mwali wa giningi
Member
- Nov 14, 2013
- 67
- 42
Kimsingi sidhani kama hilo linaweza kuwa tatizo, mana kwenye mambo ya mapenzi mambo mengine hukaa pembeni hususani kwenye penzi la kweli. Me naona ni vyema ukaiangalia vizuri kamati yako ya ufundi Je Iko sawa? Mwanaume unatakiwa uwe vizuri katika sekta hiyo so kabla hujaanza kumtafuta mchawi jiangalie! Inawezekana mchawi ukawa mwenyewe!