Kila Nikiwatajia Kabila Wananikimbia

Kila Nikiwatajia Kabila Wananikimbia

bro Katavi!!...nimesahau nilichotaka kusema!!
 
Last edited by a moderator:
Mfipa,mkinga na watu wa Tarime ni watu hatari sana,narudia ni watu hatari sana.
 
Mke wa Kifipa ni hatari sana!!! Moto wa gesi ya Mtwara. Ogopa sana.
 
Ni bora ukisema ukweli tu,kama anakupenda kwa dhati hataangalia hilo…kumbe kuna watu wana imani mbovu hadi leo,duuh…!!
 
Kaoe mtu wa kabila lako au naye atakukimbia kwa sababu uliyotaja hapo kuwa ninyi ni" warozi"?
 
Hata mimi nashangaa, tena wengine wameenda kidato!

Utakua huna pesa mkuu ndio maana wamekimbia au una matatizo mengine??
Mbona kabila ni ishu ndogo sana tena imeshapitwa na wakati now days wanawake hawatazami kabila mkuu cash ndio imekua kila kitu so Ukiwa na pesa wala hawajali hayo ua kabila.

Tafuta pesa kwanza hao watakuja tu hakuna ujanja.
 
Isije ikawa wanaangalia ATM kadi yako ni ya mbinde wanaishia kusingizia kabila? there must be something wrong with you kwa kweli,haiwezekani kuwa wakimbie kabila.Hebu jichunguze vizuri maisha yako na strategy zako za kuwaelezea unachohitaji.

Haaaah haaah umewaza kama mimi mkuu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom