Museven and Kagame: These two Tutsi-Hima junta military leaders ndiyo kikwazo kikubwa cha amani katika eneo hili la maziwa makuu. Were key figures in plotting and perpetrating 1994 Rwandan genocide wakishirikiana na raisi wa taifa moja kubwa duniani. Lengo lao kuu likiwa ni kufaidi rasilimali zilizopo mashariki mwa DRC. Mkuu wa kwanza wa mahakama ya Kimataifa ya kimbari ya Rwanda (ICTR) katika uchunguzi aliofanya kuhusu chanzo cha Rwandan genocide aligundua kwamba aliyekuwa Rais wa taifa moja kubwa duniani wakati huo walishirikiana na M7 na Kagame kuitungua ndege iliyobeba maraisi wawili wa Rwanda na Burundi na kuwaua huku waki-underestimate idadi ya watu ipatayo 50,0000 (elfu hamsini tu) watakao kufa kutokana na ulipizaji kisasi. Huku wakisema idadi hiyo ni reasonable na jambo la kawaida la number ya watu kutolewa kafara linapokuja suala la kutimiza lengo kuu na muhimu. Ili kudhibiti (kuzuia) uchunguzi huo kuendelea na matokeo yake kuwekwa hadharani, raisi wa taifa kubwa alimshinikiza Katibu Mkuu wa Umoja Mataifa Koffi Annan kumuondoa raisi wa ICTR kwenye wadhifa wake na vile vile kupiga stop uchunguzi huo. Kuanzisha mauaji ya Rwanda ilikuwa ni siri ya wachache ndani na nje ya RPF hivyo ili kuzuia uvujaji wa siri hiyo baada ya kuanza kwa uchunguzi wa chanzo cha mauaji hayo na mkuu wa ICTR na baadaye kuachishwa kazi na Koffi Annan, raisi wa taifa kubwa alimlazimsha Kagame kuhakikisha kuua kila mtu ndani ya RPF anayejua siri hiyo. Ndiyo sababu ya mauaji ya waliokuwa washirika wa karibu wa Kagame waliokimbilia nje ya nchi (mfano Seth Sendashonga) na wengine kunusurika (mfano Jenerali Kayumba Nyamwasa). Pia kilichomponza mkuu wa kwanza wa ICTR kuondolewa ilikuwa ni nia yake ya kutaka kumfungulia mashitaka raisi Kagame na washirika wake katika kuhusika na Rwandan genocide. Sasa jiulize kwa nini wanatoka povu jingi wanapoambiwa ukweli wa-negotiate na FDLR? Ni kwa sababu truce itafikiwa kwanza kwa kuwekwa wazi chanzo cha genocide, sasa Kagame hapo anaona hawezi kuchomoka! Kagame hataki ukweli ujulikane! Kwakuwa Kagame alisababisha kutokea kwa genocide na interahamwe nao waliua watu kwa hiyo wote ni wahalifu hivyo wote wakae chini wazungumze wamalize tofauti zao kwa kusameheana kisha wajenge nchi yao na ndiyo maana raisi JK kamwambia wazi Kagame negotiate please na FDLR! Ukweli unauma sana kama kupigwa ngumi ya uso na babamkwe mbele ya kadamnasi. Kagame huo ndiyo ukweli wenyewe ulioambiwa na mkuu mwenzio, ni ushauri wa bure PLEASE NEGOTIATE WITH FDLR!