GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,922
Tafadhali Wazanzibari ( hasa kutoka Pemba ) bila Kuwasahau wa Unguja GENTAMYCINE nauliza je, ni kweli kwa sasa mna hii Amani ya Kudumu ambayo Kutwa namsikia Rais wenu Dk. Hussein Ali Mwinyi anaihubiri Redioni na Runingani?
Kazi yangu Kubwa ni kuso ma tu Maoni yenu hapa kwani kwa ninavyowajua Wazanzibari ( hasa Wapemba ) walivyo Wapalestina ( Wabishi na Wakorofi Kiasili ) huku wakiwa wana 'Allergy' na Chama Cha Mambuzi ni Ngumu mno kwa Wao Kunyamazishwa na Kutulia. au Wamelishwa Dawa za Kienyeji na sasa wanapenda Amani?
Huwa naipenda Zanzibar ikiwa na Mizozo na Mikwaruzano ya Mambuzi Party na Mahasimu Wao Kafu Kafu kwani ndipo huwa naifuatilia vyema na hata kujifunza Siasa zao.
Kazi yangu Kubwa ni kuso ma tu Maoni yenu hapa kwani kwa ninavyowajua Wazanzibari ( hasa Wapemba ) walivyo Wapalestina ( Wabishi na Wakorofi Kiasili ) huku wakiwa wana 'Allergy' na Chama Cha Mambuzi ni Ngumu mno kwa Wao Kunyamazishwa na Kutulia. au Wamelishwa Dawa za Kienyeji na sasa wanapenda Amani?
Huwa naipenda Zanzibar ikiwa na Mizozo na Mikwaruzano ya Mambuzi Party na Mahasimu Wao Kafu Kafu kwani ndipo huwa naifuatilia vyema na hata kujifunza Siasa zao.