Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 44,311
- 105,042
👏Pegea yeso makoviii
👏Pegea yeso makoviii
Hapo umemaliza mkuu.. Na pikipiki asiipaki ndani kwake mwezi mzima, akaiweke yard hukooo mbali, maana nahisi kwenye tarehe 23-30 ya january pikipiki ikiona haijaendeshwa inaweza ikajiwashe yenyewe ikamfata ndani na kumgonga.Inaonekana mkuu hata kufa utakuja kufa mwezi january ya mwaka wowote!, hapo cha msingi badili ratiba zako january yote uwe unajifungia ndani uanze kusafiri mwezi february.
🤣🤣🤣Hapo umemaliza mkuu.. Na pikipiki asiipaki ndani kwake mwezi mzima, akaiweke yard hukooo mbali, maana nahisi kwenye tarehe 23-30 ya january pikipiki ikiona haijaendeshwa inaweza ikajiwashe yenyewe ikamfata ndani na kumgonga.
hahahah! Mkuu.Hapo umemaliza mkuu.. Na pikipiki asiipaki ndani kwake mwezi mzima, akaiweke yard hukooo mbali, maana nahisi kwenye tarehe 23-30 ya january pikipiki ikiona haijaendeshwa inaweza ikajiwashe yenyewe ikamfata ndani na kumgonga.
Sure mkuu.. Hyo pikipiki inatamani kumona mshkaji anatembelea magongo, sema tu jamaa ana dawa kali.hahahah! Mkuu.
Kua makini, na ole wako uiuze... Itakutafuta kwa hasira inakuja kukutengua kiuno.í ¾í´£í ¾í´£í ¾í´£
Dawa kali yenyewe ni maombi na MunguSure mkuu.. Hyo pikipiki inatamani kumona mshkaji anatembelea magongo, sema tu jamaa ana dawa kali.
Kwanini shem?Mungu nifundishe kunyamaza
Maombi ya mungu gani, hata hivo inaonekana umekosea masharti hizo ajari wanakukumbusha upeleke kambuzi keupe mkuuDawa kali yenyewe ni maombi na Mungu
Ni unyama sana,kuna sehemu bimkubwa yupo porini anaishi mwenyewe hataki kutoka ndani,,,,,dah mwisho mwisho treni ikaja kumaliza kesiUmenikumbusha movie moja ya final destination 😂
Hahahaha yule bibi ambae wajukuu walimfuata huko porini?Ni unyama sana,kuna sehemu bimkubwa yupo porini anaishi mwenyewe hataki kutoka ndani,,,,,dah mwisho mwisho treni ikaja kumaliza kesi
Sio poa bwashee,,,,halafu kuna ile episod wanajulikana nani atakufa baada ya nani ule mzigo wa kibabe sanaHahahaha yule bibi ambae wajukuu walimfuata huko porini?
Picha linaanza kwenye Ile meli , yule mdada alipo ona future na kubadili matukio ila mwisho wa siku kika umana😅Sio poa bwashee,,,,halafu kuna ile episod wanajulikana nani atakufa baada ya nani ule mzigo wa kibabe sana
Mimi najikuta kila nikipata demu , anaishiwa gesi , nywele zinafumuka , mama yake anaumwa na mjomba wake anameza pangaMimi humu JF kwenye mada nyingi hua najikuta comment yangu inakua comment namba 11 na wala sio kwamba hua na target,hua inatokea tu!
yap ziko poa sana yani haziboi unakuwa roho juu kusikilizia nini kinafuata,ila ile movie inafundisha kilichopangwa lazima kitokee kama mwenetu na boda yake hahahaPicha linaanza kwenye Ile meli , yule mdada alipo ona future na kubadili matukio ila mwisho wa siku kika umana😅
Napenda movie za hatari hatari sijui kwanini😅😅