Kila kitu kwahisani ya Marekani!

Kila kitu kwahisani ya Marekani!

PAPAA ZM

Member
Joined
May 11, 2010
Posts
8
Reaction score
0
Habari zenu,

Mimi nina kero yangu ambayo sijui wenzangu munaionaje. Hawa wamarekani sikuhizi wamezidi walianza kwenye malaria, wakaja kwenye hiv and then uzazi wampango(family planning) utasikia tu "kwahisani ya marekani" sasa wamehamia kwenye ndoa zetu, eti wanasema tuvunje ukimya na mayenje wao halafu mwisho wanamalizia kuwa lile tangazolimeletwa kwa hisani ya marekani kwanini isiwe ya wachina. Jamani hawa wamarekani watafadhili mpaka makalio yetu!
 
Alafu masheikh wanadai kadhi,its not easy
 
who is mayenje?

hebu tuwekeeni link ya hayo matangazo kama yapo u-tube .....
 
Sasa kwa nini na wewe usifadhili ukasema "kwa hisani ya Papaa ZM" au jina unalotaka?

Tatizo lako ni Wamarekani wanavyofadhili au wanachofadhili ?
 
Naomba nisicomment chochote hapa Kwa hisani ya watu wa Marekani.
 
JAMANI HABARI ZENU!!!!!!!!!! MIMI NINA KERO YANGU AMBAYO SIJUI WENZANGU MUNAIONAJE. HAWA WAMAREKANI SIKUHIZI WAMEZIDI WALIANZA KWENYE MALARIA, WAKAJA KWENYE HIV AND THEN UZAZI WAMPANGO(FAMILY PLANNING) UTASIKIA TU "KWAHISANI YA MAREKANI" SASA WMEHAMIA KWENYE NDOA ZETU, ETI WANASEMA TUVUNJE UKIMYA NA MAYENJE WAO HALAFU MWISHO WANAMALIZIA KUWA LILE TANGAZOLIMELETWA KWA HISANI YA MAREKANI KWANINI ISIWE YA WACHINA. JAMANI HAWA WAMAREKANI WATAFADHILI MPAKA MAKALIO YETU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!😎




Hakuna shida kama serikali inapenda kusaidiwa mpk makalio Marekani fanyeni mambo.Kila kitu si tanzania inataka mteremko??? Wamarekani ni macreative na macritical thinker ndiyo maana sasa kama serikali ya kibongo ya kugushi vyeti acha itafuniwe Bwana. Hahahahahahahahahaha!
 
Ukifadhiliwa sana, utapangiwa mpaka jinsi ya kuishi na mkeo ndani ya nyumba.
 
Kama huna uwezo wa kukataa misaada basi usilalamike kwa sababu mtoa msaada anasaidia kile anachoona kinafaa kusaidiwa na anahakikisha wewe unaendelea kumtegemea (kama huna akili).
 
JAMANI HABARI ZENU!!!!!!!!!! MIMI NINA KERO YANGU AMBAYO SIJUI WENZANGU MUNAIONAJE. HAWA WAMAREKANI SIKUHIZI WAMEZIDI WALIANZA KWENYE MALARIA, WAKAJA KWENYE HIV AND THEN UZAZI WAMPANGO(FAMILY PLANNING) UTASIKIA TU "KWAHISANI YA MAREKANI" SASA WMEHAMIA KWENYE NDOA ZETU, ETI WANASEMA TUVUNJE UKIMYA NA MAYENJE WAO HALAFU MWISHO WANAMALIZIA KUWA LILE TANGAZOLIMELETWA KWA HISANI YA MAREKANI KWANINI ISIWE YA WACHINA. JAMANI HAWA WAMAREKANI WATAFADHILI MPAKA MAKALIO YETU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!😎

Bandiko hili limewekwa hapa na PAPAA ZM - Kwa hisani ya Walipa Kodi wa Marekani kwa kushirikiana na JF
 
JAMANI HABARI ZENU!!!!!!!!!! MIMI NINA KERO YANGU AMBAYO SIJUI WENZANGU MUNAIONAJE. HAWA WAMAREKANI SIKUHIZI WAMEZIDI WALIANZA KWENYE MALARIA, WAKAJA KWENYE HIV AND THEN UZAZI WAMPANGO(FAMILY PLANNING) UTASIKIA TU "KWAHISANI YA MAREKANI" SASA WMEHAMIA KWENYE NDOA ZETU, ETI WANASEMA TUVUNJE UKIMYA NA MAYENJE WAO HALAFU MWISHO WANAMALIZIA KUWA LILE TANGAZOLIMELETWA KWA HISANI YA MAREKANI KWANINI ISIWE YA WACHINA. JAMANI HAWA WAMAREKANI WATAFADHILI MPAKA MAKALIO YETU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!😎


sasa kama fedha za wamarekani zimewezesha matangazo husika, ubavu wa kusema wamechangia wachina tutapata wapi? marekani hoyeeee!:usa2:
 
JAMANI HABARI ZENU!!!!!!!!!! MIMI NINA KERO YANGU AMBAYO SIJUI WENZANGU MUNAIONAJE. HAWA WAMAREKANI SIKUHIZI WAMEZIDI WALIANZA KWENYE MALARIA, WAKAJA KWENYE HIV AND THEN UZAZI WAMPANGO(FAMILY PLANNING) UTASIKIA TU "KWAHISANI YA MAREKANI" SASA WMEHAMIA KWENYE NDOA ZETU, ETI WANASEMA TUVUNJE UKIMYA NA MAYENJE WAO HALAFU MWISHO WANAMALIZIA KUWA LILE TANGAZOLIMELETWA KWA HISANI YA MAREKANI KWANINI ISIWE YA WACHINA. JAMANI HAWA WAMAREKANI WATAFADHILI MPAKA MAKALIO YETU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!😎
kwa hisani ya marekani
 
Mkuu Matangazo kama hayo ni yale yaliyotokana na taasissi za kijamii zilizopate fedha toka mashirika ya maendeleo ya serikali ya Marekani kama USAID, CDC na mangine. Hayo ni masharti ya kimkataba kuwa kila tangazo titakalotolewa lazima kuwepo na hicho Kibwagizo. Kama Hamtaki basi na fedha yao msiombe. Mlotengeneza tangazo mradi wa Champion tunaomba mtujuze. Naomba kuwasilisha
 
Malaria haikubaliki!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nasikia chuki zimekuzeesha kijana! ah ah ah Ah ah ah ah! Umri huo unafikiria kuolewa... Duh! Pole.

Sijasema kuolewa ila nimeandika "tusijeolewa" pia na Waarabu in exchange na "misaada!" Na huo umri unaodai ni upi au umeamua kujifurahisha ndugu!
 
Sijasema kuolewa ila nimeandika "tusijeolewa" pia na Waarabu in exchange na "misaada!" Na huo umri unaodai ni upi au umeamua kujifurahisha ndugu!
Muolewe wangapi, wewe na dadako au...? Mbona swala la kuolewa unalipenda... vipi kijana!?
 
Back
Top Bottom