Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,144
- 4,493
Kuna haya mambo nimeyaona kwenye jamii ya vijana wa sasa wanayakosea sana bila wao kujua ama kujua hapa naongea na vijana ambao wapo siriazi kujenga maisha yao ya kesho
Ugumu wa maisha umesababisha watu kuwa na stress sana hivyo kupelekea watu wengi kukosa utulivu wa akili
Ushauri wangu kwa jinsi navyowaona vijana
Starehe za pombe na kubeti sio nzuri kwa vijana ambao ni bachela
Ugumu wa maisha umesababisha watu kuwa na stress sana hivyo kupelekea watu wengi kukosa utulivu wa akili
Ushauri wangu kwa jinsi navyowaona vijana
Starehe za pombe na kubeti sio nzuri kwa vijana ambao ni bachela