‘Kikwete’s remarks on FDLR shocking’

‘Kikwete’s remarks on FDLR shocking’

Hapa ndo sielewi kabisa. You either fight them or join them. These guys are causing trouble in DRC, DRC people are peace-less and Rwandans are at peace, and you keep saying never negotiate with genociders . If Kagame doesn't want to negotiate with what he calls genociders ( I suppose he is not 🙂) he should fight them and end this instability, now its almost two decades after the genocide; still fighting them??? Even Afghanistan is now negotiating with Taliban anyway.

Even fighting them is the way of negotiation. UN has peace keeping (chapter 6) and peace Enforcement (chapter 7). All are peace keepers.
 
Museven and Kagame: These two Tutsi-Hima junta military leaders ndiyo kikwazo kikubwa cha amani katika eneo hili la maziwa makuu. Were key figures in plotting and perpetrating 1994 Rwandan genocide wakishirikiana na raisi wa taifa moja kubwa duniani. Lengo lao kuu likiwa ni kufaidi rasilimali zilizopo mashariki mwa DRC. Mkuu wa kwanza wa mahakama ya Kimataifa ya kimbari ya Rwanda (ICTR) katika uchunguzi aliofanya kuhusu chanzo cha Rwandan genocide aligundua kwamba aliyekuwa Rais wa taifa moja kubwa duniani wakati huo walishirikiana na M7 na Kagame kuitungua ndege iliyobeba maraisi wawili wa Rwanda na Burundi na kuwaua huku waki-underestimate idadi ya watu ipatayo 50,0000 (elfu hamsini tu) watakao kufa kutokana na ulipizaji kisasi. Huku wakisema idadi hiyo ni reasonable na jambo la kawaida la number ya watu kutolewa kafara linapokuja suala la kutimiza lengo kuu na muhimu. Ili kudhibiti (kuzuia) uchunguzi huo kuendelea na matokeo yake kuwekwa hadharani, raisi wa taifa kubwa alimshinikiza Katibu Mkuu wa Umoja Mataifa Koffi Annan kumuondoa raisi wa ICTR kwenye wadhifa wake na vile vile kupiga stop uchunguzi huo. Kuanzisha mauaji ya Rwanda ilikuwa ni siri ya wachache ndani na nje ya RPF hivyo ili kuzuia uvujaji wa siri hiyo baada ya kuanza kwa uchunguzi wa chanzo cha mauaji hayo na mkuu wa ICTR na baadaye kuachishwa kazi na Koffi Annan, raisi wa taifa kubwa alimlazimsha Kagame kuhakikisha kuua kila mtu ndani ya RPF anayejua siri hiyo. Ndiyo sababu ya mauaji ya waliokuwa washirika wa karibu wa Kagame waliokimbilia nje ya nchi (mfano Seth Sendashonga) na wengine kunusurika (mfano Jenerali Kayumba Nyamwasa). Pia kilichomponza mkuu wa kwanza wa ICTR kuondolewa ilikuwa ni nia yake ya kutaka kumfungulia mashitaka raisi Kagame na washirika wake katika kuhusika na Rwandan genocide. Sasa jiulize kwa nini wanatoka povu jingi wanapoambiwa ukweli wa-negotiate na FDLR? Ni kwa sababu truce itafikiwa kwanza kwa kuwekwa wazi chanzo cha genocide, sasa Kagame hapo anaona hawezi kuchomoka! Kagame hataki ukweli ujulikane! Kwakuwa Kagame alisababisha kutokea kwa genocide na interahamwe nao waliua watu kwa hiyo wote ni wahalifu hivyo wote wakae chini wazungumze wamalize tofauti zao kwa kusameheana kisha wajenge nchi yao na ndiyo maana raisi JK kamwambia wazi Kagame negotiate please na FDLR! Ukweli unauma sana kama kupigwa ngumi ya uso na babamkwe mbele ya kadamnasi. Kagame huo ndiyo ukweli wenyewe ulioambiwa na mkuu mwenzio, ni ushauri wa bure PLEASE NEGOTIATE WITH FDLR!


This is a forum for great thinkers not watu wanaosoma magazeti ya Shigongo....wewe unapaswa kuandika riwaya...c'mon unaweza kutupa source zako?
 
Rwandese should know that compassion is better than anger...Kikwete akiomba msamaha, ajiuzulu hata urais wa TZ.....pumb.avu zao Rwanda is just 26000 sq km compared to 955000 sq km to tz. Haijai hata kwenye kidole cha jk.
Utingo weka akili kazini, ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi.Military strategies have nothing on your poor analysis.Have a look on the 1973 Israel against Arabs communities,Vietname VS USA, and USSR VS.Afaghastan.
 
Last edited by a moderator:
Hapa ndo sielewi kabisa. You either fight them or join them. These guys are causing trouble in DRC, DRC people are peace-less and Rwandans are at peace, and you keep saying never negotiate with genociders . If Kagame doesn't want to negotiate with what he calls genociders ( I suppose he is not 🙂) he should fight them and end this instability, now its almost two decades after the genocide; still fighting them??? Even Afghanistan is now negotiating with Taliban anyway.

Mkuu kwani unafikili ni Afghanistan ndiyo ina negotiate na Taliban? Hizo ni geresha tu, ukweli ni kwamba Merikani yenyewe ndio unahusika moja kwa moja katika suala hili la kufanya mazungumzo na Taliban, lakini kwa Merikani kuona aibu wanamtumia proxy wao KAZAI kufanya mazungumzo, Merikani imefikia hatua ya kufanya hivyo baada ya kuona vita ya Afghanistani imekuwa ngumu kwao licha ya kuwa na zana lukuki za kivita; Merikani imehamua kubwaga manyanga baada ya kupoteza zaidi ya mika kumi chasing shadows in Afghanistani.

Urusi iliwahi kuionya Merikani kuhusu ugumu wa kupigana vita nchini Afghanistani, lakini kutokana na kiburi na jeuri za Merikani kama walivyo Watutsi wakahamua kupuuzia onyo la URUSI, come mwaka kesho hakuna mwanajeshi hata mmoja wa Merikani atabaki Afghanistan wataondoka actually wamekwisha anza kuondoka kwa aibu kubwa, sioni kama KAZAI atachukuwa muda baada ya Merikani kuondoka Afghanistani aidha atauuwawa na Watalibani au atapaswa kukimbilia uhamishoni, baada ya hapo nina uhakika Wataliban watashika madaraka tena Nchini Afghanistani.

La kujiuliza hapa ni: Hivi nchi kubwa kama Merikani imeona kuna umuhimu wa kufanya mazungumzo na mahasmi wao wakubwa wa siku nyingi (Taliban/Al-Queda) kwa nini Seriakali ya Mh.Kageme inashindwa kuhiga mfano wa Merikani/Kazai - Mh.Kagame anaona ugumu gani katika hilo, unless kama anaona kuna kitu ambacho hakiwezi kumnusuru katika sakata la siku za nyuma; ajaribu kuwa jasiri na kuweka terms zake za ku-negotiate na FDLR wajaribu kusahau yaliyo pita, na wawekane wazi kwamba hakuna mambo ya kulipizana kisasi - South Africa waliweza hilo Wanyarwanda wanashindwa NINI?

Nekwisha sema mara nyingi humu inapokuja mambo ya mauuaji, uwezi kumtetea Mtutsi au Muhutu katika hilo wote wamefanya mauuaji makubwa sana.
 
The way you argue you sound a tutsi! am sorry if you are not. And, am still doubt of your ability to compare incidences, ...Idi Amini vs Tanzania, and FDRL vs tutsi! How do u compare these two?
FDRL, M23 hivi hawa wote si ni wanyarwandwa au nakosea? ila idi amini, talbani ni A and B maana FDRL, M23 na waliopo madarakani wote ni wanyarwandwa tena wote wanaongea Lugha moja tu ya kinywarwanda sijawahi kusikia kuna Lugha ya kitutsi, kihutu au kitwa wote wanaongea kinyaru, ni kama watoto wa baba na mama mmoja wanaogombea urithi kwa wazazi wao ambao bado hawajafa so hao watoto ndio wanakuwa na tabia tofauti. sasa kunapokuwa na tabia tofauti kati ya watoto uliowazaa utawauwa au utatafuta jinsi ya kuishi nao kwa amani ili nao wapendane ni swali tu?

Sasa ajabu wanaotafuta tofauti eti wanatafuta tofauti kati ya FDRL na Watutsi badala ya kutafuta tofauti ya FDRL na FPR na M23 hapo ndio naona kuna tofauti (kivyama) lakini ukitaka tofauti ya watutsi na Wahutu na Watwa hutaipata kwa sababu wote ni wanyarwanda wanaongea lugha moja tu ya Kinyarwanda. Huo urefu sijui ufupi ni genetic tu ndio naweza kusema.
 
Utingo weka akili kazini, ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi.Military strategies have nothing on your poor analysis.Have a look on the 1973 Israel against Arabs communities,Vietname VS USA, and USSR VS.Afaghastan.

kanga......kwa hiyo kwa upumbavu wako unakubali na unaridhia kila wakati rwanda inapokuwa na nakisi (deficit) ya bajet yake iwe inakwenda kuiba madini Congo kwa kisingizio cha kuwapiga Hutu Rebels?

Tangu wameanza kuvamia Congo kuwasaka, uliwahi kusikia wamewakamata wangapi?

stop using ass to think.
 
you have a point mheshimiwa Jasusi, lakini mfano uliotoa sio ...Tanzania haiku spend miaka 20 Uganda kupigana vita....wala hakukuwa na genocide ya watanzania against waganda. the situation in congo is just too much and the genocide issue just complicates everything even more. kuna watu wazima Congo ambao hawajawahi kuona amani tangu wazaliwe... amani kwa ncha ya upanga na risasi haijapatikana kwa miaka 20, kuna ubaya gani kuangalia uwezekano wa kutumia na njia zingine?
Ngiwilizi,
The way I see it you cannot negotiate with the one who wanted to exterminate you. Those Hutus who were peaceful and ran to Congo with the interahamwe have been given a chance to return home. Through the gacaca courts some have been forgiven of their heinous acts. The ones who Kikwete wants Kagame to "negotiate" with are the hardliners
who were supported by France and think they can return with their army. Once you have 2 armies in a country you have a recipe for more war. And what is worse, those people who Kikwete sympathises with have not been heard to renounce their anti-Tutsi sentiments. So why talk to your intended killers?
 
Kwa hili namwunga mkono Kikwete. Hawa Watutsi wanajidai ni wao tu waliopata taabu katika matatizo ya Rwanda, nalhali hata Wahutu waliuawa, tena kwa maelfu. Kuna wakati Fulani Rwanda ilipewa uhuru na Marehemu Kabila wa kwenda popote nchiniDRC kuwasaka hawa, ina maana hawauwamaliza? FDLR ni chama chenye genuine political grievances, ni lazima wakae nao wazungumze wasijidai kuwatia watu jivu la macho. Sisi tunajua ukweli na wasifanye watu wote kuwa wapumbavu. Kwani Watutsi hawakuuwa Wahutu malaki na lukuki Mashariki ya Congo, Mombasa, Ullaya na kwengineko? Wasituletee 'Uisraeli' barani Afrika, kwamba ni maumivu yao tu ndiyo yanayo count kwa vile wao ni watu bora kuliko wengine!
 
Perfect advise kwa Kagame? my foot! Unajua unapotoa ushauri lazima uwe unafahamu in details mgogoro ama issue yenyewe. Sasa huyu jamaa haelewi the depth ya hii issue anakimbilia kutoa ushauri ambao yuko on the fence akifikiri ataoneka amefanya kitu. it is not working on this issue.

Shapu labda kwa kukusaidia Kikwete amekuwa Waziri wa mambo ya nje wa mkapa, Kama Waziri wa mambo ya nje anajua in and out ya Tatizo la Rwanda , na isitoshe ana additional info ambazo hata wewe huna, kwa hiyo anaposhauri ana uhakika na anachokisema, Na pia kwenye meza za majadiliano ya issue za Rwanda na yeye amekuwepo.
 
Mgogoro wa Congo, Rwanda pamoja na Uganda ambako M7 ameshidwa kuweka amani haujaanza leo unajulikana kwa ukubwa na mapana yake. Magogoni tuna wafanyakazi ambao sio raia wa Tanzania ni wakimbizi tu, then ndio washauri wa Mr president. Rais wetu amekuwa anatumiwa sana na matajiri kwa kujinafsisha binafsi wakati haya Majambazi yanachota rasilimali za Walipa kodi na JK hajali kuona haki inatendeka. Tanzania ambayo inaheshimika na unaona hivi sasa marais wa marekani wanakuja sio bure kuna kitu hapo kinaendelea na matokeo yake hatuwezi kuyaona leo wala kesho itachukua miaka kadhaa kuonekana.

Kwa nini tunatumiwa hivi sasa ni kwa sababu ya jitihada za makusudi za awamu ya kwanza kujiweka katika mazingara mazuri hususan na nchi zote za SADC ambako tuna sauti na tunasikilizwa I presume. JK hivi sasa analikoroga na sidhani kama ushirikiano wa mwanzo wa SADC uko imara kama awali. Kuyumbayumba kwa SADC kutaleta matatizo siku za usoni.


BTW Wale wakimbizi wa Rwanda ooops chijui Burundi .. ... .. kina Koba et al hawajaweka maneno hapa?
 
Wewe mtutsi hujui ulisemalo; shida yenu u think you are always right and everybody else is wrong! Nyie watutsi ndio mliosababisha genocide kwa kuvamia Rwanda mkitokea Uganda kwa kushirikiana na watutsi wengine kutoka Burundi na kwingineko! Nyie mlikuwa wavamizi kwani kiongozi wenu Fredy Rwigyema (RIP) na Kagame walikua na passport za Uganda! Na kagame kwa sababu ya kupenda madaraka alifanya mbinu ili Fredy Rwigyema (wakati huo Kagame alikuwa USA akisoma kwa ufadhili wa nchi yake Uganda). Na kauli yako ya kusema muendelee kuwamaliza hao FDRL inaonyesha the true colour of you, tutsi, the killers! blood suckers! so mnataka muwamalize wahutu wote ili muishi wenyewe kwenye hii dunia? that will never happen as long as the LORD GOD of Israel lives! your expansionism theory will never be accomplished! U feel to be so special that all other human kinds on earth but that is futile! mnajilisha upepo!

Huu u..---- wako kawadanganye wapuuzi wenzako wasiojua kitu au wale criminals wanaokimbia kimbia misitu ya Congo wakiiba mihogo and raping innocent women,FDLR lazima wamalizwe kama inakuuma sana kajiunge nao
 
Huu u..---- wako kawadanganye wapuuzi wenzako wasiojua kitu au wale criminals wanaokimbia kimbia misitu ya Congo wakiiba mihogo and raping innocent women,FDLR lazima wamalizwe kama inakuuma sana kajiunge nao

kagame is a criminal, siku zake zimeanza kuhesabika
 
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee naona moshi umekafukua kajoka khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
The way you argue you sound a tutsi! am sorry if you are not. And, am still doubt of your ability to compare incidences, ...Idi Amini vs Tanzania, and FDRL vs tutsi! How do u compare these two?

For the same reason basi wewe ni FDRL,na wala siwezi kukupa heshima ya kukuita wewe mhutu maana wahutu sio hao genocidals unaowatetea,FYI kagame/Kigali hawahitaji msaada au ushauri kutoka kwa wapuuzi kama wewe mnaojifanya mnaelewa kumbe zero,struggle yao went back more than 50 yrs then leo mpuuzi kama wewe unakuja na garbage zako eti tutsi tutsi wabaya wabaya jesus will see you....get the f#42%&^%4 ut!
 
Mgogoro wa Congo, Rwanda pamoja na Uganda ambako M7 ameshidwa kuweka amani haujaanza leo unajulikana kwa ukubwa na mapana yake. Magogoni tuna wafanyakazi ambao sio raia wa Tanzania ni wakimbizi tu, then ndio washauri wa Mr president. Rais wetu amekuwa anatumiwa sana na matajiri kwa kujinafsisha binafsi wakati haya Majambazi yanachota rasilimali za Walipa kodi na JK hajali kuona haki inatendeka. Tanzania ambayo inaheshimika na unaona hivi sasa marais wa marekani wanakuja sio bure kuna kitu hapo kinaendelea na matokeo yake hatuwezi kuyaona leo wala kesho itachukua miaka kadhaa kuonekana.

Kwa nini tunatumiwa hivi sasa ni kwa sababu ya jitihada za makusudi za awamu ya kwanza kujiweka katika mazingara mazuri hususan na nchi zote za SADC ambako tuna sauti na tunasikilizwa I presume. JK hivi sasa analikoroga na sidhani kama ushirikiano wa mwanzo wa SADC uko imara kama awali. Kuyumbayumba kwa SADC kutaleta matatizo siku za usoni.


BTW Wale wakimbizi wa Rwanda ooops chijui Burundi .. ... .. kina Koba et al hawajaweka maneno hapa?
sawa, lakini TANZANIA kamwe haiwezi kuwaomba msamaha wakimbizi wa kitusi wanaoishi rwanda! kamwe haitatokea na sababu tunazo, madhara ya migogoro ya maziwa makuu waathirika wakubwa ni sisi watanzania.Hamna njia hata kwa vita tupo tayari kuhakikisha afrika na hususani rwanda ni mahali salama kwa wote na si kwa wakimbizi wa kitusi pekee!!!!!!
 
For the same reason basi wewe ni FDRL,na wala siwezi kukupa heshima ya kukuita wewe mhutu maana wahutu sio hao genocidals unaowatetea,FYI kagame/Kigali hawahitaji msaada au ushauri kutoka kwa wapuuzi kama wewe mnaojifanya mnaelewa kumbe zero,struggle yao went back more than 50 yrs then leo mpuuzi kama wewe unakuja na garbage zako eti tutsi tutsi wabaya wabaya jesus will see you....get the f#42%&^%4 ut!
Yes, Tutsi are evil, period! swallow it or leave it! uje na hoja sio matusti.. heheeheeeee! silly you...wewe ndo ZERO squared! anyway, dont have time to argue with brain impared people of yr type! Got a lot to do.
 
Yes, Tutsi are evil, period! swallow it or leave it! uje na hoja sio matusti.. heheeheeeee! silly you...wewe ndo ZERO squared! anyway, dont have time to argue with brain impared people of yr type! Got a lot to do.
kajiunge na wapuuzi wenzako FDLR acha kupoteza muda ...lazima msafishwe!
 
Yes, FDLR is a sensitive topic for Rwanda, and JK overlooked that sensitivity. However, this woman Mushikiwabo, how could she use such language against a foreign leader? Where is diplomacy? Where is respect? How could she call JK a spokesperson of FDLR? I think Rwanda is run by a bunch of brainless people masquareding themselves as diplomats and politicians. I remember how they disparaged French leaders in the aftermath of the indictments. Please Louise, learn to respect others, and such issues could be discussed in appropriate fora

TUTSI are really known to be very arrogant and befriend only a submissive person!!!
 
Back
Top Bottom