KISS 100
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 524
- 1,097
Wasalamu,
wadau maisha ni mafupi Kila mtu ana starehe yake.
Azam nimelipia ila nashindwa kuipenda kama Dstv, naona Hawa Dstv wana picha HD sana.
Ila mnaolipia Cha 165,000 naona mnapata channel nyingi sana.
Hebu nijuzeni mnainjoi sana au magumashi?
Naombea one day nilipie zote nijue kuna nini?
wadau maisha ni mafupi Kila mtu ana starehe yake.
Azam nimelipia ila nashindwa kuipenda kama Dstv, naona Hawa Dstv wana picha HD sana.
Ila mnaolipia Cha 165,000 naona mnapata channel nyingi sana.
Hebu nijuzeni mnainjoi sana au magumashi?
Naombea one day nilipie zote nijue kuna nini?