Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,916
Yaani namna ulivyo waza, utadhani na wewe ulikuwepo anga hizo ukila moshiMarehemu akimvuta sharti sijui atasemaje
Kuna jamaa alilikoka kisawasawa, alipofika kwao akamkuta baba na mama yake.Bange bana!!
Kuna jamaa alilikoka kisawasawa, alipofika kwao akamkuta baba na mama yake.
Akamwambia baba yake "oya kichaa wangu, huyo kicheche umemuibua wapi tumpige fyucharingi fasta"
Fyucharingi ni mtungo.
Kuna jamaa alilikoka kisawasawa, alipofika kwao akamkuta baba na mama yake.
Akamwambia baba yake "oya kichaa wangu, huyo kicheche umemuibua wapi tumpige fyucharingi fasta"
Fyucharingi ni mtungo.
konda wa daladala za Mbagala Gongo la Mboto.hahahaaa.buji hivi unafanya kazi gani?