Goli la Mama Tsh milioni 10, ila timu ya Netball wanawake yajiondoa kimataifa kwa kukosa Tsh milioni 20

Dabil

JF-Expert Member
Sep 30, 2021
5,885
13,263
Timu ya Taifa ya wanawake netball (Taifa Qeens), imejiondoa kwenda Bostwana kwenye michuano ya kimataifa kwa kukosa mil 20 na tickets za ndege isiyozidi wachezaji 15.

Lakini huku timu za ligi kuu zinazoshiriki kimataifa goli la mama sh mil 10, Wanasiasa ni watu wabaya sana pale kwenye mashabiki wengi wanajiingiza wakiona haina manufaa kwao hawana msaada, hii timu ingekuwa na mdhamini halafu ishinde au ichukue kombe wangeitwa hadi Ikulu na bungeni kupeleka tuzo.

Kumbukeni timu ya under 17 ya wanaume kuna mwaka hawajulikani wakashinda kombe walipokuwa wanarudi ndo wanasiasa wanaanza kujitokeza.

Pia soma
 
Timu ya Taifa ya wanawake netball (Taifa Qeens), imejiondoa kwenda Bostwana kwenye michuano ya kimataifa kwa kukosa mil 20 na tickets za ndege isiyozidi wachezaji 15.

Lakini huku timu za ligi kuu zinazoshiriki kimataifa goli la mama sh mil 10, Wanasiasa ni watu wabaya sana pale kwenye mashabiki wengi wanajiingiza wakiona haina manufaa kwao hawana msaada, hii timu ingekuwa na mdhamini halafu ishinde au ichukue kombe wangeitwa hadi Ikulu na bungeni kupeleka tuzo.

Kumbukeni timu ya under 17 ya wanaume kuna mwaka hawajulikani wakashinda kombe walipokuwa wanarudi ndo wanasiasa wanaanza kujitokeza.

Pia soma
huenda hawakuijulisha serikali mkwamao huo.

Ni vizuri kulichunguza na kujiridhisha vizuri jambo hili, na ikibainika kuna uzembe wa viongozi wa timu au hujuma kwa lengo la kuichafua serikali na kiongozi mkuu, hatua stahiki kuchukuliwa ili iwe fundisho kwa wengine.

Mh.Rais ni mwanamichezo,
Na ana nia thabiti na amekusudia kuinua sekta ya michezo nchini , ili ichangie ajira kwa vijana lakini pia kuimarisha afya, amani na umoja kwa waTANZANIA.

Kwahiyo sio rahisi kwa serikali kuacha kuiwezesha Taifa queens yenye sifa ya uwakilishi wa Taifa kimataifa, kwa gharama kidogo kama hiyo.
 
huenda hawakuijulisha serikali mkwamao huo.

Ni vizuri kulichunguza na kujiridhisha vizuri jambo hili, na ikibainika kuna uzembe wa viongozi wa timu au hujuma kwa lengo la kuichafua serikali na kiongozi mkuu, hatua stahiki kuchukuliwa ili iwe fundisho kwa wengine.

Mh.Rais ni mwanamichezo,
Na ana nia thabiti na amekusudia kuinua sekta ya michezo nchini , ili ichangie ajira kwa vijana lakini pia kuimarisha afya, amani na umoja kwa waTANZANIA.

Kwahiyo sio rahisi kwa serikali kuacha kuiwezesha Taifa queens yenye sifa ya uwakilishi wa Taifa kimataifa, kwa gharama kidogo kama hiyo.
Waziri wa utamaduni na michezo ndo kawaambia hakuna hela

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huenda hawakuijulisha serikali mkwamao huo.

Ni vizuri kulichunguza na kujiridhisha vizuri jambo hili, na ikibainika kuna uzembe wa viongozi wa timu au hujuma kwa lengo la kuichafua serikali na kiongozi mkuu, hatua stahiki kuchukuliwa ili iwe fundisho kwa wengine.

Mh.Rais ni mwanamichezo,
Na ana nia thabiti na amekusudia kuinua sekta ya michezo nchini , ili ichangie ajira kwa vijana lakini pia kuimarisha afya, amani na umoja kwa waTANZANIA.

Kwahiyo sio rahisi kwa serikali kuacha kuiwezesha Taifa queens yenye sifa ya uwakilishi wa Taifa kimataifa, kwa gharama kidogo kama hiyo.
Hawakuijulisha maana yake nini?? kwa hiyo kila kitu lazima ujulishwe..mbona majira ya uchaguzi yakifika huulizi kujulishwa, katika kila mchezo lazima kuna competitive advantage..michezo ambayo nchi yetu ina competitive advantage na kihistoria imekuwa inafanya vizuri kimataifa ni miwili tu, Netball na riadha na huku ndiko kulipaswa serikali iweke attention kubwa, futball kwetu ni kupoteza muda tu, huwezi tarajia mtoto anakula chips dume kila siku toka azaliwe halafu ukatarajia atakuwa timamu kiafya kucheza mpira akashinda..tunapelekwa na mambo ya kuiga tu, kwa vilabu sawa..lakini serikali lazima ichague michezo inayoona ina fursa ya kuliletea taifa faida! ni mambo ya kushangaza na kuchukiza, unawezaje kutoa pesa kwa mchezo ambao pamoja na maandalizi ya kila kitu kocha, wachezaji, mafunzo, usafiri nk bado hawashindi..halafu unaacha michezo ambayo wala huhitaji pesa nyingi kiasi hicho lakini ina potential kwa taifa! ni juha tu anaweza kuwa haoni mambo haya kwa uhalisia..!
 
huenda hawakuijulisha serikali mkwamao huo.

Ni vizuri kulichunguza na kujiridhisha vizuri jambo hili, na ikibainika kuna uzembe wa viongozi wa timu au hujuma kwa lengo la kuichafua serikali na kiongozi mkuu, hatua stahiki kuchukuliwa ili iwe fundisho kwa wengine.

Mh.Rais ni mwanamichezo,
Na ana nia thabiti na amekusudia kuinua sekta ya michezo nchini , ili ichangie ajira kwa vijana lakini pia kuimarisha afya, amani na umoja kwa waTANZANIA.

Kwahiyo sio rahisi kwa serikali kuacha kuiwezesha Taifa queens yenye sifa ya uwakilishi wa Taifa kimataifa, kwa gharama kidogo kama hiyo.
Hakuna kitu kama hicho. Tofautisha kati ya kuinua michezo na kutafuta POPULARITY
 
huenda hawakuijulisha serikali mkwamao huo.

Ni vizuri kulichunguza na kujiridhisha vizuri jambo hili, na ikibainika kuna uzembe wa viongozi wa timu au hujuma kwa lengo la kuichafua serikali na kiongozi mkuu, hatua stahiki kuchukuliwa ili iwe fundisho kwa wengine.

Mh.Rais ni mwanamichezo,
Na ana nia thabiti na amekusudia kuinua sekta ya michezo nchini , ili ichangie ajira kwa vijana lakini pia kuimarisha afya, amani na umoja kwa waTANZANIA.

Kwahiyo sio rahisi kwa serikali kuacha kuiwezesha Taifa queens yenye sifa ya uwakilishi wa Taifa kimataifa, kwa gharama kidogo kama hiyo.
Unaijua Serikali inavyofanya mambo yake ama unaiskia!?
 
Chadema waanzishe Goli la Mbowe huko Kwenye netball

Ila iwe 10,000 kwa sababu wanafungana Magoli mengi
Chadema has nothing to do with this bro......don't force to get out of your mind this is for the government bro. Whatever comes to you , you tend to turn it into political perspective. Please don't be stupid , please please....
 
Wanasiasa ni wazee wa CHEAP POPULARITY.
wanatumia vitu kwa manufaa yao kisiasa sio kitaifa,
Subiri taifa stars tugongwe game 3 mfululizo hatuna hata dalili za best looser kama utasikia shobo za mwanasiasa.
 
Hawakuijulisha maana yake nini?? kwa hiyo kila kitu lazima ujulishwe..mbona majira ya uchaguzi yakifika huulizi kujulishwa, katika kila mchezo lazima kuna competitive advantage..michezo ambayo nchi yetu ina competitive advantage na kihistoria imekuwa inafanya vizuri kimataifa ni miwili tu, Netball na riadha na huku ndiko kulipaswa serikali iweke attention kubwa, futball kwetu ni kupoteza muda tu, huwezi tarajia mtoto anakula chips dume kila siku toka azaliwe halafu ukatarajia atakuwa timamu kiafya kucheza mpira akashinda..tunapelekwa na mambo ya kuiga tu, kwa vilabu sawa..lakini serikali lazima ichague michezo inayoona ina fursa ya kuliletea taifa faida! ni mambo ya kushangaza na kuchukiza, unawezaje kutoa pesa kwa mchezo ambao pamoja na maandalizi ya kila kitu kocha, wachezaji, mafunzo, usafiri nk bado hawashindi..halafu unaacha michezo ambayo wala huhitaji pesa nyingi kiasi hicho lakini ina potential kwa taifa! ni juha tu anaweza kuwa haoni mambo haya kwa uhalisia..!
pole sana TrueVoter I can feel ur tone in ur reply. pole sana...

wapo viongozi wanaosimamia timu mbalimbali za michezo, hawa wanapaswa kuiarifu serikali juu ya maendeleo yatimu zao, mahitaji ya kawaida na yadharura na matarajio ya timu husika kwa siku zijazo. ni hivyo tuu..

Kupanga ni kuchagua, lazima twende taratibu kwa uhakika zaidi,
Hata na hivyo kipaumbele cha serikali ni kuinua sekta ya michezo katika ujumla wake. Kila kipaji cha mtanzani katika michezo kimezingatiwa na kuthamini na serikali. Michezo ni ajira, michezo ni afya , michezo ni Amani.

Serikali haina ubaguzi katika michezo. Suala la kuchagua au kupenda mchezo fulani, linabaki kwa watanzania binafsi kuamua afuatilie na kuburudika na mchezo upi.
 
Chadema has nothing to do with this bro......don't force to get out of your mind this is for the government bro. Whatever comes to you , you tend to turn it into political perspective. Please don't be stupid , please please....
Mbona umekasirika kama vile hujui kuwa Siasa ni michezo?😄😄

Usiwe tutusa bwashee hujasikia Diwani Cup au Gwajima Cup 😂😂😂🐼
 
pole sana TrueVoter I can feel ur tone in ur reply. pole sana...

wapo viongozi wanaosimamia timu mbalimbali za michezo, hawa wanapaswa kuiarifu serikali juu ya maendeleo yatimu zao, mahitaji ya kawaida na yadharura na matarajio ya timu husika kwa siku zijazo. ni hivyo tuu..

Kupanga ni kuchagua, lazima twende taratibu kwa uhakika zaidi,
Hata na hivyo kipaumbele cha serikali ni kuinua sekta ya michezo katika ujumla wake. Kila kipaji cha mtanzani katika michezo kimezingatiwa na kuthamini na serikali. Michezo ni ajira, michezo ni afya , michezo ni Amani.

Serikali haina ubaguzi katika michezo. Suala la kuchagua au kupenda mchezo fulani, linabaki kwa watanzania binafsi kuamua afuatilie na kuburudika na mchezo upi.
Walishaenda kwa waziri wa michezo na utamaduni akawaambia hamna hela ulitegemea waende wapi kwingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom