa wazi,
 
hahahaha kazi ipo ngoja nifanye magumash nipate pesa ..............
 
Ni kwamba ana id nyingi au kaita wapumbav wenzake kwenye huu uzi wamsaidie hili limama linazeeka vibaya
 
Mbona kama bado unatamani kurudi Acacia? Karibu tena utatukuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…