Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Mtazunguka ohho makamba ohooo zito kumbe yeye ana wish mwanae Riz ndo awe prez!
halafu me-raj awe PM
Mtazunguka ohho makamba ohooo zito kumbe yeye ana wish mwanae Riz ndo awe prez!
kiswahili kinakua,kinatanuka,kunaPANUKA NA KUSAMBAA
kijana kama j makamba anaubavu wa kuwakemea rafiki wa baba yake? Mi nataka raisi anayejiheshimu,anapenda nchi,anayechukia rushwa na umasikini wa watanzania sitojali umri
Makamba kwanza hapa adanginyiki mtu go... January go...No thank you,Kama issue zenyewe ndio hizo leo wewe chungwa kesho limao,no sasa hivi wabongo wako kivingine,haijalishi wewe kijana au mzee,cha msingi this time watu wanamind mchapa kazi,watu kipindi klichopita waliconsider factor hizo za ujana,and then what next.......
Kama vijana ndio hao leo anaongea hivi kesho akiwekwa sawa na wasure akikamata fuba lake anawageuka wabunge thubutu.Ilo this time halipo watu wako full data,Ili uwe Prezidar kweli wa TAIFA hili uko mbele ya safari you need to be CLEAN REAL CREAN,sio uchukulie umepiga deal UK or GMNY ufikilie watu hawataikamata nyeti.Watu wanadaka wanakusubilia kwenye KIU.Watu eeeeeh watu waaaa.
Usafi Usafi ndio jibu la kuwania upresidar wa Tanzania.
Zitto Kabwe, ambaye ameweka wazi kuwa anataka kuwa Rais wa Tanzania anasema kuwa Jakaya Kikwete amemwambia yeye na Mbunge wa NCCR Mageuzi, David Kafulila, kuwa anapendelea Rais wa 2015 awe kijana. Kikwete amewataka Zitto, Kafulila na vijana wengine wajiandae kumrithi.
Source: Post ya Zitto kwenye account ya JF ya kwenye facebook yenyewe hii hapa:
"Msikubali atakayenirithi awe wa rika langu. Kizazi chenu sasa kijiandae"-JK to David Kafulila and I when launching construction of Malagarasi Bridge.
Zitto Kabwe, ambaye ameweka wazi kuwa anataka kuwa Rais wa Tanzania anasema kuwa Jakaya Kikwete amemwambia yeye na Mbunge wa NCCR Mageuzi, David Kafulila, kuwa anapendelea Rais wa 2015 awe kijana. Kikwete amewataka Zitto, Kafulila na vijana wengine wajiandae kumrithi.
Source: Post ya Zitto kwenye account ya JF ya kwenye facebook yenyewe hii hapa:
"Msikubali atakayenirithi awe wa rika langu. Kizazi chenu sasa kijiandae"-JK to David Kafulila and I when launching construction of Malagarasi Bridge.
Tanzania at some point is democratically Mad,hence the ugly dividends of our young democracy.But there is hope,Our democracy will work soon and becoming the becoan for the hope in region.Will need to keep practicing democracy until it grows to what we want,I believe Americans were once in this our stage where every body is abusing the true meaning of Democracy.
Iam out for now!
naunga mkono hoja sisi hatuchagui sura ;umri au kabila tunataka watu wazalendo na wachapa kazi kama dr slaaNo thank you,Kama issue zenyewe ndio hizo leo wewe chungwa kesho limao,no sasa hivi wabongo wako kivingine,haijalishi wewe kijana au mzee,cha msingi this time watu wanamind mchapa kazi,watu kipindi klichopita waliconsider factor hizo za ujana,and then what next.......
Kama vijana ndio hao leo anaongea hivi kesho akiwekwa sawa na wasure akikamata fuba lake anawageuka wabunge thubutu.Ilo this time halipo watu wako full data,Ili uwe Prezidar kweli wa TAIFA hili uko mbele ya safari you need to be CLEAN REAL CREAN,sio uchukulie umepiga deal UK or GMNY ufikilie watu hawataikamata nyeti.Watu wanadaka wanakusubilia kwenye KIU.Watu eeeeeh watu waaaa.
Usafi Usafi ndio jibu la kuwania upresidar wa Tanzania.
naunga mkono hoja sisi hatuchagui sura ;umri au kabila tunataka watu wazalendo na wachapa kazi kama dr slaa
Mhm, just wondering kwa hiyo wenye umri wa kina E.L ndo hawatakiwi kabisa? Huyu mtu ni bingwa wa kufunga milango aliyopitia!
Nimesha elewa kumbe JK alikuwa anajibu mapigo ya EL alivyomponda kuwa hawezi kufanya maamuzi magumu, na yeye anampasha kuwa urais atausikia redioni tu, kweli hawa mabest wawili ni wasanii