Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Inakuwaje uteuzi wako wote ukanyooshewa vidole? Unamwakilisha nani hapo? kama ni wananchi mbona watu tuliowakataa kwenye kura wewe unawapa madaraka?
Mimi kwa kweli inaniuma sana hasa kipindi hiki cha huyu jamaa.
Basi bwana; weye mshindi . . . .
Mimi kwa kweli inaniuma sana hasa kipindi hiki cha huyu jamaa.
Basi bwana; weye mshindi . . . .