Kila kitu kipo shaghalabaghara. Nchi imefikia pabaya. Ziara za Waziri Mkuu Majaliwa zinatoa picha kamili

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,086
6,568
Kukatika umeme imekuwa janga la kitaifa. Na hapa ndipo amefeli kabisa.

Kudhibiti nidhamu ya watumishi na ubadhirifu ndio amekwama kabisa.

Kila anapopita Kassimu ni zaidi ya madudu na hii ni Sampuli tu ya uozo.

Nchi imefikia pabaya sana tofauti na alipokuwepo mtangulizi wake
 
serikali chapa kazi ya ccm ipo kazini kufukua mamluki wa upinzani wakwamisha mandeleo kila idara hakika shuhuli wanayo
 
Kukatika umeme imekuwa janga la kitaifa. Na hapa ndipo amefeli kabisa.

Kudhibiti nidhamu ya watumishi na ubadhirifu ndio amekwama kabisa.

Kila anapopita Kassimu ni zaidi ya madudu na hii ni Sampuli tu ya uozo.

Nchi imefikia pabaya sana tofauti na alipokuwepo mtangulizi wake


Watumishi wachache wasio waaminifu ndio ugeneralize nchi imefikia pabaya kweli? Hivi unajua maana ya nchi kufikia pabaya, hata wewe saa hz usingeandika huu uzi, ungekuta uko unakimbia hujui hata baba au mama au ndugu zako wako wapi, ebu ukiandika fikiria mara mbili mbili, alafu pumbaf wewe
 
Watumishi wachache wasio waaminifu ndio ugeneralize nchi imefikia pabaya kweli? Hivi unajua maana ya nchi kufikia pabaya, hata wewe saa hz usingeandika huu uzi, ungekuta uko unakimbia hujui hata baba au mama au ndugu zako wako wapi, ebu ukiandika fikiria mara mbili mbili, alafu pumbaf wewe
Nonsense
 
Kukatika umeme imekuwa janga la kitaifa. Na hapa ndipo amefeli kabisa.

Kudhibiti nidhamu ya watumishi na ubadhirifu ndio amekwama kabisa.

Kila anapopita Kassimu ni zaidi ya madudu na hii ni Sampuli tu ya uozo.

Nchi imefikia pabaya sana tofauti na alipokuwepo mtangulizi wake
Haa bi mashunga wale mafala wanoimita mama maama pumbufau waje huku
 
Kukatika umeme imekuwa janga la kitaifa. Na hapa ndipo amefeli kabisa.

Kudhibiti nidhamu ya watumishi na ubadhirifu ndio amekwama kabisa.

Kila anapopita Kassimu ni zaidi ya madudu na hii ni Sampuli tu ya uozo.

Nchi imefikia pabaya sana tofauti na alipokuwepo mtangulizi wake
Majaliwa apewe maua yake kwa utendaji uliotukuka!
 
Pasipo MAONO taifa huangamia.. Kiongozi kipofu, kuwatumbukiza shimoni anaye waongoza ni hakika 100%.
 
Back
Top Bottom