Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Kukatika umeme imekuwa janga la kitaifa. Na hapa ndipo amefeli kabisa.
Kudhibiti nidhamu ya watumishi na ubadhirifu ndio amekwama kabisa.
Kila anapopita Kassimu ni zaidi ya madudu na hii ni Sampuli tu ya uozo.
Nchi imefikia pabaya sana tofauti na alipokuwepo mtangulizi wake
Kudhibiti nidhamu ya watumishi na ubadhirifu ndio amekwama kabisa.
Kila anapopita Kassimu ni zaidi ya madudu na hii ni Sampuli tu ya uozo.
Nchi imefikia pabaya sana tofauti na alipokuwepo mtangulizi wake