Kila akifika kilele ananing'ata meno

achana na style ya kifo cha mende mpige chuma mboga,kama yeye bingwa wa kung'ata hapo ataishia kung'ata sakafu,tiles au carpet!
 
pole sana...kila mtu ana namna yake ya kufika kileleni mwingine anaweza akakutukania mama yako bila ye kujua sasa angalia usije ukamwacha huyo ukaenda kumpata anayekutukania mama!
cha msingi hapa ni kumjenga kisaikolojia.
 
Jamaa kama kila gemu lazima ang'atwe kifuani basi inaonekana ana style moja. Zile za acrobatic lini atakifikia kifua??
 
Inamana hata mbuzi kagoma, chuma mboka huwa anageuka na kukung'ata? Basi atakua anavielement vya mbwa.
Mpe kazi ya ulinzi.
 
Dah vumilia bana,mwenzio nakumbuka kuna mmoja alikua ananipiga kucha mgongoni mpaka anaondoka na nyama.mpaka leo nikivua shati watu wanauliza km niliwai vamiwa na chui au simba!
 
Swagger hizo.....akitoka hiyo inaingia mambo ya kucha hapo huo uso utakuwa kama unazimiwa vipisi vya sigara hiyo mikovu yake.
 
uwe unapaka pilipili kifuani kwako, ikimuwasha kamwe hawezi ludia tena kukung'ata
 
pole sana...kila mtu ana namna yake ya kufika kileleni mwingine anaweza akakutukania mama yako bila ye kujua sasa angalia usije ukamwacha huyo ukaenda kumpata anayekutukania mama!
cha msingi hapa ni kumjenga kisaikolojia.

Thanx huu nao ni ushauri nzuri

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kuna possibilities 2 hapa:
1. Shem wetu ni vampire
2. Au anamuiga Suarez
Ushauri wa kuvaa bullet proof au kama wachina wameshaleta tooth proof tafuta.

Lol! yaani hii imenivunja mifupa ya kifua, yaan JF ni kila kitu.
 
Inonekana kuna kitu ulimuudhi, ameamua kujilipa kidogo kidogo mpaka lengo litimie.
 
We benzoic usinivunje mbavu.....
Kwamb shem wetu amekua Suarez?!!!!

Huyu ndg ye2 awache mamb ya ajab mbn styl zpo nyng au ndo kazoea kifo cha mende tu...
 
R.I.P Ngwair,Langa-habar wana jamvi
Nautandika uzi wangu huu hapa kuomba ushauri nifanyaje au dawa yake ni nini katika tatizo hili linalonisibu!
Nina mpenzi wangu niko kwenye mahusiano mwezi wa tisa sasa hivi,tatizo ni pale tunapokuwa ndani ya sita kwa sita huwa ananing'ata .Hii hali humtokea mara nyingi sana hasa hasa kipindi kile ambacho anakuwa anafika orgasm(female),hapa nilipo ukinikagua vizuri kifuani nina makovu kadhaa hadi kuwa chest game inakuwa aibu
Yani inakuwa shida kiasi natakiwa kujihami mara nikiwa namshughulikia hasa pale anapokuwa anakaribia orgasm kwa kutafuta stail ya kujiweka mbali na mdomo wake-lakini kama unavojua kipindi hiki mtu anaongezeka nguvu mara 100 so mara nyingi mimi naishia maumivu,na nimekuwa type ya wanaume ambao na last long in bed (enough stamina) hivo basi katika one shot naweza hata ng'atwa mara 3
Nikimuuliza mwenzangu anasema yeye hua hajitambui anapofanya kitendo hiko(biting) na kuishia kuni promise atajitahidi kujizuia next time lakini wapi -game inaishiaga vilevile.Kwa hali hii mimi naona kero hadi nafikiria kumuacha hali nampenda tena sana,sasa kabla sijafanya hivyo naombeni ushauri nifanyaje au hii hali inatibika na dawa yake nini?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ngoja uje ungofolewe siko hehehe chukua kitambaaa mpe angate au muweke taipu(ile ya kijivu)ya mdomo au kuna kifaa flani wanatumia wazungu wanaopenda ngono kama kirungu kina mnyororo anangata kisha inafunguwa kwa nyuma atakuwa hawezi kukungata!
 
Mfunge mdomo au mwekee mto ndo awe anaung'ata pia badilisha style ya kusex tumia sana mbuz kagoma kung'atwa hapa itakuwa shda[/QUOTE

Hivyo ndo atang'ata chochote kilichopo karibu, hasa mto au godoro. Teh teh.... hiyo ni balaa... Ukiona anakaribia nawewe unajihami, aking'ata nawewe unang'ata kwa kiwango sawa, ataach
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom