Marekani alipigwa na Vietnam,China kwa sababu ya spirit ya mapambano Israel ana kazi ya kupambana na watu wenye spirit ya mapambano.

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,006
12,267
Katika vita jambo la msingi askari awepo vitani anapaswa kuwa nalo ni ile spirit ya kupambana dhidi ya adui kwa hali yoyote ili amuangamize.

Hii kwa mifano michache nayo ifahamu ni pamoja na changamoto aliyokutana nayo marekani pale alipokuwa ana pigana na Vietnam marekani alitandikwa na Vietnam chovu ya wakomunisti huku yeye akiwa na jeshi bora lenye kila kitu ila spirit ya mapambano ya Vietnam ya kila hali iliwapa ushindi.

Marekani alifanya uharibifu wa kila namna na uharamia wa kila namna ila mwisho wa siku alipakimbia Vietnam.

Hivyo hivyo miaka ya 1950s kupita Korea marekani alipambana na China na kwa asilimia kubwa alikuwa anaiteka Korea nzima ila baada ya jeshi chovu la wakomunisti wa China lililo toka kupigana vita vya wenyewe kwa mwenyewe kwa muda mrefu kutia mguu marekani na ubora wake alitandikwa na kurudishwa nyuma pakubwa sana.

Mpaka mageneral wamarekani kushangazwa na spirit ile ya mapambano waliyokuwa nayo wale wachina walikuwa wanapambana kwenye kila hali.

Kwa jinsi Israel anaendesha vita vyake pale Palestine,Gaza anapitia same scenario kama waliyokuwa wanakumbana nayo Marekani mfano wa maeneo niliyo taja vita vya Gaza ni vya muda mrefu na hali ya mapambano waliyo nayo watu wa Gaza dhidi ya Israel ndio kitu kitakacho mpatia upinzani mkubwa Israel.

Kila mbinu ya kiharamia Israel amekwisha itumia Gaza kuangamiza ila mpaka sasa haijafua dafu. Israel anapambana na watu wenye spirit ya mapambano na ambao suala la wao kufa kwa ajili ya kutetea kilicho chao sio shida hapa ndipo ulipo ugumu wa vita mara nyingi.

Unaweza shambulia na kufikiri umemaliza kikosi kizima baada ya muda wanaibuka watu wengine wakipambana na wewe lazima vita uone chungu na ukimbie.

Wanakufa hawa wanaibuka hawa hiki ndicho kitu anacho pambana nacho Israel ni ngumu kushinda aina hizi za vita labda ufanye maangamizi ya kiatomiki kama aliyofanya marekani pale Japan.
 
Katika vita jambo la msingi askari awepo vitani anapaswa kuwa nalo ni ile spirit ya kupambana dhidi ya adui kwa hali yoyote ili amuangamize.

Hii kwa mifano michache nayo ifahamu ni pamoja na changamoto aliyokutana nayo marekani pale alipokuwa ana pigana na Vietnam marekani alitandikwa na Vietnam chovu ya wakomunisti huku yeye akiwa na jeshi bora lenye kila kitu ila spirit ya mapambano ya Vietnam ya kila hali iliwapa ushindi.

Marekani alifanya uharibifu wa kila namna na uharamia wa kila namna ila mwisho wa siku alipakimbia Vietnam.

Hivyo hivyo miaka ya 1950s kupita Korea marekani alipambana na China na kwa asilimia kubwa alikuwa anaiteka Korea nzima ila baada ya jeshi chovu la wakomunisti wa China lililo toka kupigana vita vya wenyewe kwa mwenyewe kwa muda mrefu kutia mguu marekani na ubora wake alitandikwa na kurudishwa nyuma pakubwa sana.

Mpaka mageneral wamarekani kushangazwa na spirit ile ya mapambano waliyokuwa nayo wale wachina walikuwa wanapambana kwenye kila hali.

Kwa jinsi Israel anaendesha vita vyake pale Palestine,Gaza anapitia same scenario kama waliyokuwa wanakumbana nayo Marekani mfano wa maeneo niliyo taja vita vya Gaza ni vya muda mrefu na hali ya mapambano waliyo nayo watu wa Gaza dhidi ya Israel ndio kitu kitakacho mpatia upinzani mkubwa Israel.

Kila mbinu ya kiharamia Israel amekwisha itumia Gaza kuangamiza ila mpaka sasa haijafua dafu. Israel anapambana na watu wenye spirit ya mapambano na ambao suala la wao kufa kwa ajili ya kutetea kilicho chao sio shida hapa ndipo ulipo ugumu wa vita mara nyingi.

Unaweza shambulia na kufikiri umemaliza kikosi kizima baada ya muda wanaibuka watu wengine wakipambana na wewe lazima vita uone chungu na ukimbie.

Wanakufa hawa wanaibuka hawa hiki ndicho kitu anacho pambana nacho Israel ni ngumu kushinda aina hizi za vita labda ufanye maangamizi ya kiatomiki kama aliyofanya marekani pale Japan.
Spirit gani ya Gaza ya Hamas kuwatumia wanawake na watoto kama ngao kutafuta kelele za watu haki za binadamu

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Katika vita jambo la msingi askari awepo vitani anapaswa kuwa nalo ni ile spirit ya kupambana dhidi ya adui kwa hali yoyote ili amuangamize.

Hii kwa mifano michache nayo ifahamu ni pamoja na changamoto aliyokutana nayo marekani pale alipokuwa ana pigana na Vietnam marekani alitandikwa na Vietnam chovu ya wakomunisti huku yeye akiwa na jeshi bora lenye kila kitu ila spirit ya mapambano ya Vietnam ya kila hali iliwapa ushindi.

Marekani alifanya uharibifu wa kila namna na uharamia wa kila namna ila mwisho wa siku alipakimbia Vietnam.

Hivyo hivyo miaka ya 1950s kupita Korea marekani alipambana na China na kwa asilimia kubwa alikuwa anaiteka Korea nzima ila baada ya jeshi chovu la wakomunisti wa China lililo toka kupigana vita vya wenyewe kwa mwenyewe kwa muda mrefu kutia mguu marekani na ubora wake alitandikwa na kurudishwa nyuma pakubwa sana.

Mpaka mageneral wamarekani kushangazwa na spirit ile ya mapambano waliyokuwa nayo wale wachina walikuwa wanapambana kwenye kila hali.

Kwa jinsi Israel anaendesha vita vyake pale Palestine,Gaza anapitia same scenario kama waliyokuwa wanakumbana nayo Marekani mfano wa maeneo niliyo taja vita vya Gaza ni vya muda mrefu na hali ya mapambano waliyo nayo watu wa Gaza dhidi ya Israel ndio kitu kitakacho mpatia upinzani mkubwa Israel.

Kila mbinu ya kiharamia Israel amekwisha itumia Gaza kuangamiza ila mpaka sasa haijafua dafu. Israel anapambana na watu wenye spirit ya mapambano na ambao suala la wao kufa kwa ajili ya kutetea kilicho chao sio shida hapa ndipo ulipo ugumu wa vita mara nyingi.

Unaweza shambulia na kufikiri umemaliza kikosi kizima baada ya muda wanaibuka watu wengine wakipambana na wewe lazima vita uone chungu na ukimbie.

Wanakufa hawa wanaibuka hawa hiki ndicho kitu anacho pambana nacho Israel ni ngumu kushinda aina hizi za vita labda ufanye maangamizi ya kiatomiki kama aliyofanya marekani pale Japan.
Wabongo wanajua vita ni Dron mdege za kivita pamoja na vifaru
 
Katika vita jambo la msingi askari awepo vitani anapaswa kuwa nalo ni ile spirit ya kupambana dhidi ya adui kwa hali yoyote ili amuangamize.

Hii kwa mifano michache nayo ifahamu ni pamoja na changamoto aliyokutana nayo marekani pale alipokuwa ana pigana na Vietnam marekani alitandikwa na Vietnam chovu ya wakomunisti huku yeye akiwa na jeshi bora lenye kila kitu ila spirit ya mapambano ya Vietnam ya kila hali iliwapa ushindi.

Marekani alifanya uharibifu wa kila namna na uharamia wa kila namna ila mwisho wa siku alipakimbia Vietnam.

Hivyo hivyo miaka ya 1950s kupita Korea marekani alipambana na China na kwa asilimia kubwa alikuwa anaiteka Korea nzima ila baada ya jeshi chovu la wakomunisti wa China lililo toka kupigana vita vya wenyewe kwa mwenyewe kwa muda mrefu kutia mguu marekani na ubora wake alitandikwa na kurudishwa nyuma pakubwa sana.

Mpaka mageneral wamarekani kushangazwa na spirit ile ya mapambano waliyokuwa nayo wale wachina walikuwa wanapambana kwenye kila hali.

Kwa jinsi Israel anaendesha vita vyake pale Palestine,Gaza anapitia same scenario kama waliyokuwa wanakumbana nayo Marekani mfano wa maeneo niliyo taja vita vya Gaza ni vya muda mrefu na hali ya mapambano waliyo nayo watu wa Gaza dhidi ya Israel ndio kitu kitakacho mpatia upinzani mkubwa Israel.

Kila mbinu ya kiharamia Israel amekwisha itumia Gaza kuangamiza ila mpaka sasa haijafua dafu. Israel anapambana na watu wenye spirit ya mapambano na ambao suala la wao kufa kwa ajili ya kutetea kilicho chao sio shida hapa ndipo ulipo ugumu wa vita mara nyingi.

Unaweza shambulia na kufikiri umemaliza kikosi kizima baada ya muda wanaibuka watu wengine wakipambana na wewe lazima vita uone chungu na ukimbie.

Wanakufa hawa wanaibuka hawa hiki ndicho kitu anacho pambana nacho Israel ni ngumu kushinda aina hizi za vita labda ufanye maangamizi ya kiatomiki kama aliyofanya marekani pale Japan.
Umeandika ukweli mtupu mkuu. mtu umemulia baba ake mamake familia yake alfu useme mtu kama uyo asilipe kisasi

Wengi wapiganaji wa Hamas asilimia kubwa wamepoteza familia zao ndio mana hawana cha kupoteza ni ngumu kushinda vita na watu wa aina hii
 
Story yako haijawa balanced kwa sababu hujazungumzia Jinsi warusi walivyochakazwa huko ukraine hivi karibuni huku wakikimbilia maeneo ya mpakani, pamoja na kwamba walitumia mbinu za kila namna ikiwemo paratroopers.,

Na hii sioni kama ni bahati mbaya Bali umeleta story ukiwa umeegemea upande flani

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Story yako haijawa balanced kwa sababu hujazungumzia Jinsi warusi walivyochakazwa huko ukraine hivi karibuni huku wakikimbilia maeneo ya mpakani, pamoja na kwamba walitumia mbinu za kila namna ikiwemo paratroopers.,

Na hii sioni kama ni bahati mbaya Bali umeleta story ukiwa umeegemea upande flani

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Nimeegemea upande gani ?
 
Katika vita jambo la msingi askari awepo vitani anapaswa kuwa nalo ni ile spirit ya kupambana dhidi ya adui kwa hali yoyote ili amuangamize.

Hii kwa mifano michache nayo ifahamu ni pamoja na changamoto aliyokutana nayo marekani pale alipokuwa ana pigana na Vietnam marekani alitandikwa na Vietnam chovu ya wakomunisti huku yeye akiwa na jeshi bora lenye kila kitu ila spirit ya mapambano ya Vietnam ya kila hali iliwapa ushindi.

Marekani alifanya uharibifu wa kila namna na uharamia wa kila namna ila mwisho wa siku alipakimbia Vietnam.

Hivyo hivyo miaka ya 1950s kupita Korea marekani alipambana na China na kwa asilimia kubwa alikuwa anaiteka Korea nzima ila baada ya jeshi chovu la wakomunisti wa China lililo toka kupigana vita vya wenyewe kwa mwenyewe kwa muda mrefu kutia mguu marekani na ubora wake alitandikwa na kurudishwa nyuma pakubwa sana.

Mpaka mageneral wamarekani kushangazwa na spirit ile ya mapambano waliyokuwa nayo wale wachina walikuwa wanapambana kwenye kila hali.

Kwa jinsi Israel anaendesha vita vyake pale Palestine,Gaza anapitia same scenario kama waliyokuwa wanakumbana nayo Marekani mfano wa maeneo niliyo taja vita vya Gaza ni vya muda mrefu na hali ya mapambano waliyo nayo watu wa Gaza dhidi ya Israel ndio kitu kitakacho mpatia upinzani mkubwa Israel.

Kila mbinu ya kiharamia Israel amekwisha itumia Gaza kuangamiza ila mpaka sasa haijafua dafu. Israel anapambana na watu wenye spirit ya mapambano na ambao suala la wao kufa kwa ajili ya kutetea kilicho chao sio shida hapa ndipo ulipo ugumu wa vita mara nyingi.

Unaweza shambulia na kufikiri umemaliza kikosi kizima baada ya muda wanaibuka watu wengine wakipambana na wewe lazima vita uone chungu na ukimbie.

Wanakufa hawa wanaibuka hawa hiki ndicho kitu anacho pambana nacho Israel ni ngumu kushinda aina hizi za vita labda ufanye maangamizi ya kiatomiki kama aliyofanya marekani pale Japan.
Umeandika kishabiki sana.Ni vizuri kabla ya kuandika tuwe tunafanya utafiti wa kutosha sana juu ya mada husika.
Vita vya vietnam vilikuwq na mambo mengi sana nyuma ya pazia.Baadhi ni kama:
1.Kulikuwa na wimbi kubwa sana la Majasusi wa kimarekani ambao walikuwa ni doubke agents.Walikuwa wanaiuzia siri Urusi,kisha Urusi anamtip Vietnam.Operation nyingi sana za Marekani kuke vietnam zilikuwa zinafeli sababu zilikuwq zinajulika mapema kabla.
2.Marekani alikuwa haoambani na vietnam tu.Marekani alikuwa anapambana na China na Urusi m,maana hawa ndo walikuwa supplier wakubwa wa zana za vita na tactical support kwa Vietnam.
3.Kubadilika kwa siasa marekani.Wakati Marekani anaelekea kumthibiti mvietnam kabisa.Marekani siasa zilibadilika,watu wengi wakawa hawaungi mkono vita.Hivyo ilimlazimu Marekani kuondoa majeshi yake vietnam sababu ya maamuzi ya kisiasa.Kilikuwa kipindi cha uchaguzi.rais ajaye alikuwa anatumia kete ya kusitiha vita.
Majeshi yakaondolewa,ukomunist ukainuka.
Kwa haraka haraka ukiwa mbumbumbu wa masuala haya utasema Vietnam kashinda.
Next time acha kukurupuka fanta utafiti wa kutosha.Period.
 
Umeandika kishabiki sana.Ni vizuri kabla ya kuandika tuwe tunafanya utafiti wa kutosha sana juu ya mada husika.
Vita vya vietnam vilikuwq na mambo mengi sana nyuma ya pazia.Baadhi ni kama:
1.Kulikuwa na wimbi kubwa sana la Majasusi wa kimarekani ambao walikuwa ni doubke agents.Walikuwa wanaiuzia siri Urusi,kisha Urusi anamtip Vietnam.Operation nyingi sana za Marekani kuke vietnam zilikuwa zinafeli sababu zilikuwq zinajulika mapema kabla.
2.Marekani alikuwa haoambani na vietnam tu.Marekani alikuwa anapambana na China na Urusi m,maana hawa ndo walikuwa supplier wakubwa wa zana za vita na tactical support kwa Vietnam.
3.Kubadilika kwa siasa marekani.Wakati Marekani anaelekea kumthibiti mvietnam kabisa.Marekani siasa zilibadilika,watu wengi wakawa hawaungi mkono vita.Hivyo ilimlazimu Marekani kuondoa majeshi yake vietnam sababu ya maamuzi ya kisiasa.Kilikuwa kipindi cha uchaguzi.rais ajaye alikuwa anatumia kete ya kusitiha vita.
Majeshi yakaondolewa,ukomunist ukainuka.
Kwa haraka haraka ukiwa mbumbumbu wa masuala haya utasema Vietnam kashinda.
Next time acha kukurupuka fanta utafiti wa kutosha.Period.
Asante kwa utetezi wako kwa marekani
 
Spirit gani ya Gaza ya Hamas kuwatumia wanawake na watoto kama ngao kutafuta kelele za watu haki za binadamu

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Kule ukraine jeshi la yule lgbt Zelensky mbona walitumia hii mbinu pia, ila mlikaa kimya,,, bila wanajeshi wa ukraine kujificha uraiani Ukraine sahivi ingekua magofu na wangeshamalizwa mapema
 
Kupigwa means wamarekani 5000 wakifa na nchi nyengine 100,000 hapo ndio marekani kapigwa. Marekani hakupigwa kote ila amepigwa kupandikiza alichokiamini. Ila kama ni vita wavietnam na wachina walikufa wengi zaidi na maafa zaidi ila wamerkani walishindwa kupandikiza kile walichiomini ni sahihi(ubepari).

Ndio maana North Korea ndio nchi pekee ambayo imefunga njia zote za wanachi wake kuskia umagharibi na ndio Kwa kulinda Imani yao hiyo wakajihami Kwa kua na nuclear missiles.
 
Umeandika kishabiki sana.Ni vizuri kabla ya kuandika tuwe tunafanya utafiti wa kutosha sana juu ya mada husika.
Vita vya vietnam vilikuwq na mambo mengi sana nyuma ya pazia.Baadhi ni kama:
1.Kulikuwa na wimbi kubwa sana la Majasusi wa kimarekani ambao walikuwa ni doubke agents.Walikuwa wanaiuzia siri Urusi,kisha Urusi anamtip Vietnam.Operation nyingi sana za Marekani kuke vietnam zilikuwa zinafeli sababu zilikuwq zinajulika mapema kabla.
2.Marekani alikuwa haoambani na vietnam tu.Marekani alikuwa anapambana na China na Urusi m,maana hawa ndo walikuwa supplier wakubwa wa zana za vita na tactical support kwa Vietnam.
3.Kubadilika kwa siasa marekani.Wakati Marekani anaelekea kumthibiti mvietnam kabisa.Marekani siasa zilibadilika,watu wengi wakawa hawaungi mkono vita.Hivyo ilimlazimu Marekani kuondoa majeshi yake vietnam sababu ya maamuzi ya kisiasa.Kilikuwa kipindi cha uchaguzi.rais ajaye alikuwa anatumia kete ya kusitiha vita.
Majeshi yakaondolewa,ukomunist ukainuka.
Kwa haraka haraka ukiwa mbumbumbu wa masuala haya utasema Vietnam kashinda.
Next time acha kukurupuka fanta utafiti wa kutosha.Period.
Pamoja na mazuri uloandika ila marekani alikula kichapo cha mbwa mwizi, mbona hujazungumzia marekani alipokimbia mara ya kwanza alirudi nyumbani kujifunza upya hasa ishu ya lile daraja almaaruf Bridge of DRAGON JAW ambalo walilipiga miaka 7 bila kubomoka na baada ya kujinoa walirudi tena kuanzisha vita kwa mara ya pili na wakakimbia tena ndipo ujinga ukaanza wa kukimbilia biological weapons had Dr. ROBERT GALLO mkuu wa Massachusetts Human Virology institute kupewa hela ili atengeneze biological weapons akaishia kutengeneza HIV.

Nakuongezea tu kuwa Guerilla war yaan vita ya msituni ndiyo iliwapa credit wavietnam? Wanajeshi wa US pamoja na mamluki wao wakawa wanalilia bunduki aina ya Avtomat Kalashnikov 47 (AK 47) baada ya kichapo kuzidi wao wakikuwa wanatumia sijui manini mwisho US wakaipa tenda kampuni ya DUPONT kupiga sumu za kudondosha majani yaani defoliants kwenye misitu ya vietnam ili wamarekani waweze kuona chini na ndipo JOHN McCain alyekuwa makamu wa Obama alitekwa na akakakabidhiwa kwa kamanda PUTIN (Baba Mtakatifu wa Vita according to Ramzan Kadrov kiongozi wa kijeshi wa CHECHNYA) ili asifurukute hivi unadhani marekani atasahau? Halafu wew unakuja na ngonjera eti uchaguzi! Ndicho kipindi ambacho marekani ilikuwa na wajane wengi haijawahi tokea.
 
Pamoja na mazuri uloandika ila marekani alikula kichapo cha mbwa mwizi, mbona hujazungumzia marekani alipokimbia mara ya kwanza alirudi nyumbani kujifunza upya hasa ishu ya lile daraja almaaruf Bridge of DRAGON JAW ambalo walilipiga miaka 7 bila kubomoka na baada ya kujinoa walirudi tena kuanzisha vita kwa mara ya pili na wakakimbia tena ndipo ujinga ukaanza wa kukimbilia biological weapons had Dr. ROBERT GALLO mkuu wa Massachusetts Human Virology institute kupewa hela ili atengeneze biological weapons akaishia kutengeneza HIV.

Nakuongezea tu kuwa Guerilla war yaan vita ya msituni ndiyo iliwapa credit wavietnam? Wanajeshi wa US pamoja na mamluki wao wakawa wanalilia bunduki aina ya Avtomat Kalashnikov 47 (AK 47) baada ya kichapo kuzidi wao wakikuwa wanatumia sijui manini mwisho US wakaipa tenda kampuni ya DUPONT kupiga sumu za kudondosha majani yaani defoliants kwenye misitu ya vietnam ili wamarekani waweze kuona chini na ndipo JOHN McCain alyekuwa makamu wa Obama alitekwa na akakakabidhiwa kwa kamanda PUTIN (Baba Mtakatifu wa Vita according to Ramzan Kadrov kiongozi wa kijeshi wa CHECHNYA) ili asifurukute hivi unadhani marekani atasahau? Halafu wew unakuja na ngonjera eti uchaguzi! Ndicho kipindi ambacho marekani ilikuwa na wajane wengi haijawahi tokea.
Itoshe tu kusema kuwa linapokuja suala la vita vya Vietnam,wewe ni mbumbumbu uliyekubuhu.Una vipande vipande vya porojo za hapa na pale.Ubongo wako una ombwe kubwa sana ya taarifa sahihi Usikimbilie kutoa povu.Kachimbe zaidi,alafu unapochimba,usitake tu yale yanayokufurahisha au unayoyapenda.Pokea yote.
 
Katika vita jambo la msingi askari awepo vitani anapaswa kuwa nalo ni ile spirit ya kupambana dhidi ya adui kwa hali yoyote ili amuangamize.

Hii kwa mifano michache nayo ifahamu ni pamoja na changamoto aliyokutana nayo marekani pale alipokuwa ana pigana na Vietnam marekani alitandikwa na Vietnam chovu ya wakomunisti huku yeye akiwa na jeshi bora lenye kila kitu ila spirit ya mapambano ya Vietnam ya kila hali iliwapa ushindi.

Marekani alifanya uharibifu wa kila namna na uharamia wa kila namna ila mwisho wa siku alipakimbia Vietnam.

Hivyo hivyo miaka ya 1950s kupita Korea marekani alipambana na China na kwa asilimia kubwa alikuwa anaiteka Korea nzima ila baada ya jeshi chovu la wakomunisti wa China lililo toka kupigana vita vya wenyewe kwa mwenyewe kwa muda mrefu kutia mguu marekani na ubora wake alitandikwa na kurudishwa nyuma pakubwa sana.

Mpaka mageneral wamarekani kushangazwa na spirit ile ya mapambano waliyokuwa nayo wale wachina walikuwa wanapambana kwenye kila hali.

Kwa jinsi Israel anaendesha vita vyake pale Palestine,Gaza anapitia same scenario kama waliyokuwa wanakumbana nayo Marekani mfano wa maeneo niliyo taja vita vya Gaza ni vya muda mrefu na hali ya mapambano waliyo nayo watu wa Gaza dhidi ya Israel ndio kitu kitakacho mpatia upinzani mkubwa Israel.

Kila mbinu ya kiharamia Israel amekwisha itumia Gaza kuangamiza ila mpaka sasa haijafua dafu. Israel anapambana na watu wenye spirit ya mapambano na ambao suala la wao kufa kwa ajili ya kutetea kilicho chao sio shida hapa ndipo ulipo ugumu wa vita mara nyingi.

Unaweza shambulia na kufikiri umemaliza kikosi kizima baada ya muda wanaibuka watu wengine wakipambana na wewe lazima vita uone chungu na ukimbie.

Wanakufa hawa wanaibuka hawa hiki ndicho kitu anacho pambana nacho Israel ni ngumu kushinda aina hizi za vita labda ufanye maangamizi ya kiatomiki kama aliyofanya marekani pale Japan.
umeanza kuwa mwehu
 
Back
Top Bottom