Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,926
- Thread starter
- #141
Labda umechanganya, tangu dunia iumbwe kahawa haijalimwa huku kwetu.........pole sana kwa kumpoteza kaka. Lakini Mamndenyi huenda kuna watu aliwachokoza. Sasa hao waliomfanyia hayo mambo kaka yako ndio wasababishe mimi nisipate mke?Katavi unajua kweli nina hasira na watu wa kwenu iko hivi kaka yangu alikuwa anafanya kazi mamlaka ya kahawa pale kwenu. ..................................................................................... Kama utani akaanza kuishiwa damu wakampeleka kcmc akatibiwa akawa mzima. Ile amerudi kwenu damu ikaisha tena na pia wakakosea wakamwekea drip la maji ikawa ndo mwisho wa maisha yake R.I.P. Fred... .......................................... Ngoja nilie kwanza.
Last edited by a moderator: