Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,544
- 11,420
Nimefika Tabora mara kadhaa sambamba na hilo katika usomaji na ufuatiliaji wa threads za hapa jukwaani, nimebaini pasipo na shaka wala mawaa yoyote yale kuwa mkoa wa Tabora unaongoza kwenye tiba ya upwiru na upatikanaji wa wana upwiru hasa wenye virutubisho mpakato.
Toka kitambo si kwa waliosoma Tabora, waliopita, kibiashara, kikazi, wote wanakiri kuwa Tabora Kwa ngono na urahisi wa ngono ni kawaida sana.
Mabinti wa Tabora wanapewa baraka za kufanya hayo na wazazi na walezi wao na sio jambo geni bali ni utamaduni wao wa kuyaishi mapenzi.
Kama wapo wanaobisha tukutane chini kwenye comments.
Tabora ni moto na Tabora ni mama lao, si mishangazi, si vitoto si midada Tabora ni next level.
Kama kawa kama kawaida kama dawa Tabora ni kitovu cha kutibu upwiru.
Ni hayo tu
Wadiz
Toka kitambo si kwa waliosoma Tabora, waliopita, kibiashara, kikazi, wote wanakiri kuwa Tabora Kwa ngono na urahisi wa ngono ni kawaida sana.
Mabinti wa Tabora wanapewa baraka za kufanya hayo na wazazi na walezi wao na sio jambo geni bali ni utamaduni wao wa kuyaishi mapenzi.
Kama wapo wanaobisha tukutane chini kwenye comments.
Tabora ni moto na Tabora ni mama lao, si mishangazi, si vitoto si midada Tabora ni next level.
Kama kawa kama kawaida kama dawa Tabora ni kitovu cha kutibu upwiru.
Ni hayo tu
Wadiz