Taifa Stars hairidhishi kwa ubora wa soka!

Tango73

JF-Expert Member
Dec 14, 2008
2,128
1,225
Pamoja na ngeke la kufuzu Afcon lakini ukweli lazima usemwe kuhusu maufa ufa yaliyojaa katika timu ya Taifa stars. kwa ukweli kabisaa taifa stars haina ubora wa soka la kitabuni ambalo Yanga na Simba wanalionesha kwa mashabiki wao kila kukicha. tatizo kubwa likiwa ni kocha mtaalamu ambaye anafundisha soka la kisasa lenye ubora wa kulinda na kushambulia kama ilivyo Senegal,Cameroon, Ghana na Nigeria.

Kwa mantiki hii ya uzaifu wa taifa stars tusitarajie kuuza mchezaji mzalendo katika timu kubwa ulaya, uarabuni na latina america.

Ukiondoa 1982 afcon ya Nigeria, kila mara taifa stars hufanikiwa afcon kwa kubebwa na timu ya mwisho iliyojihakikishia kushinda. Misri afcon tulibebwa na Uganda mechi ya mwisho na leo watoto wa Ahmed ben bella wametubeba katika mechi ya mwisho.

Matokeo yake tunapocheza mechi za fainali za afcon kutafutwa bingwa timu yetu huonesha mchezo mbovu sana halafu huwa tunaonewa na kila mpinzani wetu. hivyo wachezaji wote huonekana hawana jipya la kupata soko huko kwenye ligi tajiri la kuwapa utajiri nje ya bahari.iweje TFF haiiigi kutoka kwa Yanga jinsi ya kuboresha timu? mbona yanga ilitoka katika udhaifu na kupambana kisayansi mpaka leo kuwa timu bora lenye kutisha Afrika?
 
pamoja na ngeke la kufuzu Afcon lakini ukweli lazima usemwe kuhusu maufa ufa yaliyojaa katika timu ya Taifa stars. kwa ukweli kabisaa taifa stars haina ubora wa soka la kitabuni ambalo Yanga na Simba wanalionesha kwa mashabiki wao kila kukicha. tatizo kubwa likiwa ni kocha mtaalamu ambaye anafundisha soka la kisasa lenye ubora wa kulinda na kushambulia kama ilivyo Senegal,Cameroon, Ghana na Nigeria.

kwa mantiki hii ya uzaifu wa taifa stars tusitarajie kuuza mchezaji mzalendo katika timu kubwa ulaya, uarabuni na latina america.

ukiondoa 1982 afcon ya Nigeria,kila mara taifa stars hufanikiwa afcon kwa kubebwa na timu ya mwisho iliyojihakikishia kushinda. Misri afcon tulibebwa na Uganda mechi ya mwisho na leo watoto wa Ahmed ben bella wametubeba katika mechi ya mwisho.

matokeo yake tunapocheza mechi za fainali za afcon kutafutwa bingwa timu yetu huonesha mchezo mbovu sana halafu huwa tunaonewa na kila mpinzani wetu. hivyo wachezaji wote huonekana hawana jipya la kupata soko huko kwenye ligi tajiri la kuwapa utajiri nje ya bahari.iweje TFF haiiigi kutoka kwa Yanga jinsi ya kuboresha timu? mbona yanga ilitoka katika udhaifu na kupambana kisayansi mpaka leo kuwa timu bora lenye kutisha africa?
Mwanathimbaaaaaaaaa
 
Yanga walikuwa na mabeki 3 lakini kila mtandao wa takwimu umempa Novatus ambaye hajawahi kuchezea uto ratings kubwa kuliko hao wana utopolo. Beki ya Yanga ilikuwa inabutuabutua tu.

Mzize alikuwa mzururaji namba moja pale uwanjani akiwa na kampani ake Msuva, wamezurura weeee mwisho wa siku wamerudi nyumbani kula wali
 
Lengo ilikuwa kufuzu tumefanikiwa, Sasa hivi vipaji ni adimu pia tff umeshindwa kupanua wigo wa kutafuta wachezaji, imebaki kuangalia ligi kuu na wachezaji wanaocheza nje.
Zamani tulikuwa na Taifa cup ambayo ilishirikisha mikoa yote hivyo waliweza kupata wachezaji wazuri ambao hawapo kwenye ligi kuu.
Hizo Simba na yanga tunazozisifia zinejaa wageni hivyo so kipimo sahihi kuwalinganisha na Taifa Stars.
 
Pamoja na ngeke la kufuzu Afcon lakini ukweli lazima usemwe kuhusu maufa ufa yaliyojaa katika timu ya Taifa stars. kwa ukweli kabisaa taifa stars haina ubora wa soka la kitabuni ambalo Yanga na Simba wanalionesha kwa mashabiki wao kila kukicha. tatizo kubwa likiwa ni kocha mtaalamu ambaye anafundisha soka la kisasa lenye ubora wa kulinda na kushambulia kama ilivyo Senegal,Cameroon, Ghana na Nigeria.

Kwa mantiki hii ya uzaifu wa taifa stars tusitarajie kuuza mchezaji mzalendo katika timu kubwa ulaya, uarabuni na latina america.

Ukiondoa 1982 afcon ya Nigeria, kila mara taifa stars hufanikiwa afcon kwa kubebwa na timu ya mwisho iliyojihakikishia kushinda. Misri afcon tulibebwa na Uganda mechi ya mwisho na leo watoto wa Ahmed ben bella wametubeba katika mechi ya mwisho.

Matokeo yake tunapocheza mechi za fainali za afcon kutafutwa bingwa timu yetu huonesha mchezo mbovu sana halafu huwa tunaonewa na kila mpinzani wetu. hivyo wachezaji wote huonekana hawana jipya la kupata soko huko kwenye ligi tajiri la kuwapa utajiri nje ya bahari.iweje TFF haiiigi kutoka kwa Yanga jinsi ya kuboresha timu? mbona yanga ilitoka katika udhaifu na kupambana kisayansi mpaka leo kuwa timu bora lenye kutisha Afrika?
Aisee.....
 
Lengo ilikuwa kufuzu tumefanikiwa, Sasa hivi vipaji ni adimu pia tff umeshindwa kupanua wigo wa kutafuta wachezaji, imebaki kuangalia ligi kuu na wachezaji wanaocheza nje.
Zamani tulikuwa na Taifa cup ambayo ilishirikisha mikoa yote hivyo waliweza kupata wachezaji wazuri ambao hawapo kwenye ligi kuu.
Hizo Simba na yanga tunazozisifia zinejaa wageni hivyo so kipimo sahihi kuwalinganisha na Taifa Stars.
Yan mnanishangaza sana dunia hii bado kuna watu mna akili za Jamal Malinzi. Yan ukatafute wachezaji wa mkoani waje wacheze timu ya taifa? Mkuuu🤣🤣
 
Kufuzu Afcon ni hatua moja mbele, kwanza tujipongeze, hatukuenda fainali kwa kubebwa maana mechi za mwanzo Taifa Stars ilicheza mpira mkubwa mpaka tukajiona tushakuwa Brazil tukawadharau Uganda wakatunyoosha kwa Mkapa, kinachotakiwa sasa wachezaji wetu wakajitume huko na wapambane tuzoee hayo mashindano sio kuingia kusalimia na kutoka! Tukicheza Afcon mara nyingi labda mfululizo maskauti watapenda kujaribu kuuza wachezaji wetu ulaya!

Kiwango chetu ni kikubwa sana katika kupaki bus hata waje Brazil hatufungwi, kocha Adel ana kazi moja tu kufundisha kushambulia na kufunga maana huo ni mfupa mgumu! Bado tunamkosa straika kama Mayele wa kumaliza kazi. Mzize Bado wachukue kutoka timu zingine! Pia hatuna mchezaji kama Max Nzegeli wa kuchezesha timu kule mbele!


Afcon Sina hofu tutavuka makundi kwa staili moja tu ya kupaki bus maana imefanikiwa! Wachezaji wakakomae nayo tu bila kujali kelele za mashabiki hasa tukicheza na timu kubwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom