Kila ninaposaidia mtu, narudishiwa jeuri

Kila ninaposaidia mtu, narudishiwa jeuri

Sister Abigail

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2020
Posts
4,177
Reaction score
13,005
Kila ninayeshikamana nae kwa shida na raha ikifika zamu yangu naambulia kupotezewa au jeuri, au mie ndo nina shida guys?

Siwekagi matarajio kabisa, najitoa kwa kidogo nilicho nacho, kwa muda nilionao, kwa utu na ama kwa nguvu nilizonazo, lakini kama ujuavyo maisha kuna nyakati yananifika inakuwa my turn, nikiomba kwa watu wale naambulia jeuri, block ama ukimya. Sio kwamba hawajawahi, wamewahi lakini mara nyingi zaidi naambulia hivyo.

Nina wenzangu tumekulia maisha ya shida, tumehangaika kwenye nyumba za watu hatuna wazazi wala pa kwenda, lakini wao kutangulia kukipata wanageuka jeuri miungu watu sababu wapo juu.

Mfano mwingine akiwa katika shida anaumwa hajuia ale nini, analala njaa na mimba juu kaachwa, mie nikipata hela moyo wa upendo unanijaa naenda kumnunulia mazaga sokoni nampelekea ili apate lishe nzuri hata kwa week, likapita ikafika my turn bila kutarajia nikalazwa hospitali sijiwezi, kumwambia nna shida ya kitu kidogo niliambulia blue tick na Block, ila wengine nikiwauliza wanadai wanawasiliana nae😊

Kuna mwingine nae akizipata zake, akiwa na shida namsaidia kwa moyo, ila nikikwama hanijibu kabisa.

Nilitarajia upendo na mshikamano miongoni but hamna kitu. Hata wale ninaowajali katika dharura zao ikifika dharura yangu naambulia kiburi.

Most of the time mikwamo yangu nashikwa mkono na watu nisioshea nao ukaribu Wala nisiowadhania.
Imefika wakati Sasa nahesabu sina baba mzazi, sina mama mzazi(washaenda zao)
Na ndugu Sina😊

Au mimi ndio nakosea?
 
Kila ninayeshikamana nae kwa shida na raha ikifika zamu yangu naambulia kupotezewa au jeuri, au mie ndo nina shida guys?

Siwekagi matarajio kabisa, najitoa kwa kidogo nilicho nacho, kwa muda nilionao, kwa utu na ama kwa nguvu nilizonazo, lakini kama ujuavyo maisha kuna nyakati yananifika inakuwa my turn, nikiomba kwa watu wale naambulia jeuri, block ama ukimya. Sio kwamba hawajawahi, wamewahi lakini mara nyingi zaidi naambulia hivyo.

Nina wenzangu tumekulia maisha ya shida, tumehangaika kwenye nyumba za watu hatuna wazazi wala pa kwenda, lakini wao kutangulia kukipata wanageuka jeuri miungu watu sababu wapo juu.

Mfano mwingine akiwa katika shida anaumwa hajuia ale nini, analala njaa na mimba juu kaachwa, mie nikipata hela moyo wa upendo unanijaa naenda kumnunulia mazaga sokoni nampelekea ili apate lishe nzuri hata kwa week, likapita ikafika my turn bila kutarajia nikalazwa hospitali sijiwezi, kumwambia nna shida ya kitu kidogo niliambulia blue tick na Block, ila wengine nikiwauliza wanadai wanawasiliana nae😊

Kuna mwingine nae akizipata zake, akiwa na shida namsaidia kwa moyo, ila nikikwama hanijibu kabisa.

Nilitarajia upendo na mshikamano miongoni but hamna kitu. Hata wale ninaowajali katika dharura zao ikifika dharura yangu naambulia kiburi.

Most of the time mikwamo yangu nashikwa mkono na watu nisioshea nao ukaribu Wala nisiowadhania.
Imefika wakati Sasa nahesabu sina baba mzazi, sina mama mzazi(washaenda zao)
Na ndugu Sina😊

Au mimi ndio nakosea?
Utakuwa una blood ya Group O+ kama Mimi. Tumebarikiwa mno na Mwenyezi Mungu.
 
Kutoa zaidi na kupokea kidogo ''to give more and to receive less'' ni falsafa ya kutokua na ubinafsi na ukarimu,ikimaanisha furaha ya kutoa bila kutarajia faida,

Kitendo cha kutoa kinaweza kusababisha furaha na hisia ya kuridhika,hata kwenye imani ya dini nyingi, mbinu hii inaelezwa kua ni chanzo cha utajiri wa ndani na hisia chanya,

Zawadi isiyo na ubinafsi haina matarajio ya kulipwa,
Endelea kusaidia watu utakapoweza ila usijisahau na wewe mwenyewe,jiwekee akiba ambayo itakuja kukusaidia kwenye dharula,

Good Luck.
 
Kutoa zaidi na kupokea kidogo ''to give more and to receive less'' ni falsafa ya kutokua na ubinafsi na ukarimu,ikimaanisha furaha ya kutoa bila kutarajia faida,

Kitendo cha kutoa kinaweza kusababisha furaha na hisia ya kuridhika,hata kwenye imani ya dini nyingi, mbinu hii inaelezwa kua ni chanzo cha utajiri wa ndani na hisia chanya,

Zawadi isiyo na ubinafsi haina matarajio ya kulipwa,
Endelea kusaidia watu utakapoweza ila usijisahau na wewe mwenyewe,jiwekee akiba ambayo itakuja kukusaidia kwenye dharula,

Good Luck.
Asante mkuu.nimeelewa
Siwekagi matarajio but sometimes najikuta nami naelemewa nawahitaji
 
May be it's a spiritual issue
Nilikuwa namsikiliza mtaalamu mmoja wa maswala ya fedha anasema watu wanakopa mikopo mingi bila mpangilio, madeni yakiwa mengi wanaanza kusema wamelogwa, wanaenda makanisani kwamba waombewe madeni yaishe.
Pesa umekopa Benki, halafu unaenda kanisani uombewe deni liishe, kwanini haukuenda kuomba Hela kanisani?
Mambo ya kiroho unayaleta kwenye uhalisia.

Mimi Sina hela ila aliyeleta mifumo ya Pesa amesaidia Sana kuzuia ujinga ujinga mwingi.

Samahani ni nje kidooogo ya mada kuu!
 
Nilikuwa namsikiliza mtaalamu mmoja wa maswala ya fedha anasema watu wanakopa mikopo mingi bila mpangilio, madeni yakiwa mengi wanaanza kusema wamelogwa, wanaenda makanisani kwamba waombewe madeni yaishe.
Pesa umekopa Benki, halafu unaenda kanisani uombewe deni liishe, kwanini haukuenda kuomba Hela kanisani?
Mambo ya kiroho unayaleta kwenye uhalisia.

Mimi Sina hela ila aliyeleta mifumo ya Pesa amesaidia Sana kuzuia ujinga ujinga mwingi.

Samahani ni nje kidooogo ya mada kuu!
Upo sahihi...lakini jua, "LIFE IS SPIRITUAL"
 
Nilikuja kuyajua vizuri maisha ya Waja wa kibongo nikiwa chuo.
Mwanzoni nilijuaga baadhi ya kundi fulani la watu hilo ndilo hufanyiwa haya, kumbe ni silka ya wote.

Hili tukio sitawahi sahau,.
Nikiwa 2nd yr & 2nd semester, karibu na kufanya UE, kuna mkaka alikua na uhitaji wa kiasi cha pesa ili amalizie Ada na aweze kufanya UE, huko kwao ilikua vigumu kupata, ikabidi aombe msaada kwa wenzie pale chuo,

Kila anapojaribu anafeli, hadi wale washikaji na jamaa zake waliokuwa wana hang out na nn, wakashindwa kumsaidia. Mkaka wa watu alikua hoi hatariii, haelewi nn afanye,

Bas bhana, mie nikasikia tyuuu chini chini fulani ana shida ya hivi na msaada hana, yaan ndo kwanza ikawa wanamsimanga pembeni, mie kwa wakati huo nilikua na uwezo wa kumsaidia, nikawa nawaza naanzaje kumfata, ili hali sina ukaribu wala mazoea nae, na yeye hajanifata kunieleza tatizo, ila ukimuona unajua tyuh huyu kuna kitu kinamtatiza.

Siku hiyo tuko vimbwetani, bahati nzuri tulikaa kimbweta cha karibu karibu, sasa nikawa namuona kwa umakini, yaan nilihisi kabisa mkaka yuko kwenye wakati mgumu mno. Nilijawa na huruma na hofu, nilishindwa kuvumilia, nikamfata nikamuambia baadae nitafute, nikaondoka.

Kweli baadae akanifata, nikamuuliza kwa undani niliyoyasikia kumuhusu, akanifungukia kuwa ni kweli. Nkamuambia relax na usome sasa UE utafanya usijari, kesho yake nilimpa kiasi cha kulipia Ada alichohitaji, na nkampa nyongeza kidogo afanyie mambo yake.

Yule mkaka alishukuru mno na hakuamini km mie naweza kuwa msaada kwake, toka hapo tukawa na ukaribu tyuh kimtindo, ila mie sikutaka kabisa, nilifanya vile kumuokoa tyuuh kwenye tatizo.

Waja wa Kibongo ni wanafiki, wabinafsi, wanapendana kwenye raha, kwenye shida aaaah.

Ila WAJAAA!!
 
Nilikuja kuyajua vizuri maisha ya Waja wa kibongo nikiwa chuo.
Mwanzoni nilijuaga baadhi ya kundi fulani la watu hilo ndilo hufanyiwa haya, kumbe ni silka ya wote.

Hili tukio sitawahi sahau,.
Nikiwa 2nd yr & 2nd semester, karibu na kufanya UE, kuna mkaka alikua na uhitaji wa kiasi cha pesa ili amalizie Ada na aweze kufanya UE, huko kwao ilikua vigumu kupata, ikabidi aombe msaada kwa wenzie pale chuo,

Kila anapojaribu anafeli, hadi wale washikaji na jamaa zake waliokuwa wana hang out na nn, wakashindwa kumsaidia. Mkaka wa watu alikua hoi hatariii, haelewi nn afanye,

Bas bhana, mie nikasikia tyuuu chini chini fulani ana shida ya hivi na msaada hana, yaan ndo kwanza ikawa wanamsimanga pembeni, mie kwa wakati huo nilikua na uwezo wa kumsaidia, nikawa nawaza naanzaje kumfata, ili hali sina ukaribu wala mazoea nae, na yeye hajanifata kunieleza tatizo, ila ukimuona unajua tyuh huyu kuna kitu kinamtatiza.

Siku hiyo tuko vimbwetani, bahati nzuri tulikaa kimbweta cha karibu karibu, sasa nikawa namuona kwa umakini, yaan nilihisi kabisa mkaka yuko kwenye wakati mgumu mno. Nilijawa na huruma na hofu, nilishindwa kuvumilia, nikamfata nikamuambia baadae nitafute, nikaondoka.

Kweli baadae akanifata, nikamuuliza kwa undani niliyoyasikia kumuhusu, akanifungukia kuwa ni kweli. Nkamuambia relax na usome sasa UE utafanya usijari, kesho yake nilimpa kiasi cha kulipia Ada alichohitaji, na nkampa nyongeza kidogo afanyie mambo yake.

Yule mkaka alishukuru mno na hakuamini km mie naweza kuwa msaada kwake, toka hapo tukawa na ukaribu tyuh kimtindo, ila mie sikutaka kabisa, nilifanya vile kumuokoa tyuuh kwenye tatizo.

Waja wa Kibongo ni wanafiki, wabinafsi, wanapendana kwenye raha, kwenye shida aaaah.

Ila WAJAAA!!
Mie mtu ananiomba hela hajala na hajui ale Nini,natoa kiakiba changu nampa.kesho nasikia kauza Mali kapata millions hanikumbuki hata Kwa buku mbovu.
Mi nalala njaa sikumbukwi
 
Back
Top Bottom