Watanzania bwana, yaani huko San Francisco hakuna hata mtanzania moja aliyempokea kwa bango - naambiwa kwa vijembe huko ndiko kwenyewe. Kumbe pamoja na kukaa unyamwezini, akili za mbongo bado ni zile zile za uswahilini. Nilikuwa nasubiri kushuhudia anavyotupiwa mayai viza - ama ndo yale yale ya kujipitisha pitisha usishaulike ?
Mag3,Watanzania bwana, yaani huko San Francisco hakuna hata mtanzania moja aliyempokea kwa bango - naambiwa kwa vijembe huko ndiko kwenyewe. Kumbe pamoja na kukaa unyamwezini, akili za mbongo bado ni zile zile za uswahilini. Nilikuwa nasubiri kushuhudia anavyotupiwa mayai viza - ama ndo yale yale ya kujipitisha pitisha usisahaulike ?
Mag3,
San Francisco alikutana na kundi la Watanzania 10. Sasa walichaguliwaje hiyo sijui. Hata ukiangalia maswali waliyouliza ilikuwa ni a very friendly audience.
Nyani,'Lakini Jasusi mbona huyu Kikwete keshawahi kukutana na wabongo huko DC na sijui Nyu Yoki...na kilichotokea ni watu kujipendekeza pendekeza tu
Jk first leader to meet Obama
MUHIDIN ISSA MICHUZI in San Francisco, 18th May 2009 @ 00:00, Total Comments: 0, Hits: 913
President Jakaya Kikwete is expected to be the first African head of state to meet US President Barack Obama since his inauguration..
Hakuna hayo wewe...Waafrika makunguru sana. Hapa penyewe tunapiga makelele lakini watu tukipata fursa ya kumwuliza maswali ana kwa ana tunakuwa na ile nidhamu ya woga. Sasa nani atathubutu kumshikia mabango na kuandamana kumpinga?
President Kikwete and his delegation arrived here on Saturday, for a week-long official tour and is scheduled to visit President Obama at the White House on Friday.
Nyani,'
Naona sasa kuna mtindo wa kuchagua nani aonane na muishimiwa. Hapa DC watu wake wamekataa asionane na Watanzania eti kwa sababu tuna matatizo ya uongozi katika Jumuiya ya Watanzania. Lakini mimi nadhani it goes deeper than that. Najua San Francisco there are more than 10 Tanzanians na hata pale Hotelini alipofikia kuna ukumbi mkubwa tu wa kuweza kuchukua 100 people. So why only 10?
Uongo! Daily News mnatoa 'facts' za uongo ili iweje? Kwani wale wa SA na Ethiopia aliyekutana nao London mnajifanya mmesahau?
USDFA to Honor President of Tanzania
![]()
US Doctors for Africa (USDFA) to honor The President of The Republic of Tanzania, His Excellency Jakaya M. Kikwete on May 20th, 2009 in Los Angeles, California. Mr. Kikwete is known by most as one of most respected and forward thinking leaders in Africa. As President of The Republic of Tanzania and as a former head of the African Union, Mr. Kikwete played a leading role in improving access to health care in Tanzania as well as through out the African Continent.
USDFA in partnership with The Los Angeles World Affairs Council will honor President Kikwete on the evening of May 20th for his tireless effort in fighting poverty and for his creative approach in providing access to health care to the people of Tanzania.
source; US Doctors For Africa
Masatu falling asleepKelele za mlango.....
Companero,Hivi Obama amesafiri nje ya nchi yake mara ngapi na atasifiri mara ngapi mwaka huu?
Companero,
Obama kishaenda Uingereza, Ufaransa,Uturuki, na nchi nyingine sikumbuki sawasawa, lakini hakuenda kukagua ofisi za IBM au Cisco. Pia Julai atakwenda Misri na Ghana. Kishaenda Mexico, Canada na South America kwenye mkutano wa mataifa ya bara la Marekani alipokutana na Chavez. Kama kuna safari nyingine sikumbuki atajazia Nyani Ngabu.