Kikwete: Nataka kurithiwa na rais kijana!

Mhmm, Ngoja kwanza nitafute umri wa Mwinyi maana labda ana mlenga huyo?! CCM nani kijana anataka kugombe? Lakini nakumbuka moja ya agenda kubwa waliyotumia wanamtandao ni kurubuni watu kuwa Kikwete ni Kijana?!
Arafat hii inaitwa twanga kote kote!unajua Impact ya kauli hii upande wa upinzani na upande wa ccm? Unajua kwanini kauli hii imepewa "uzito" na Zitto? Hizi ndio siasa za kiafrika ambazo hata vijana wa kileo wanarudia makosa yale yale! Tuendelee kukubaliana tusiyokubaliana!
 
kwa hio Dr slaa mzee wa kukurupuka akae pembeni kule chadema na kumuachia kijana Zitto

tena unathubutu kujiita mzalendo.unakurupuka tu,ina kizebuzebu sana na mzee wa watu.chadema hatukurupuki kama wewe,mtu atakayechaguliwa na chadema hatuchaguliwi rais na kikwete.peleka hulo wazo huko kwa wauza sura wenzenu
 
tena unathubutu kujiita mzalendo.unakurupuka tu,ina kizebuzebu sana na mzee wa watu.chadema hatukurupuki kama wewe,mtu atakayechaguliwa na chadema hatuchaguliwi rais na kikwete.peleka hulo wazo huko kwa wauza sura wenzenu

Msaada ....kizebuzebu ndo nini?
 
Nimesha elewa kumbe JK alikuwa anajibu mapigo ya EL alivyomponda kuwa hawezi kufanya maamuzi magumu, na yeye anampasha kuwa urais atausikia redioni tu, kweli hawa mabest wawili ni wasanii
 
Rais Kikwete hajakosea,na pia jukumu la kuchagua viongozi au jukumu la kujua ni kiongozi gani anahitajika linabaki kwa wapiga kura.Suala pia si la kijana tu,kijana mwenye uwezo ili tusijetukaburuzwa na ride ya ujana au jinsia tu kama ilivyokuwa 2005,people voted for "beauty" not for "Duty",ha ha ha! loh

Ila sasa anaposema msikubali anamaanisha nini?inaonekana sasa yeye atatumia udikteta ndani ya chama chake kukataza mtu asigombee? Kwenye hoja ya ujana hajakosea,ni wazo zuri

It will be unfair to deny /ask somebody not to contest and will be infringing on his constitutional right. It is a right given to him by the Constitution which he has a sole discretion to exercise.
Tanzanians at this stage should be talking of credible elections and free participation. Credible people should be allowed to participate in the election

Again,It would be unfair for anyone to ask anymember of a political party not to run for presidency on the basis of an unconstitutional arrangement by a political party.

Ben,

Naona umeandika kijanja kweli...sisi tulioko ndani tunajua ni kwa nini umetoa comment kama hii hapa chini.endeleeni tu na huo mtandao wenu
kwanza ni kwa nini amesemea kwa zitto?ningeshangaa sana kama usingetoa msimamo tata kwenye thread kama hii.
 
naam ukweli uwe wazi viongozi kama dr slaa amekuwa mzee na uwezo wake wa kuchukua maamuzi umepungua na ndio maana, mameya wa arusha wanamshtumu kwa kuchelewa kuchukua maamuzi kwa jambo ambalo walimshauri
 
Nyie jaribun kufikiri; jk alikuwa anampga dongo swahiba wake e.l sasa kama zitto nae kafikiri jk kamtabiria/anataka yeye ndio awe rais kamcheka.
 
Karume alinukiuliwa akisema hakuna ubaya kw Raisi kutoka Pemba. Watu wakajua analengwa Maalim Seif kumbe ni Shein. Sasa huyo kijana anayezungumzwa yupo CCM humo humo. Jidanganyeni tu wakina Zito.
 
naam ukweli uwe wazi viongozi kama dr slaa amekuwa mzee na uwezo wake wa kuchukua maamuzi umepungua na ndio maana, mameya wa arusha wanamshtumu kwa kuchelewa kuchukua maamuzi kwa jambo ambalo walimshauri
Think outside the box, what abt huyo Malima, Ngeleja wanaotuzngua kila siku nao wamezeeka au?
 
Karume alinukiuliwa akisema hakuna ubaya kw Raisi kutoka Pemba. Watu wakajua analengwa Maalim Seif kumbe ni Shein. Sasa huyo kijana anayezungumzwa yupo CCM humo humo. Jidanganyeni tu wakina Zito.
mwambieni huyo zto asikurupuke huko kwa wauza sura FB akajua yy ndio katabiriwa mshaurini vzr, magamba tangu lini wakawatakia heri CDM
 
hizi ni propaganda za baadhi ya wenye uchu na urais, hatutaki raisi kwa sababu ni kijana tunataka ambaye ni kiongozi shupavu mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu na asiye na tamaa. baadhi ya vijana tuliowadhania awali wamedhihirisha kutokuwa makini bali waroho wa madaraka na fedha. tusiwe wepesi kusahau, tukumbuke muswada wa makampuni ya simu kujisajili kwenye soko la hisa na jinsi kampeni ilivyopigwa kuupiga mswada chini.... hii haikuwa kwa maslahi ya nchi bali kwa ubinafsi wa fedha za rushwa kufanikisha hilo
 
What beats me is why would Zitto put this news on..., whom is it helping Chadema, CCM, Zitto, Young people who would like to be Presidents... or no one..., cause if its intention was to help Zitto and Chadema it might backfire cause how would a CCM member (and the leader at that), would have good wishes for an opposition party ? (unless he wants to pin-point the association between him and the opposition)
 
Duh....! Hivi kunayo sababu yoyote ya katiba kutamka umri wa kugombea urais uwe zaidi ya miaka 40? Kuna tofauti gani kati ya wenye umri kuanzia miaka 35-40 kwa Watanzania tofauti na nchi nyingine ?

Kinachoshangaza hili kundi huwa linatengwa na mabaraza ya vijana, kwa maana ya kwamba mwisho wa ujana kikatiba kwa vyama vingi vya siasa na hasa mabaraza ya vijana na pia kwenye urais tunasema uanzie kuanzia miaka 40.sasa hili group 35-40 katika haki za kuchagua na kuchaguliwa hatuoni tunawaminya sana?
 
naam ukweli uwe wazi viongozi kama dr slaa amekuwa mzee na uwezo wake wa kuchukua maamuzi umepungua na ndio maana, mameya wa arusha wanamshtumu kwa kuchelewa kuchukua maamuzi kwa jambo ambalo walimshauri

Wazee kama Dr hawakurupuki, kama hao madiwani walikuwa na haraka mbona waliingia katika mgogoro wote huo at the first place?


Mimi nataka mtu na siyo umri wake, jinsia yake,dini yake,etc ila kama anweza akawa na sifa zifuatazo basi inatufaa.
1. Mwenye uwezo wa kutafuta mapato ya kutosha kuindeleza nchi na kumudu huduma zote za kijamii-inteligent and hardworking
2. Mwenye uwezo wa kuthibiti matumizi yasisyo sahaihi ya mapato na Rasilimali za umma pamoja na kuchukia rushwa kwa vitendo-Integrity
3. Mwenye kujali utu-human
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom