Both Zitto na Kafulila walishakumbwa na kashfa za 'kula huku na huko' na madhara yake yameonekana hasa kupitia CHADEMA maana Kafulila alikuwa CHADEMA. Kama kweli Rais atakuwa amesema hayo ni vigumu kuamini kuwa anataka mmojawapo awe Rais kwa sababu tu ya ujana wao! There is more to this story. Mwaka 2005 tuliambiwa tumchague Rais kijana, tena chaguo la mungu, where are we now as a nation?