Madumbikaya
JF-Expert Member
- Jun 6, 2018
- 638
- 1,902
Sikushangaa kusikia Waziri wa michezo akisema hata wao huwa wanamuuliza kocha kwanini amemuacha Shabalala na Feitoto lakini majibu ya kocha yanawaridhisha.
Wakati wa kocha Amunike pale Misri,Wabunge wakiongozwa na ndugai walienda kumpangia kocha Amunike nani acheze au asicheze na alipokataa wakaja bungeni wanalalamika kocha amewadharau.
Sasa kocha kaamua kuwasikiliza wanasiasa kwa kumuweka Manula na Shabalala kwenye mechi na Morroco
Leo kwenye Afcon tumekula vyuma 3 kwa 0.
Shabalala beki aliyechoka sana ameshafikia ile hatua ya mkenya onyango ,Shabalala ni mzee na hana mbio tena
Manula bado mgonjwa na alishatumika sana lakini wanasiasa wanamtaka Manula
Samata mtu umri ulishamtupa mkono bado unalazimisha awe kapteni wa timu,Kuna vijana wengi wa kucheza kama akina Kibu Dennis.
Kocha mwenye akili timamu huwezi kimuweka golini Manula na beki shabalala.
Kelele za wanasiasa ndio zinatugharimu.
Timu ya Taifa watu wanashangilia ifungwe kwasababu hawajaridhika na watu kupangwa ambao hawakuipigania timu yao.
Sasa yule Allakhia mwenye asili ya uhindi pale uwanjani alikuwa anacheza kitu gani?
Timu badala ya kujikita kwenye maandalizi, Wanasiasa wameigeuza timu sehemu ya kutoa hotuba zao ,kila mwanasiasa anaongea na Taifa Stars na kocha.
Sasa kocha leo amewawekea watu wenu wa kisiasa Manula, Shabalala, Feitoto na Samata.
Wakati wa kocha Amunike pale Misri,Wabunge wakiongozwa na ndugai walienda kumpangia kocha Amunike nani acheze au asicheze na alipokataa wakaja bungeni wanalalamika kocha amewadharau.
Sasa kocha kaamua kuwasikiliza wanasiasa kwa kumuweka Manula na Shabalala kwenye mechi na Morroco
Leo kwenye Afcon tumekula vyuma 3 kwa 0.
Shabalala beki aliyechoka sana ameshafikia ile hatua ya mkenya onyango ,Shabalala ni mzee na hana mbio tena
Manula bado mgonjwa na alishatumika sana lakini wanasiasa wanamtaka Manula
Samata mtu umri ulishamtupa mkono bado unalazimisha awe kapteni wa timu,Kuna vijana wengi wa kucheza kama akina Kibu Dennis.
Kocha mwenye akili timamu huwezi kimuweka golini Manula na beki shabalala.
Kelele za wanasiasa ndio zinatugharimu.
Timu ya Taifa watu wanashangilia ifungwe kwasababu hawajaridhika na watu kupangwa ambao hawakuipigania timu yao.
Sasa yule Allakhia mwenye asili ya uhindi pale uwanjani alikuwa anacheza kitu gani?
Timu badala ya kujikita kwenye maandalizi, Wanasiasa wameigeuza timu sehemu ya kutoa hotuba zao ,kila mwanasiasa anaongea na Taifa Stars na kocha.
Sasa kocha leo amewawekea watu wenu wa kisiasa Manula, Shabalala, Feitoto na Samata.