Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,192
- 46,239
Sasa vijana wote wakicheza mpira bongo hii itakalika??Tunawatakia ushindi ingawa kwa watumishi wa umma nadhani tutakua tumejifunza kitu. Tumekuwa tukiwalazimisha watoto wetu wasome ili baadaye waajiriwe na mwisho wa siku wanaishia kupata mshahara kiduchu mwisho wa mwezi.
Ona sasa kwa hao wachezaji ambao wengi wao hawajosoma kivile, lakini kupitia vipaji vyao vya kucheza mpira, wanalamba mamilioni ambayo kwa watumishi wa umma wanapokopeshwa hela kama milioni 10, watailipia kwa miaka 5 na kutozwa riba mara dufu. Nb: tuheshimu vipaji vya watoto wetu.