Kikwete, sasa umemwelewa Sumaye?

Kinara wa Ufusadi nchini ni yule mgombea alie enda haja kubwa kwenye mkutano wa hadhara Geita ikabidi Mr zero ampeleke chooni akabadilishwa na suruali,akapanda jukwaani na suruali nyingine


Ahaa sio yule aliyedondoka live pale jangwani?
 
Kinara wa Ufusadi nchini ni yule mgombea alie enda haja kubwa kwenye mkutano wa hadhara Geita ikabidi Mr zero ampeleke chooni akabadilishwa na suruali,akapanda jukwaani na suruali nyingine

Ile ya geita ni aibu sana mgombea kwenda haja kubwa jukwaani bila yeye kujua! Imeingia kwenye historia ya taifa letu akishinda URAIS atakua ni Rais alie maliza haja kubwa kubwa jukwaani!
 
Kinara wa ufisadi nchini ni nani?

Hata angekuwa yeye kwani hawezi kubadilika?

Mbina Sauli alikuwa Muuwaji baadae akageuka mhubiri injili ambaye ndiye mtume Paulo?
Kinara wa Ufusadi nchini ni yule mgombea alie enda haja kubwa kwenye mkutano wa hadhara Geita ikabidi Mr zero ampeleke chooni akabadilishwa na suruali,akapanda jukwaani na suruali nyingine
 
Kinara wa Ufusadi nchini ni yule mgombea alie enda haja kubwa kwenye mkutano wa hadhara Geita ikabidi Mr zero ampeleke chooni akabadilishwa na suruali,akapanda jukwaani na suruali nyingine


Akili hizi ndo zimewafanya mumpe mileage Lowassa na kuzamisha chama chenu...

Nje ya mipasho..fitina na majungu hamuwezi endesha siasa..

timu ya watu 32 imeshindwa kuleta impact kwa Magufuli!!!
 
Lusungo hivi mgombea kutoka jukwaani akarudi na suruali nyingine maana yake ni nini?
 
Ile ya geita ni aibu sana mgombea kwenda haja kubwa jukwaani bila yeye kujua! Imeingia kwenye historia ya taifa letu akishinda URAIS atakua ni Rais alie maliza haja kubwa kubwa jukwaani!


Ndio maana hata mnaowatuma kwenye midahalo hushindwa kupambana kwa hoja na kuishia kwenye matusi.
 
Ndugu wana JF,

Nimelazimika kumwandikia rafiki yangu kipenzi JK waraka huu wa swali kwamba sasa amemwelewa Sumaye? Ktk makundi ya wanafunzi tunazo aina tatu yaani gold...silver...stone.

Gold huweza kuelewa bila msaada wa mwalimu na kwa haraka sana... Silver huelewa mara moja akifundishwa na mwalimu na hahitaji nguvu ya ziada ... Stone yeye hata akifundisha ni ngumu kuelewa na huhitaji mbinu kali zaidi aelewe ikibidi kwa kurudia rudia somo lkn hawa hawafiki mbali kielimu.

Nimeanza na utangulizi huo nikiikumbuka kauli ya rafiki yangu JK pale jangwani kwenye ufunguzi wa kampeni za CCM aliposema amemsikiliza Sumaye hajamwelewa!! anasema mpaka siku hiyo anapokwenda uwanjani alikuwa hajamwelewa!!!!

Lakini ktk sokomoko hilo tumeshuhudia CCM ikibadili mbinu na sera... Bajeti ya kampeni ikiongezeka maradufu na hata kuwakumbatia wale JK aliowaita wanamiliki viwanda vya uongo ili tu kupunguza mvumo wa kauli na sumu za Sumaye majukwaani ndo nauliza sasa JK amemwelewa Sumaye?

Ndani ya vikao vya siri ajenda imekuwa Sumaye... ndugu yangu BM hana raha tangu Sumaye aondoke CCM...

Vilio na kutupiana lawama vimetawala ndani ya CCM juu ya kile Sumaye anafanya huko UKAWA!!!

Mafaili machafu dhidi yake yametafutwa yamekosekana!! hata hoja ya shamba halali la mvomero iliyoletwa na Makamba haijauza sasa wanaulizana ITAKUWAJE SUMAYE ANAYETUJUA SISI BINAFSI AKIAMUA KUFUNGUKA??

Siku anajitoa CCM Sumaye alisema huko CCM mmemuona ni sisimizi tu kiasi cha kuandika barua kutojibiwa hivyo wataona umuhimu wake akiwa Upinzani na ni dhahiri sasa anawatetemesha ndipo nauliza JK sasa umemwelewa Sumaye?

Nimeuliza kote walikopita wana UKAWA nimeambiwa watu wamekua na shauku kubwa mno yakumsikiliza bwana zero kuliko yeyote na amekuwa akitoa hamasa sana ....

Sumaye amejenga ujasiri sana kwa wapinzani na wapenda mabadiliko... ameondoa hofu na woga... amejenga kujiamini sasa vinaanza vitisho kuwa nchi haiendi upinzani!!!!

Nauliza tena JK uliyesema kwa dharau humwelewi Sumaye sasa umemwelewa au abadili mbinu za ufundishaji? umuulize na mdogo wako Makongoro ule mchezo wa CHANDIMU vipi mbona amechoka mapema??

Ahsante kwa kunisoma natumai umenielewa!!!

Ndimi LUSUNGO.

Iv y huyu mstaafu wanatumia a.k.a ya zero?plz nijuzen
 
Kikwete alijiamini kupita kiasi,ali~overestimate uwezo wake wa kuinfluence mambo.

Alikosea sana kumu~underrate Lowasa.Now his house of cards is coming down like hell.
Jaji Lubuva ndio amegongea msumari wa mwisho kwenye jeneza la CCM.

Matokeo yote yanabandikwa vituoni
 
Ukitaka kujua kama wanamuelewa angalia namna wanavyohaha usiku na mchana kuvuruga nguvu ya UKAWA kwa kununua Viongozi,wanachama,vyombo vya habari na kupanga mikakati ovu dhidi ya wana "Mabadiliko".
 
Tafadhali kijana wa CCM na kiongozi wa kitengo cha propaganda cha masaki.. Hapa hatuchezi chandimu...

Lugha zako za kihuni na kihayawani nenda butiama mkacheze chandimu na Makongoro hapa si size yako...

Huu mjadala ni wa watu walio ktk kundi la gold na silver utupishe tafadhali.

Mleta mada na wewe unajiita Silver brain?
 
Kikwete alijiamini kupita kiasi,ali~overestimate uwezo wake wa kuinfluence mambo.

Alikosea sana kumu~underrate Lowasa.Now his house of cards is coming down like hell.
Jaji Lubuva ndio amegongea msumari wa mwisho kwenye jeneza la CCM.

Matokeo yote yanabandikwa vituoni


Hapo ndipo CCM itafia.
 
Back
Top Bottom