‘Kikwete’s remarks on FDLR shocking’

‘Kikwete’s remarks on FDLR shocking’

Hii imenikumbusha mbali sana Raisi wenu anavyotaka ku-negotiate with Majambazi. Eti walioiba hela za EPA rudisheni au njooni mjitokeze tujue jinsi ya kufanya kweli wakarudisha ama hawakurudisha na maisha yanakwenda. How on Earth do you negotiate na Jambazi???? unanegotiate nini, kamata weka ndani kamata mali zake zote....ushenzi tu huu. Wacha warwanda wamweleze alivyo kilaza.
Hapa mambo ya EPA weka kando. Unataka kupotosha mada. Hapa tunataka rwanda ifanye mazungumzo na wapinzani wake, sio kila mtu kumlabel genocider kuepa kuleta demokrasia na kumaliza utawala wa wachache rwanda.
 
On what grounds do they demand an apology? President Kikwete has his faults as a leader but on this case he is right!

The only way for Rwanda to move forward is negotiation otherwise hate will continue between the two tribes.

kaa kimya kama hujui vitu..mbona hawaambii marekani wakae meza moja na al queda....mnakuwa na rais anaropoka ropoka afu mnatetea mautumbo hapa
 
Hawa watutsi wanatumia mauaji dhidi yao yaliyosababishwa na wao wenyewe kwa kuvamia rwanda toka uganda kama mtaji wa kisiasa. wanataka huruma ya mauaji dhidi yao iwe mtaji wa wao kuhodhi madaraka ya kisiasa rwanda. Eti wanataka congo iongee na waasi wake wa kitutsi ambao wanapewa silaha na rwanda na kupigana kutokea nchi hiyo. Wao hawataki kuongea na waasi wao wa kihutu na kila mnyarwanda mpigania haki na demokrasia ya kweli wanamuita genocider. Hawa watutsi katikati ya bara la afrika ni kiini cha kukosekana amani eneo la maziwa makuu. Siku zote hawaishi fujo za kugombea madaraka kwenye nchi wanazokaa. Mazungumzo na FDLR ni jambo la lazima ili kupata amani ya kweli na ya kudumu Rwanda na waache kuitisha tanzania na rais wake kama wana akili nzuri.

rais wenu mropokaji akome
 
kaa kimya kama hujui vitu..mbona hawaambii marekani wakae meza moja na al queda....mnakuwa na rais anaropoka ropoka afu mnatetea mautumbo hapa

Kutowaambia US wanegotiate na Al Qaed hakufanyi kauli yake kuwa na makosa...! Kila kabila Rwanda lina version yake ya genocide...negotiation ikifanyika itamaliza, chuki na kuongeza chances za amani ya kudumu.
 
Nakubaliana na wewe 100% huyo rweyemamu asije akawa one of m23 hawa jamaa wamejipenyeza sana kwenye system yetu. Kama sio basi tuone anapambana na hii propaganda ya kijinga ya m23 effectively. Hawa akina m23 ni hodari sana wa propaganda ndio maana wanafanikiwa kuendelea na udhalimu wao kwa wacongo na eneo lote la maziwa makuu.

Mbona walishadokeza kuwa ana asili, bwana Tanzania ina mambo mengi sana ndugu yangu yaani ni yakufunga na kuombea
 
Dialogue ndio mpango mzima katika upatikanaji wa AMANI katika nchi hizi za mziwa makuu.... Mkuu wa Kaya amezungumza bila kumung'unya maneno!

The President should walk the talk. He needs to correlate what he says and what he does.

Kama anaamini kuwa dialogue ndiyo mpango mzima, kwa nini then alikubali kupeleka majeshi Congo?

Sioni logic ya kuishauri Rwanda wajadiliane na FDLR rebels wakati tumepeleka majeshi Congo kupigana na M23.

Tuna wanajeshi Congo. Kuna tuhuma kuwa Rwanda wanawasaidia M23.

Halafu hapo hapo tunawataka Rwanda wajadiliane na FDLR.

Hii siyo kuweka wanajeshi wetu kwenye risk?
 
My brother, i am very sure you dont have an idea of what transpired in Rwanda during the genocide. RPF is the current arm of Rwanda under Kagame, the army which was ousted was pushed to DRC where rwandan government believes (and ofcoz the fact )that they were the one wanted to exterminate the tutsis. Now to rwandan gvt they are terrorist. The issue in question now is Kikwete telling them to sit with those terrorist and have agreement. That is what can never happen to rwandan government and that is the fact kikwete doesnt want to understand. Those people infact are wanted by the genocide court and kikwete was to tell them or assist on how to capture them. you dont negotiate with terorists.

Kabila would say the same thing - that M23 are terrorists. And the gospel according to Paul Kagame is that Kabila should talk to M23. Now, why 'St' Kagame thinks its ok for Kabila to talk to terrorists (M23) but not him -Kagame- with his band of 'terrosists', FDRL?
 
Tukirudi kwao huko Rwanda, what was the point of the gacaca system?

.
Wewe kabla ya kuja hapa and criticize hiyo gacaca,nakushauri take time and educate yoself kabla ya kuandika kitu ambacho huna idea nacho
 
Wewe kabla ya kuja hapa and criticize hiyo gacaca,nakushauri take time and educate yoself kabla ya kuandika kitu ambacho huna idea nacho

Wapi nime criticize gacaca? Unaweza kunionyesha tafadhali?
 
Kabila would say the same thing - that M23 are terrorists. And the gospel according to Paul Kagame is that Kabila should talk to M23. Now, why 'St' Kagame thinks its ok for Kabila to talk to terrorists (M23) but not him -Kagame- with his band of 'terrosists', FDRL?
Tell US wakae nao waongee na Al Qaida,Kagame hawezi kuongea na FDRL dawa yao ni kuwamaliza tuu kama walivyomaliza wenzao 94 na why negotiate na genocidals ambao their only goal ni kumaliza one part of population,na usichanganye FDRL na M23 ni vitu tofauti kabisa
 
You did in one of your backpost(sina muda wa kuitafuta)...

Kama huna muda wa kuitafuta huna haki ya kusema nime criticize gacaca.

Unaweza kufanya kati ya matatu yafuatayo.

1. Kututafutia hiyo post na kuiweka hapa.
2. Kuomba msamaha kwamba umepitiwa na kuchanganya madawa.
3.Kubakia shingongumu na kukubali kila nitakapokuona nikuite "mzushi" mpaka utakaponipatia hiyo post au kuomba msamaha.
 
Tell US wakae nao waongee na Al Qaida,Kagame hawezi kuongea na FDRL dawa yao ni kuwamaliza tuu kama walivyomaliza wenzao 94 na why negotiate na genocidals ambao their only goal ni kumaliza one part of population,na usichanganye FDRL na M23 ni vitu tofauti kabisa

Kwanini Kagame aseme (tena kwa kurudia rudia) kuwa Kabila aongee na waasi M23, lakini anapoambiwa naye (Kagame) aongee na waasi wake, FDRL anafoka? Huu utani wa kusema Kikwete aombe msamaha kwa mambo ambayo yameshaongelewa na taasisi za kimataifa (i.e UN, EU) unatoka wapi?

Let me say this, Kagame amefanya mambo mengi mazuri kwa nchi yake ya Rwanda na kwa hakika kwa Watutsi wenzie. Lakini kuna very dark side ya huyu bwana ambayo italeta sokomoko kama si balaa kwa Rwanda na ukanda wote in the future.

Kwa sasa Rwanda wanaweza kucheza 'kombolela' lakini kadri siku zinavyozidi kusogea ndivyo tatizo linazidi kuwa kubwa. FDRL may be a big problem to Rwanda, today, but they are also part of the solution if that country is to realise long-lasting peace. Kama vipi Kagame awafukie FDRL wote, can he do that?
 
Watu wasio jua amani sasa wanataka kutufundisha maana ya amani!?..........kwa kweli wameonyesha kutokukomaa......waone mifano kule Zimbabwe, Africa Kusini, Kenya nk....... walivyokaa meza moja kuondoa tofauti zao kwa manufaa ya mataifa yao......kuzungumza na kuelewana na wapinzani haiondoi mantiki ya kutoshtakiwa kwa walio na makosa endapo ushahidi upo......
 
Watu wasio jua amani sasa wanataka kutufundisha maana ya amani!?..........kwa kweli wameonyesha kutokukomaa......waone mifano kule Zimbabwe, Africa Kusini, Kenya nk....... walivyokaa meza moja kuondoa tofauti zao kwa manufaa ya mataifa yao......kuzungumza na kuelewana na wapinzani haiondoi mantiki ya kutoshtakiwa kwa walio na makosa endapo ushahidi upo......

tanzania hakuna amani kuna uwoga na upumbafu
 
RAIS yupo sahihi kabisa, mbona wakidundana wanakimbilia Kigoma na Kagera, kama ni mambo yao basi wauane huko huko. Hayo mengine ulosema hasa kwenye RED yananipelekea nisiendelee kubishana.

jk anaropoka na wamemchana vibaya sana....kaonekana empty headed kabisa...obama anakuja si amshauri akae meza moja na al queda
 
Lakin Shapu dunia ya leo hakuna linaloshindikana ndugu yangu dialogue zimeleta suluhisho sehem nying tu dunian. Najua utakua unaelewa UNITA (sasa chama cha siasa) imetokea wap wamepigana vita miongo kadhaa, Siera Leon na Liberia, South Sudan na Sudan zimetokea wap, tatizo la dialogue lipo kwenye dunia ya waarab tu na nahis ni kutokana na version ya Ugaid vs umagharibi, na western culture vs Islamic civilazation kwamba baadh ya waarab wanajiona freedon fighters while ulaya wanawaona magaidi na wengne wanaona maslah ya dini yao yanapigwa vita while wazungu wanaita extrimism/radicalism ila kwa Africa hatujashindwa bado kama viongozi wakiweka tamaa nyuma na uzalendo mbele inawezekana kagame aache kutoa support na waasi wakubali demokrasia ichukue nafas!

I agree kwamba hamna lisilowezekana, lakini when unaongea na rwandans on those issues linked to genocide, sioni ni kwa jinsi gani wanaweza kaa na hao jamaa. Kumbuka mpaka hapo walipo fikia wamekaa sana na kuvumiliana sana ndo maana wameweza ishi pamoja. It is the highest level ya uvumiliaji maana Tutsi wangeamua ku-revenge ingekuwa balaa kwani they were badly affected and now they run the show. Wanachosema wao ni those guys in DRC wa-bow down na kufuata utaratibu na sio Rwanda i-bow down to them. Afterall, wako DRC na wanaleta shida huko DRC so rwanda wanaweza sema it non of their bness.
 
you know you people in great lakes think we dnt know anything going on in the area, you must be sick!
for your info, we knew who was going to bring down the habryimana plane that day. and the late president was also advised but he didint listen.
Kagame ndio alianzisha hii genocide and he is the one to end it. whether rwanda love it or not we dnt care.

That is your side school of thought....
 
kaa kimya kama hujui vitu..mbona hawaambii marekani wakae meza moja na al queda....mnakuwa na rais anaropoka ropoka afu mnatetea mautumbo hapa

Au mbona hawamwambii Mseven akae na Kony (LRA) meza moja?
 
Back
Top Bottom